<button class="yt-uix-expander-arrow master-sprite" onclick="return false;"></button><button data-tooltip-timer="3062" data-tooltip-title="Click to be notified of new videos from this channel"...
Thread hii ni maalum kwa mapicha na maelezo japo kwa muhtasari juu ya mali na miliki za maselebu wa bongo hasa wasanii wa muziki na filamu.
Tofauti na wenzetu wa nchi nyingine hata ndani ya...
Ubitozi mwingine balaaa.....jamaa ananinginiza funguo za gari kama mtama kwa watoto ama?
Huyu naye mkanda wa suruali hauna kazi LoL celebrity wa bongo hao
Wakuu, naomba mnijulishe hizo bendera hapo juu ni za nchi gani?... Pia itakuwa vizuri kama mtanitajia zilitumika miaka ipi na bado zinaendelea kutumia au la!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.