Wakulu
kwa wenye stress za maisha
wenye kupenda raha
wenye kupenda huduma za vinywaji na wabinti nusu uchi
wenye kupenda romantic story
Karibuni Raha Centre pale mikocheni, kwa maelezo zaidi...
Unajua ukiangalia hali ya mambo yanavyoenda katika nchi hii uaweza kufikiri kuwa unaota! watanzania wengi bado tunaishi kwa matumaini tukiamini kuwa ipo siku hali yetu ya kimaisha itabadilika...
Kwani lazima umtunze mtu kwa vidola 1, au ndie zile za zamani kuwa dola ililkuwa ni pesa nyingi sana eti "Jamaa ni tajiri sana ana midola huyoo hata kama anazo dola 10" ???
Wizara ya usafirishaji
hali itakuwa mbaya kadri siku zinavyoenda mbele
Wizara ya kilimo
watanzania wataendelea na kilimo cha mkono mpaka kufa kwao
Waziri ya utalii
wanyama wanaisha...
Wadau ngoja nisiwanyimeni utamu wa mambo huu, najua mko wengi mnakasirishwa na miziki mingi ya bongo isiyo na kichwa wala miguu. Huu ndiyo muziki wa kweli. Wale wazee wenzangu mtakumbuka enzi zetu...