Hivi alafu nirudi Tanzania nani kakwambia?

Hivi alafu nirudi Tanzania nani kakwambia?

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,011
DSC_0143.jpg
 
ha haaaaaaaa haaaa ha................mkuu hii ni ka tuko kwenye ghalika
 
Aibu sana,tunakula uchafu hivi huko songea hakuna mabwana afya?
Hapo nyama ina pata nzi na vumbi
 
nini kinakuonyesha kuwa hapo ni TZ, ..... ngoja machafuko au mtetemeko na mafuriko yakukumbe huko ulipo ndipo utakapo kumbuka kwenu
 
Ila hiyo nyama inaonekana tamu sana, ceteris peribus....
 
nini kinakuonyesha kuwa hapo ni TZ, ..... ngoja machafuko au mtetemeko na mafuriko yakukumbe huko ulipo ndipo utakapo kumbuka kwenu
Hapo ni songea,angalia blog ya mjengwa au michuzi
 
Kwani uko wapi vile!!!!Nyumbani ni nyumbani!!!!!usikusahau nyumbani!!Welcome back home
 
na mie nilikua najiuliza hapa? muwekezaji huyu alipitia cti kweli? manake yy ndo kachoka kuliko huo uwekezaji wenyewe!
sasa huyu alielala ndo mwenye bucha????????????hehehe gabachori kwenye uwekezaji songea makubwa haya
<br />
<br />
 
Ila hiyo nyama inaonekana tamu sana, ceteris peribus....[/QUOTE]

Jomba umenikumbusha somo la Economics miaka ya 1963!
Hakika kwa macho ya tujuao, hiyo nyama ni nzuri, shida ni matunzo!
 
Back
Top Bottom