Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Wizara ya usafirishaji
hali itakuwa mbaya kadri siku zinavyoenda mbele
Wizara ya kilimo
watanzania wataendelea na kilimo cha mkono mpaka kufa kwao
Waziri ya utalii
wanyama wanaisha huku serikari ikinufaika na mpango huu
Wizara Ya ulinzi inazidi kukandamiza watu na kuwasababishia madhara makubwa
Wizara ya afya inadumisha mira zake kwa kutojali watanzania
hali itakuwa mbaya kadri siku zinavyoenda mbele
Wizara ya kilimo
watanzania wataendelea na kilimo cha mkono mpaka kufa kwao
Waziri ya utalii
wanyama wanaisha huku serikari ikinufaika na mpango huu
Wizara Ya ulinzi inazidi kukandamiza watu na kuwasababishia madhara makubwa
Wizara ya afya inadumisha mira zake kwa kutojali watanzania