Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 23,011
- 32,907
Mzee wa VAR Mchome Mapovu anasema Simba Day waalikwe Yanga lakini wasiweke Kombe maana watawaaribia shughuli Yao.
Ili Simba wajipime fuleshi na kikosi chao kabla ya ngao ya jamii ni shart kualika Yanga kwenye Simba day
Je una maoni Gani kuhusu hili ....mwanasimba mwenzagu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ili Simba wajipime fuleshi na kikosi chao kabla ya ngao ya jamii ni shart kualika Yanga kwenye Simba day
Je una maoni Gani kuhusu hili ....mwanasimba mwenzagu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app