Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,321
- 33,126
Ni kweli ingelikuwa hapo kwetu bongo basi angeli usahau mkono wake, kwa uzembe wetu sisi Wa Tanzania...................NO WAY..
Ingekuwa ni TZ au sahau huo mkono...
Ni kweli ingelikuwa hapo kwetu bongo basi angeli usahau mkono wake, kwa uzembe wetu sisi Wa Tanzania...................
Ingelikuwa hapa kwetu Watu wangelisema karogwa huyo mwanamke kwanini kaenda kwenye maji kuchukua mpira wa golf? Kungelikuwa na imani mbaya za Kiuchawi WaTanganyika bado tupo nyuma kwa kila kitu eeeh Muumba wa mbingu na vilivyomo Ardhini tusaidie ili na nchi yetu iwe na maendeleo kama wenzetu walivyokuwa na Maendeleo Ameen.jamaa wataalum kweli
wamempasua mamba na kutoa mkono..
dahhhh
Hapa kwetu utaambiwa
"Hata mamba anahitaji kula"
si kwa uzembe...jiografia pia. inaonekana huyo mamba ni wa kufugwa. Hata jamaa alikuwa mjinga unawezaje kuingia kwenye bwawa lililofugwa mamba?Ni kweli ingelikuwa hapo kwetu bongo basi angeli usahau mkono wake, kwa uzembe wetu sisi Wa Tanzania...................
iliwah toka pale sigara/tcc kuna mzungu alikatwa kidole na mashine, akakichukua akakiweka kwenye chupa ya maji yenye hewa ie oxgen, wakamsafirisha mpaka SA, alirudi kidole kimerudishiwa na akaendelea kupiga kazi. Sasa siku moja mswahili akapata ajali, hata nairobi alipelekwa kwa mbinde! Ilikuwa vuta nikuvute!
<br />Ni kweli ingelikuwa hapo kwetu bongo basi angeli usahau mkono wake, kwa uzembe wetu sisi Wa Tanzania...................
....Mh! Kwani hapo wameupata utafanya kazi gani tena?NO WAY..
Ingekuwa ni TZ au sahau huo mkono...