africa6666 JF-Expert Member Aug 18, 2008 281 53 Aug 20, 2011 #7 Masharobaro hawajui kutongoza mbona anamfukuza?
Chimunguru JF-Expert Member May 3, 2009 10,678 4,348 Aug 20, 2011 #8 hahahahahaahah tehetehe dah kweli mambo si mambo
menyidyo JF-Expert Member Oct 9, 2010 1,339 194 Aug 20, 2011 #10 mbona mwanamke amekuwa baunsa ghafla?
mbweta JF-Expert Member Dec 10, 2010 600 81 Aug 20, 2011 #12 Hahahaha hii msiwasingizie masharobalo ni wanaume wote mpo hivo tena mna mbio haswa mpaka viatu vinawatoka.
Hahahaha hii msiwasingizie masharobalo ni wanaume wote mpo hivo tena mna mbio haswa mpaka viatu vinawatoka.
K kapito Member Jan 3, 2011 9 3 Aug 20, 2011 #13 Ina fundisho. Wengi wanapenda kuwafukuzia mabinti lakini wakishapata ujauzito huwakimbia.
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,554 Aug 20, 2011 #14 mbweta said: Hahahaha hii msiwasingizie masharobalo ni wanaume wote mpo hivo tena mna mbio haswa mpaka viatu vinawatoka. Click to expand... <br /> <br /> kwani na wewe ni mmoja kati ya wahanga wa hili swala la mimba zisizo na mpango..
mbweta said: Hahahaha hii msiwasingizie masharobalo ni wanaume wote mpo hivo tena mna mbio haswa mpaka viatu vinawatoka. Click to expand... <br /> <br /> kwani na wewe ni mmoja kati ya wahanga wa hili swala la mimba zisizo na mpango..
S shosti JF-Expert Member Dec 21, 2010 4,906 1,504 Aug 21, 2011 #18 kwani ni masharobaro tu ndo wenye mambo hayo....wanaume kwa ujumla!!!
Dumelambegu JF-Expert Member Jan 28, 2011 1,052 257 Aug 21, 2011 #19 Sasa nimeamini kuwa picha inaongea kwa sauti kubwa kuliko maneno. Tehe tehe!
Papaeliopaulos Senior Member Feb 19, 2011 149 47 Aug 21, 2011 #20 mbweta said: Hahahaha hii msiwasingizie masharobalo ni wanaume wote mpo hivo tena mna mbio haswa mpaka viatu vinawatoka. Click to expand... Isipokuwa mimi.
mbweta said: Hahahaha hii msiwasingizie masharobalo ni wanaume wote mpo hivo tena mna mbio haswa mpaka viatu vinawatoka. Click to expand... Isipokuwa mimi.