Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,813
- 8,659
Haina haja la salam maana na jua hampo salama.(tozo 😅) Ni we direct kidogo tusipoteze muda, pia niwaombe wasomaji mtakao kuwa mnafahamu kuhusu hii issue bac mm na jukwaa kwa ujumla tuna subiri michango yenu.
wote tunajua madini ya Dhahabu au Gold kwa kingereza ni madini muhimu sana kwa kutendeneza urembo na useful material zenye samani sana. Kwenye soko la dunia yan world gold market Beings of Adams wame anza kushituka, Kwamba total gold extracted is not incorporated in to the world market. yan gold inayo chibwa asilimia kubwa haijulikani inapo enda.
Kusema watu wanatunzq nyumba kwa sana inajulikana kwa sababu inchi zote zinazo toa golds zinajulikana in amounts na ziko monitored.
annunaki walihisiswa na upokeaji wa gold izo kutoka kwa wanadamu lakin ma shiko ya point hiyo yakawa madogo sana kama ilivo elezwa na ABC NEWS mwaka 2013 lakin juzi kati hapa UFO wamekuwa comfirmed mada ina raise tenaa kwamba Golds zetu kuna namuna zinapo endaa.
mtandao pendwa wa Qoura watu wengu huchangia michango yao lakin kwa uchambuzi wengi husema annunaki are the creators of the modern days of humans wengine huusianisha na sayari ya NIBIRU kama unavo ona kwenye picha hapo.
sasa nilizie na nyie wadau wa forum ya jamii mnasemajee? Miaka kadhaa nyuma. lifecoded alikuwa na uzi wa kuelezea haya mambo lakin kipimdi ichoo UFO hawakuwa comfirmed . lakin now days Pentagon wenyewe wamejonea kwa macho UfOs.
uzi tayari
wote tunajua madini ya Dhahabu au Gold kwa kingereza ni madini muhimu sana kwa kutendeneza urembo na useful material zenye samani sana. Kwenye soko la dunia yan world gold market Beings of Adams wame anza kushituka, Kwamba total gold extracted is not incorporated in to the world market. yan gold inayo chibwa asilimia kubwa haijulikani inapo enda.
Kusema watu wanatunzq nyumba kwa sana inajulikana kwa sababu inchi zote zinazo toa golds zinajulikana in amounts na ziko monitored.
annunaki walihisiswa na upokeaji wa gold izo kutoka kwa wanadamu lakin ma shiko ya point hiyo yakawa madogo sana kama ilivo elezwa na ABC NEWS mwaka 2013 lakin juzi kati hapa UFO wamekuwa comfirmed mada ina raise tenaa kwamba Golds zetu kuna namuna zinapo endaa.
mtandao pendwa wa Qoura watu wengu huchangia michango yao lakin kwa uchambuzi wengi husema annunaki are the creators of the modern days of humans wengine huusianisha na sayari ya NIBIRU kama unavo ona kwenye picha hapo.
sasa nilizie na nyie wadau wa forum ya jamii mnasemajee? Miaka kadhaa nyuma. lifecoded alikuwa na uzi wa kuelezea haya mambo lakin kipimdi ichoo UFO hawakuwa comfirmed . lakin now days Pentagon wenyewe wamejonea kwa macho UfOs.
uzi tayari