Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,520
- 284,004
Je ni Yanga, Hersi Saidi au GSM? unadhani ni kwanini?
Taarifa zingine zinadokeza kwamba Timu ya Yanga haina hata Akaunti ya Benki, hata kama wanapaswa kulipwa hizo hela watawekewa wapi au wapelekewe Jangwani?
Taarifa zingine zinadokeza kwamba Timu ya Yanga haina hata Akaunti ya Benki, hata kama wanapaswa kulipwa hizo hela watawekewa wapi au wapelekewe Jangwani?