Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

On JF:

  • Redirect
Klabu ya Simba imetangaza kusimamisha kwa muda masuala yote yaliyokuwa yakiendelea kuhusu Baraza la Wadhamini, kufuatia uamuzi uliofikiwa katika kikao cha Bodi ya Wakurugenzi kilichofanyika Agosti...
0 Reactions
Replies
Views
Hii imenishangaza sana, siku ya uzinduzi wa jezi za klabu ya Simba kwa ajili ya msimu wa 2026/2027 ukifanyika Ngorongoro. Siku hiyo hiyo jioni nimekutana na jezi feki nyingi sana zimetapakaa...
1 Reactions
11 Replies
349 Views
Nmekuwa nashangaa kuona kila mechi inayokutanisha Simba na yanga kupangiwa kuchezwa visiwani Zanzibar, nadhani kwa kufanya hivyo ni kutukosea Sisi watanganyika(Tanzania bara)kwani Simba na yanga...
1 Reactions
2 Replies
105 Views
Huyu jamaa ingekua bila yeye exclusive interview nyingi za sports pale crown zingekua hovyo sana jamaa hanaga ile ukimjibu anakaa kimya. Juma ayo najiuliza tena alifikaje Crown? Sikutukan na...
3 Reactions
3 Replies
150 Views
“Mimi ndiye Mwenyekiti wa Simba Sc kwa kuchaguliwa na wanaofanya mabadiliko ni Wanachama wa Simba Sc na yapo matakwa kisheria yanayowalazimu kufanya hayo mabadiliko. “Mkutano wa dharura una...
1 Reactions
4 Replies
283 Views
KARIAKOO DERBY | Leo Jumatano kwa Mkapa kinapigwa, Yanga SC Vs Simba SC Saa 11:00 Jioni | 🔴 LIVE updates hapa Ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu na kila mwanamichezo Tanzania na Afrika...
27 Reactions
1K Replies
72K Views
Kwa sisi wazoefu wa football ya nchi hii tunajua kuwa, hizi timu mahasimu wawili simba na yanga zinahitaji kuwa na viongozi katili kweli kweli. Jiulize kwanini mahasimu wetu yanga linapokuja...
4 Reactions
6 Replies
197 Views
Nimesikiliza kwa makini mahojiano kati ya watangazaji wa Crown Fm na mgeni wao mheshimiwa genius professor Mangungu ambaye ni boss wa Simba Sports Club. Nilichogundua ni kwamba Mheshimiwa genius...
4 Reactions
14 Replies
347 Views
Wengine wanaotajwa kung'olewa yumo Magori na Matola Haijajulikana sababu hasa ya Fagio hill la Chuma kupitishwa huko Bunju, japo kuhusu Matola inadaiwa amechokwa na Washabiki wa Timu hiyo...
14 Reactions
74 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba, Crescentius Magori, ametangaza kuwa kikao kilichofanyika Bunju hakikuwa kikao rasmi cha Mkutano Mkuu Maalum wa wanachama, hivyo maamuzi yote...
5 Reactions
5 Replies
369 Views
Bus la kifahari la simba aina ya Irizar limeharibika njiani wakielekea karatu kwenye uzinduzi wa jezi yao mpya Uzuri walikuwa wamesafiri na fundi kabisa, kwani tangu mwanzo wa safari lilikuwa...
13 Reactions
47 Replies
1K Views
Hongera sana mwananchi, Jasusi la ukweli, hakika unaifanya kazi yako kwa ufanisi ulio tukuka. Hongera sana mzee Mangungu, hongera waliomfanyia scouting na kumsajili pale Simba.
3 Reactions
10 Replies
408 Views
Nimeona taarifa za malalamiko toka Z'bar. Nimeona tena taarifa ya maandishi toka kwa mjumbe wa Bara. Wote wanasema Mshindi wa nafasi alikuwa Antony Mtaka, badala yake kapewa mtu aliyepata kura...
16 Reactions
72 Replies
2K Views
Mechi imeisha bourkina fasso 2- Twiga Stars 1
1 Reactions
6 Replies
197 Views
Timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars, leo itashuka dimbani kuwania kuongeza nafasi ya kutinga robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026...
2 Reactions
4 Replies
198 Views
Kwakifupi si Moo wala Magori, wote wanaogopa sana kipigo cha kihistoria watakachopata tarehe 12/08/2026 hivyo wameona watengeneze mgogoro ili ionekane Yanga kaifumua Simba magoli 15 - 0 kipindi...
11 Reactions
22 Replies
519 Views
Rais wa FIFA, Gianni Infantino, ametangaza kufuta rasmi mpango uliokuwa na utata mkubwa wa kuuza hisa za mashindano ya shirikisho hilo kwa wawekezaji binafsi. Infantino alisema imedhihirika wazi...
4 Reactions
18 Replies
354 Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha na mwanachama nguli wa Klabu ya Simba, Amos Makalla, amepinga vikali taarifa za uteuzi wake kuwa Mjumbe wa Baraza la Wadhamini la Klabu ya Simba SC, akitangaza kuwa mchakato...
1 Reactions
10 Replies
396 Views
Zamalek waipa vitisho shirikisho la soka barani afrika CAF kama watahidhinisha Al Ahly fc kushiriki mashindano ya klablu bingwa afrika mara baada ya kuwepo kwa taarifa ya kutaka kuongeza timu...
6 Reactions
12 Replies
458 Views
Klabu ya Simba SC imepitisha Baraza jipya la Wadhamini baada ya wanachama kulidhinisha katika Mkutano Mkuu wa Dharura uliofanyika leo, Agosti 2, 2026, Bunju jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa...
5 Reactions
21 Replies
578 Views
Back
Top Bottom