Kazi za masharobalo

Kazi za masharobalo

Novatus

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2007
Posts
330
Reaction score
38
66792_01_r_20110818105237.jpg
hamna tofauti na jogoo
 
Hahahaha hii msiwasingizie masharobalo ni wanaume wote mpo hivo tena mna mbio haswa mpaka viatu vinawatoka.
 
Ina fundisho. Wengi wanapenda kuwafukuzia mabinti lakini wakishapata ujauzito huwakimbia.
 
Hahahaha hii msiwasingizie masharobalo ni wanaume wote mpo hivo tena mna mbio haswa mpaka viatu vinawatoka.
<br />
<br />
kwani na wewe ni mmoja kati ya wahanga wa hili swala la mimba zisizo na mpango..
 
Back
Top Bottom