vkeisy2006
JF-Expert Member
- Mar 26, 2010
- 229
- 99
Za kweli hizi, kijijini kwetu zipo na zinasaidia sana akiumwa mtu, mama wajazito wanapelekwa kujifungua pale zahanati ikiwa atashindwa kujifungua kwa mkunga wa jadi.
mboni punda ateseka sana?? spidi kiasi gani uwaishe mama mjamzito hospital?
Za kweli hizi, kijijini kwetu zipo na zinasaidia sana akiumwa mtu, mama wajazito wanapelekwa kujifungua pale zahanati ikiwa atashindwa kujifungua kwa mkunga wa jadi.
Naona hii haitumii horse power, inatumia Cow's power.... lol!