masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,377
- 19,264
Rafiki yangu mmoja kapigana usiku uliopita, hivyo imenibidi nimpe support.
Watu wanakesho, halafu mnakuja kutoa judgment za kijinga. Sijawahi kuona mabondia wazuri wakipewa nafasi, ila mnaendekeza utanga
Mtu kama Ibra Classic mngemchukua mkampa hizi nafasi mnazowapa mabishoo.
Rafiki yangu yupo under Mafia, lakini kidogo alitembeza mkono—yaani kidogo sana. Alipoteza, lakini majaji wamempa ushindi. Sijaongea naye tangu nimefika home; yaani naona hadi aibu.
Aisee... napata hasira.
Watu wanakesho, halafu mnakuja kutoa judgment za kijinga. Sijawahi kuona mabondia wazuri wakipewa nafasi, ila mnaendekeza utanga
Mtu kama Ibra Classic mngemchukua mkampa hizi nafasi mnazowapa mabishoo.
Rafiki yangu yupo under Mafia, lakini kidogo alitembeza mkono—yaani kidogo sana. Alipoteza, lakini majaji wamempa ushindi. Sijaongea naye tangu nimefika home; yaani naona hadi aibu.
Aisee... napata hasira.