Na hapa napo tabu kweli sisi ambao tulizaliwa katika nyumba za udongo, tukaishi kwenye nyumba za udongo..na hata mababuri yetu si shaka ni mwendo huo huo wa udongo,.... hukumu sijui ipoje bana...
Hivi ingekuwaje kama kwenye zile sehemu ambazo kuingia ndani hadi wakukague na kale kadude kao kanakodetect metals wangekuwa wanatumia scanner inayokuonyesha hivi?
SORRY ATTACHMENT IMEONDOLEWA...
TATIZO la kutozingatia usalama kwa waendesha pikipiki nchini linazidi kuongezeka kutokana na ajali za kila mara ambapo katika tukio moja wiki hii, mwendesha pikipiki alinusurika kufa katika...
Maji taka na uchafu ulio ndani ya ukuta wa majengo ya kituo cha Polisi cha Msimbazi unatishia afya za wakazi wa eneo hilo kama ulivyonaswa na kamera ya mpiga picha wetu Kariakoo jijini Dar es...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.