Shirikisho la soka duniania FIFA limesema "hakuna anayeuza soka", lakini mpango wa rais wake Gianni Infantino wa kuruhusu wawekezaji kununua hisa katika biashara za mashindano ya FIFA umeibua...
Afisa Mkuu wa Uendeshaji (COO) wa FIFA, Kevin Lamour, ametoa taarifa kali akisema kuwa wafanyakazi wa FIFA "walidanganywa" kuhusu mpango wa kuuza hisa za mashindano ya FIFA (ikiwemo Kombe la...
Nchi zote 55 wanachama wa UEFA zimepiga kura kwa kauli moja kuunga mkono mgomo wa kususia Kombe la Dunia, ikiwa ni hatua ya kupinga mpango wa FIFA wa kuuza hisa za mashindano yake kwa wawekezaji...
Nimeona tangazo Instagram, msemaji wa klabu ya simba akitangaza kampuni ya uuzaji wa ac, sio kosa ila kosa nikutangaza biashara BINAFSI zisizo nufaisha klabu akiwa na JEZI ya SIMBA ilihali ni...
Kwa maoni yangu, Yanga imeonyesha kwa miaka ya karibuni kwamba viongozi wake wengi wanaielewa soka kama taaluma na sayansi ya usimamizi, si mchezo wa hisia pekee. Wanatambua umuhimu wa mipango...
Naomba tajiri uitishe kikao cha ukoo mapema sana ili waidhinishe fedha utuletee Mayele na Feitoto kabla dirisha halijafungwa.
Wanatupigia kelele sana huku mtaani. Pia natoa wito kwa mashangazi...
Simba wanakamilisha ratiba ya mashindano haya, hata wakishinda awaendi popote,
Simba SC watamaliza ratiba yao ya CECAFA Kagame Cup kwa mchezo dhidi ya Singida Black Stars leo, Julai 31, 2026...
Wanaokwepa kuingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo na wanaobadilisha milango ya kuingilia viwanjani wanakwepa vitendo vya ulozi kwenye michezo. Hivyo, adhabu kubwa zaidi ilipaswa kuwekwa...
Rafiki yangu mmoja kapigana usiku uliopita, hivyo imenibidi nimpe support.
Watu wanakesho, halafu mnakuja kutoa judgment za kijinga. Sijawahi kuona mabondia wazuri wakipewa nafasi, ila...
Je, ipi ni Marathon kubwa zaidi Tanzania? Kilimanjaro Marathon au NBC Dodoma Marathon au CRDB Marathon?
Kwa miaka kadhaa sasa, Tanzania imekuwa na mbio za marathon zinazovutia maelfu ya washiriki...
Azam TV mnastahili hongera kwa matangazo yenu,mmemaliza kutangaza kombe la dunia,wakati mkionesha ligi ya basketball,mmeonesha ngumi jiwe,mmeonesha bongo star search,hivi sasa mnaonesha...
Ujio wa Fei Toto kwenye timu ya Azam kutoka timu ya Yanga hakujaiongezea thamani timu ya Azam. Kiwango cha Azam kwenye ligi kimebaki kilekile kabla na baada ya kuja Fei Toto.
Aliyefaidika ni Fei...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametoa ufafanuzi kuhusu maendeleo ya ujenzi wa Mji wa AFCON unaojengwa Fumba, Zanzibar, akimjibu Aliyekuwa mgombea...
Usiku wa pambano kati ya Juma Choki na Tony Rashid uligubikwa na malalamiko kila kona kulingana na aina ya maamuzi waliyotoa majaji.
Miongoni mwa mapambano ambayo maamuzi yake yalileta utata ni...
Tanzania inaelekea kuandika historia kwa kuwa mmoja wa wenyeji wa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027. Hii ni fursa kubwa kwa taifa, si tu katika sekta ya michezo bali pia katika...
Shirikisho la Soka la Ufaransa (FFF) limemtangaza rasmi Zinedine Zidane kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Ufaransa, akichukua nafasi ya Didier Deschamps kwa mkataba utakaodumu hadi mwaka 2030...
Sasa ni muda Yanga atupishe kidogo, na wengine nao waonje utamu wa ubingwa. 😄
Mkakati ni rahisi tu. Kila Yanga akicheza na Simba, Azam, Coastal Union au timu nyingine, pawe na tetesi za "dawa"...
Sasa tutaheshimiana kudadadeki zenu. Huna ama Diploma au Degree au Masters au PhD ya Uandishi wa Habari na Utangazaji, huna Uzoefu mkubwa wa Masuala ya Soka na TFF hawakuthibitisha kwa Vigezo vyao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.