Nimeamini kweli njaa haina baunsa!

nadhani anawaadabisha kwa kosa fulani...labda wamechelewa kufungulia mbuzi ama wameruhusi mifugo iingie katika mashamba ya watu...maana siha zao hazionyeshi km wanakabiliwa na njaa.
 
Dah!jamaa ni noma,kanyagia mikona mbaya alafu yeye mwendo mdundo na sosi!aiseeee!
 
uyu jamaa labda yule mzee Tola coz nyayo zake hazina tofauti, sa akinigwa nani atampa maji?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom