Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

Wachezaji wanaojitambua wanastahili heshima ya kipekee. Wachezaji wengi wa Tanzania hawafiki mbali maana hawajitambui. Wanalipwa mshahara, halafu wanageuka tena wanapokea hongo kukwamisha timu...
6 Reactions
29 Replies
2K Views
N:B: Ngao ya jamii haihusiki 😁 Simba wametandikwa kihalali. Tupo Tanzania, hapa sio Malawi au Kenya, ukiwa na kampuni, biashara, taasisi, n.k. kuna vitu inakubidi uvifanye katika uwanja wa...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Wiliete SC vs Yanga SC Kikosi kinachoanza dhidi ya Wiliete SC Mpira umeanza Dakika ya 3 Yanga SC wanapata free kick Dakika ya 33 Andabwileeeeeeeeeeee Shuti kali kutoka kwa Aziz linatupa bao...
14 Reactions
125 Replies
7K Views
1. Atawatumia wachezaji waliopo bila shida. Kama alimtumia chasambi na balua hawa atawapeleka 2. Takwimu zinambeba kuwa na matokeo makubwa mno kila akiachiwa timu kuliko kocha yeyote wa nje. 3...
1 Reactions
8 Replies
663 Views
Mwaka wa taabu tena? Huku chama chawala huku Yanga.. Kwani mganga wao nani? Tumewachoka sass🥱
13 Reactions
34 Replies
2K Views
Baada ya kumalizana na mchezo wa Ngao ya Jamii, vikosi vya Simba na Yanga, vimeanza safari kuelekea kwenye michezo yao ya Kimataifa katika nchi tofauti. Kikosi cha Yanga kimeondoka alfajiri ya...
2 Reactions
7 Replies
900 Views
Hatimaye, hayawi hayawi yamekuwa! Leo, Septemba 16, 2025, watani wa jadi Yanga SC na Simba SC watakutana katika mchezo wa Ngao ya Jamii, ambao utaashiria kuanza rasmi pazia la msimu mpya wa...
5 Reactions
404 Replies
22K Views
Kwenye numerology, tunatumia namba zinazohusiana na majina au matukio ili kutabiri matokeo au mwelekeo wa jambo fulani. Hapa, unaweza kuchambua kwa kutumia majina ya timu au tarehe ya mechi. Hebu...
7 Reactions
69 Replies
4K Views
Hapo vip!! Mpira ni mchezo wa wazi na uzuri watu wengi sasa hivi wanajua mpira hauwezi kuwadananya. Jana kila mtu ameona yanga akipewa goli la offside tena bila aibu na Arajiga. Nafikiri pia...
0 Reactions
28 Replies
1K Views
Mara ya 6 mfululizo simba anakaa hata yanga ya bakuli hawakuwahi kupigwa Mara 6 consecutively Huwezi ukaacha kusajili top players halafu ukategemea propaganda ilianza pira bovu simba day...
7 Reactions
23 Replies
1K Views
nimechoka na hii timu, Ndani inatuunguza, nje inatubabua. Huu msimu tulitegemea tutaanza kwa matumaini ya kuvunja mwiko wa vipigo mfululizo kutoka kwa watani lakini kidonda kimetoneshwa upya...
1 Reactions
5 Replies
375 Views
Hali naambiwa kwa Tanzania ni mbaya mashabiki wa Simba wameanza kukonda na kukosa raha. Hapo katikati walianza kunenepa baada ya Ligi kusimama. SASA LIGI IMERUDI TAABU IPO PALE PALE.
3 Reactions
6 Replies
511 Views
Wakuu, Kwa hili vibe nililoona mitaani leo. Mabanda ya mpira kujaa, kila mtu kuongelea mpira status na mitandao yote kuzungumzia kuhusu mpira nadhani ifike muda CCM ifute kabisa masuala ya...
9 Reactions
29 Replies
1K Views
Ni kweli nchi za ulaya zimetuzidi mambo mengi sana ila naamin tunauwezo wa kuboresha miundombinu yetu ya viwanja na ikawa mizuri mfano ukiangalia uwanja wa majaliwa kuuboresha na kuufanya kuwa...
0 Reactions
3 Replies
269 Views
Kama unakumbuka sakata la Oktoba 25, 2023 la kukamatwa Makontena yenye jezi feki za klabu za Simba, Yanga, Azam na Timu ya taifa zilizoingia kimagendo nchini. Wanahabari walikurupushwa usiku...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Ni bora simba tujikite kwenye mechi za kimataifa hapa Bongo ni Ngumu kutoboa kwa wakati, Utopolo wanashinda kimchongo sana, Ngao iliyopita Kayoko aliwapa hii Arajiga Kawapa, Mechi ya Mwisho ya...
1 Reactions
18 Replies
853 Views
Mkimpata kila la kheri atatusaidia kwani ninamuona ni bora mara mbili ya Fadlu ila Fadlu ni Kocha wa Kimataifa pekee.
1 Reactions
2 Replies
544 Views
Ukiwa unajiamini bwana, raha sana. Unajua kabisa matokeo yatakayokuwa, unaweza kutamba utakavyo. Kabla mechi haijaanza, wakati macaptain wa Simba na Yanga, Shomari Kapombe na Dickson Job wakiwa...
6 Reactions
31 Replies
2K Views
Huu utakuwa uzi maalumu kwa ajili ya mashindano ya mabingwa ulaya (UEFA) updates zote
3 Reactions
39 Replies
1K Views
Back
Top Bottom