Naaam !!! Habaari za uzima Mabibi na bwana , ni yule yule kijana wenu NALIA NGWENA zee la football sikuhizi nimepewa jina jipya naenda kama WATA PLEYA
Nisiwachoshe sana twende kwenye Maada kuu...
Simba kinachowatesa mmekua waoga sana mnaona akiondoka Mo hamuwez pata Tajiri mwingine ndio shida hio..
Nimesema jana na ninarudia simba viongozi wengi ni mashabiki wana mihemuko sana ya...
Nahodha wa klabu ya SC Villa ya Uganda, David Owori, amefariki dunia baada ya kushambuliwa na watu wanaodaiwa kuwa majambazi karibu na nyumbani kwake.
Taarifa za kifo cha Owori, zimethibitishwa...
FIFA imepanga kuunda kampuni mpya ya kibiashara iitwayo FIFA Forward Enterprise, yenye thamani ya takribani $20 Bilioni (karibu TZS Trilioni 50) kisha itauza 20% ya hisa za kampuni hiyo kwa...
Rais wa FIFA Gianni Infantino amewaita viongozi wakuu wa Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kwenye mkutano nchini Morocco siku ya Jumatano, tarehe 5 agosti, kufuatia siku nyingine ambapo rais wa...
Ni kweli kwamba PSG imekuwa na dirisha bora la usajili, kuanzia Lucas Digne hadi Akliouche na Mika Godts. Lakini hatua wanayoikaribia sasa inaweza kuwa usajili muhimu zaidi wa msimu wao.
Kwa muda...
Kwa Upumbavu wa Kugombana ulioanza tena Klabuni Simba kwa Kiongozi wa Wanachama Murtaza Mangungu na Mwenyekiti wa Bodi Poti wangu kutoka Mkoa wa Mara (Musoma) Crescetius Magori kuanzia leo hapa...
Simba SC inatarajiwa kurejea Dar es Salaam , Agosti 5, 2026, baada ya kukamilisha kambi yake ya maandalizi nchini Rwanda iliyojumuisha mechi tatu za Kagame Cup pamoja na mchezo mmoja wa kirafiki...
Mwenyekiti wa Klabu ya Simba SC, Mangungu; "Kwa mujibu wa Katiba anaeitisha Mkutano ni M/Kiti wa Klabu, Halafu Bodi tayari walishajadiliana na upande wa MO Dewji ulipendekeza majina yake ambayo...
Wanachama wa Simba baada ya kubamizwa kwa miaka 3 mfululizo na Yanga ya Yusuph Manji walimkubali Mo Dewji kama mdhamini wa Simba kwa mihemko bila kujiuliza sana. Baada ya Simba ya Mo kuibamiza...
Klabu ya Simba imetangaza kusimamisha kwa muda masuala yote yaliyokuwa yakiendelea kuhusu Baraza la Wadhamini, kufuatia uamuzi uliofikiwa katika kikao cha Bodi ya Wakurugenzi kilichofanyika Agosti...
Hii imenishangaza sana, siku ya uzinduzi wa jezi za klabu ya Simba kwa ajili ya msimu wa 2026/2027 ukifanyika Ngorongoro.
Siku hiyo hiyo jioni nimekutana na jezi feki nyingi sana zimetapakaa...
Nmekuwa nashangaa kuona kila mechi inayokutanisha Simba na yanga kupangiwa kuchezwa visiwani Zanzibar, nadhani kwa kufanya hivyo ni kutukosea Sisi watanganyika(Tanzania bara)kwani Simba na yanga...
Huyu jamaa ingekua bila yeye exclusive interview nyingi za sports pale crown zingekua hovyo sana jamaa hanaga ile ukimjibu anakaa kimya.
Juma ayo najiuliza tena alifikaje Crown?
Sikutukan na...
“Mimi ndiye Mwenyekiti wa Simba Sc kwa kuchaguliwa na wanaofanya mabadiliko ni Wanachama wa Simba Sc na yapo matakwa kisheria yanayowalazimu kufanya hayo mabadiliko.
“Mkutano wa dharura una...
KARIAKOO DERBY | Leo Jumatano kwa Mkapa kinapigwa, Yanga SC Vs Simba SC
Saa 11:00 Jioni | 🔴 LIVE updates hapa
Ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na kila mwanamichezo Tanzania na Afrika...
Kwa sisi wazoefu wa football ya nchi hii tunajua kuwa, hizi timu mahasimu wawili simba na yanga zinahitaji kuwa na viongozi katili kweli kweli.
Jiulize kwanini mahasimu wetu yanga linapokuja...
Nimesikiliza kwa makini mahojiano kati ya watangazaji wa Crown Fm na mgeni wao mheshimiwa genius professor Mangungu ambaye ni boss wa Simba Sports Club.
Nilichogundua ni kwamba Mheshimiwa genius...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.