Boflo acha masihara yako kwani waliozitumia wana maumbile ya hivo? Kwani wewe ulizipata wapi na namna gani? Au wewe ndo unatumia ha'fu unaanika kwa matumizi ya kesho/ badaye?
mh! tuwe makini si unjua juzi wameteketeza contena zima zilikua hazina viwango?bora kuwa na mmoja au kuacha kabisa hayo madude hayana issue wajameni.Tusipokuwa makini tutaisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.