AridityIndex
Senior Member
- Mar 22, 2011
- 149
- 38
Wadau ngoja nisiwanyimeni utamu wa mambo huu, najua mko wengi mnakasirishwa na miziki mingi ya bongo isiyo na kichwa wala miguu. Huu ndiyo muziki wa kweli. Wale wazee wenzangu mtakumbuka enzi zetu za akina cosmas Katembo.
Last edited by a moderator: