Naomba nieleweshwe kuhusu haya

Shadow7

JF-Expert Member
Sep 28, 2020
13,757
20,141
Great thinkers naomba ufafanuzi juu ya haya maswali machache kuhusu biblia takatifu.

1. Hesabu 23:19 "inasema Mungu si mtu, aseme uongo, wala si mwanadamu ajute Iwapo amesema hatalitenda? Iwapo amenena hatalifikiliza?"

1 Samweli 15:10 "Ndipo neno la BWANA likamjia Samweli, kusema,

[11]Najuta kwa sababu nimemtawaza Sauli awe mfalme; maana amerudi nyuma, asinifuate, wala hakufanya nilivyomwamuru. Samweli akasikitika, akamlilia BWANA usiku kucha."

Swali langu lipo hapo nilipopawekea rangi. Je, Mungu anajuta?

2. 1 Samweli 16:14 "Basi, Roho ya BWANA ilikuwa imemwacha Sauli, na roho mbaya kutoka kwa BWANA ikamsumbua."

Swali ni je, BWANA ana roho mbaya?

3. Marko 9:1 BHN. Yesu akaendelea kuwaambia, “Kweli nawaambieni, wako wengine papa hapa ambao hawatakufa kabla ya kuuona ufalme wa Mungu ukija kwa enzi.”

Swali Je baadhi ya watu waliokuwepo kippindi cha Yesu hawatakufa mpaka kurudi kwake?

4. MATENDO YA MITUME

MLANGO 9​


Lakini Sauli, akizidi kutisha na kuwaza kuwaua wanafunzi wa Bwana, akamwendea Kuhani Mkuu,
2 akataka ampe barua za kuenda Dameski zilizoandikwa kwa masinagogi, ili akiona watu wa Njia hii, waume kwa wake, awafunge na kuwaleta Yerusalemu.
3 Hata alipokuwa akisafiri, ikawa anakaribia Dameski; ghafula ikamwangaza kote kote nuru kutoka mbinguni.
4 Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, Sauli, Sauli, mbona waniudhi?
5 Akasema, U nani wewe, Bwana? Naye akasema, Mimi ndimi Yesu unayeniudhi wewe.
6 Lakini simama, uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda.
7 Na wale watu waliosafiri pamoja naye wakasimama kimya,
wakiisikia sauti, wasione mtu.
8 Sauli akainuka katika nchi, na macho yake yalipofumbuka, hakuona kitu; wakamshika mkono wakamleta mpaka Dameski.
9 Akawa siku tatu haoni; hali, wala hanywi.

MATENDO YA MITUME​

MLANGO 22​

5 Kama Kuhani Mkuu naye anishuhudiavyo, na wazee wa baraza wote pia, ambao nalipokea barua kwao kuwapelekea ndugu wale, nikaenda Dameski, ili niwalete wale waliokuwa huko hata Yerusalemu, hali wamefungwa, ili waadhibiwe.
6 Ikawa nilipokuwa nikisafiri, nikikaribia Dameski, wakati wa adhuhuri, ghafula nuru kuu ilitoka mbinguni, ikanimulikia pande zote.
7 Nikaanguka nchi, nikasikia sauti ikiniambia, Sauli, Sauli, mbona unaniudhi?
8 Nikajibu, Wewe u nani, Bwana? Akaniambia, Mimi ni Yesu Mnazareti, ambaye wewe unaniudhi.
9 Na wale waliokuwa pamoja nami waliiona ile nuru, lakini hawakuisikia ile sauti ya yule aliyesema nami.
10 Nikasema, Nifanye nini, Bwana? Bwana akaniambia, Simama, uingie Dameski, na huko utaambiwa habari za mambo yote yaliyoamriwa uyafanye.

Swali : Kwanini paulo aseme uongo?

5. UFUNUO WA YOHANA

MLANGO 14​


Kisha nikaona, na tazama, huyo Mwana-Kondoo amesimama juu ya mlima Sayuni, na watu mia na arobaini na nne elfu pamoja naye, wenye jina lake na jina la Baba yake limeandikwa katika vipaji vya nyuso zao.

Je, watakaoingia mbinguni ni 144000 tu? rejea pia LUKA

MLANGO 12:32 Msiogope, enyi kundi dogo; kwa kuwa Baba yenu ameona vema kuwapa ule ufalme.​


Naomba kueleweshwa.
 
Sawa
FB_IMG_16518306602793591.jpg
 
UKIPATA MUDA SOMA HII

Ningekuwa na MUDA pia ningekuwekea mistari kama relevance ya majibu kwako.

Ukwel ni kwamba Waandishi wa biblia za kisasa walifanya makosa ambayo hawataki kukubali kuwa yamefanyika kwa kuhofia Maswali ya hawa waumini wao ambao wamewaaminishwa Biblia ni Neno la Mungu na hakuna kuongeza wala kupunguza kitu, ilihali wao waandishi wamepunguza mengi na kuondoa vitabu vingi sana.

Biblia ni mkusanyiko wa maandiko ya kale ambayo yalikuwa ktk nakala tofaut tofaut ambayo yalikuwa ktk lugha za mababu wa kale jamii za Kimisri ama israel ya kale, tofauti na israel ya leo.

Taifa hilo la kale lilitumia lugha ambayo sio kiebrania mlichoaminishwa kuwa ndio maandiko yalikotoka, hata biblia inathibitisha, japo viongoz wenu wa dini wanaficha.

Sasa hiyo mikanganyiko imekuja vip? Imekuja baada ya dola na falme za wazungu zilipoanza uhuni wa kuvamia jamii za israel ya kale ambayo kimsingi ilikuwa na ipo Africa.

Na katk vamizi hizo lilianza jambo la kusoma mila na desturi za kiafrika na baadae kuanza kujifunza taratibu na masomo haya kwa kutafsiri mafundisho mbalimbali.

Ktk halakati za kutafsiri maandiko yaliyokuwa hatimiliki ya Manabii ama wakufunzi wa jamii za kiafrika ambao ndio walikuwa waandishi wa hizo nakala(vitabu), ndipo matatizo yalipoanzia.

Ktk Elimu ya imani za mababu wa kiafrika kulkua na Elimu kuhusu imani ya KWELI KUHUSU MUUMBA ambaye ndiye chanzo cha kila kitu na ndye aliyepaswa kuabudiwa,

Lkn kama ujuavyo ktk kundi la mamba na kenge hawakosi, ktk imani ya kweli ya MUUMBA, kuliibuka wasaliti waliokuja kuibua Imani mpya ya Uungu na kuabudu Miungu ama Mungu, na Miungu hawa walkuwa ni Viumbe wa jamii za malaika ambao kicheo ni kama Vijitoto kwa MUUMBA.

Baada ya kuleta imani hiyo ya Umungu mawakala wa haya mambo walikopi baadhi ya sifa za MUUMBA na kuvipachika viumbe ambavyo ndyo hao mnaowaita Mungu/Miungu lkn kumbe ni malaika, malaika ni sawa na mwanadamu na wanashare sifa nyingi mfanano tofaut yao ipo kwenye nguvu tu.

Na ndiomaana kila dini ukiichunguza vzuri utagundua kuwa Mungu wa dini hiyo anasifa kama za kibinadamu, mfano

Kuchukia/kukasirika
Kulia
Kufurahi
Kula
Kunusa
Kutembea
Kuongea
Kuonekana
Kuchoka
Kutamani

Na hizo zote ni baadhi ya sifa ambazo hata binadamu anazo ama kiumbe chchote kinacho,

unatakiwa kujuwa kuwa Kiumbe chochote kilichoumbwa kina sifa na tabia na tabia hizi hufanana, na viumbe hawa wote huishi ktk Ulimwengu kulingana na hali yao ya miili, mfano mwanadamu mwenye mwili anaishi dunian, na nafsi ktk ulimwengu wa nafsi, na Roho yake inaishi ulimwengu wa Roho yalipo makazi ya Roho zote ziwe nzuri ama mbaya, sas inakuwaje MUNGU mumuite ni Roho na kusema yuko ktk ulimwengu wa Roho na aishi ulimwengu ambao viumbe aliowaumba nao waishi humo? Je huoni nae anasifa za kuwa kiumbe? Yaan nae kaumbwa na kiumbe kilicho nje ya ulimwengu wa Roho?

Yote haya nimendika ili upate japo mwanga kidogo kuhusu sifa za Viumbe.

Sasa kulinga na maswali yako utakuwa umepata uelewa kidogo kumuhusu huyo Mungu wa maandiko.

Nirudi kwenye maelezo ya historia ya maandiko, Sasa baada ya kuibuka kwa kundi la usaliti ktk jamii ya kiafrika kwa kuunda imani zilizokuwa zinaabudu Viumbe ama malaika waliohasi, ndipo ukaanza mchakato wa kuintroduce imani za kimisri ambazo ziliabudu viumbe kama OSiris, Zeus, Mungu jua, Mungu mwana, Mungu baba, Mungu mama n.k

Na imani hizo zilicopy mengi ya sifa ambazo alikuwa nazo MUUMBA naposema Muumba namaanisha Si Mungu bali Ni yule aliyeumba kila kitu na yuko nje ya kila uwepo ambaye ndye alipaswa tumuabudu.

Ujio wa watu weupe baran Africa na kuanza kujifunza elimu za watu weusi ndipo zikaanza movement za kuyatafsiri maandiko ambayo yalikuaa batili ambayo yalitoka ktk imani za kimisri yaan kemet ya kale.

Kwakuwa mafundisho haya yaliundwa kwa uchakachuzi wa Imani Original basi hata tafsiri zilkuwa batili

Watu weupe baada ya kupata tafsiri za imani hizo za kimisri wakiyakusanya maandiko na kurudi nayo kwao, wakayafanya jinsi wapendavyo na kuunda Kitabu kimoja walichokiita BIBLIA,

Hawakuishia hapo kuunda biblia bali walirudi tena kichokozi kwa ukoloni na kuharibu nakala Original walizocopy maandiko kwa kuchoma moto Maktaba kubwa zilizokuwa zikihifadhi nakala hizi za imani, ili kuficha ushahidi wa relevance wa walichokicopy baran Afrika, na sio kuharibu maktaba tu bali kuangamiza jamii za waafrika waliohisi zilkuwa tishio ama kuwa na shahidi za maandiko.

na baadae miaka ya karibuni hapo karne za 14 A.D falme zao zilirudi afrika kwa mgongo wa Umissionary kuja kueneza DINI ambazo kimsingi chanzo chake ni maandiko ya uongo waliyocopy yaliyokuwa na imani za kemet ambazo nazo zilkuwa copy na imani ya kweli kumuhusu MUUMBA.

Na baadae ndio haya muyaonayo, mikanganyiko ndani ya biblia na Qur'an sababu kubwa ni kushindwa kujitosheleza kimaana, huwezi kucopy jambo kwa kulibadiri likaleta maana, thats why Mungu wa kidini amekuwa na sifa zifananazo na binadamu, yaan sometime anasema haonekan, sometime anaonekana, amekuwa Mungu wa makasiriko na blah blah nyingi, haya yote ni Matokeo ya uongo.

Dini zote ni uongo, ndiomaana zinapingana, rudini ktk asili yenu
 
Hawakuishia hapo kuunda biblia bali walirudi tena kichokozi kwa ukoloni na kuharibu nakala Original walizocopy maandiko kwa kuchoma moto Maktaba kubwa zilizokuwa zikihifadhi nakala hizi za imani, ili kuficha ushahidi wa relevance wa walichokicopy baran Afrika, na sio kuharibu maktaba tu bali kuangamiza jamii za waafrika waliohisi zilkuwa tishio ama kuwa na shahidi za maandiko.
Mkuu maktaba hii ilikua wapi?
 
UKIPATA MUDA SOMA HII

Ningekuwa na MUDA pia ningekuwekea mistari kama relevance ya majibu kwako.

Ukwel ni kwamba Waandishi wa biblia za kisasa walifanya makosa ambayo hawataki kukubali kuwa yamefanyika kwa kuhofia Maswali ya hawa waumini wao ambao wamewaaminishwa Biblia ni Neno la Mungu na hakuna kuongeza wala kupunguza kitu, ilihali wao waandishi wamepunguza mengi na kuondoa vitabu vingi sana.

Biblia ni mkusanyiko wa maandiko ya kale ambayo yalikuwa ktk nakala tofaut tofaut ambayo yalikuwa ktk lugha za mababu wa kale jamii za Kimisri ama israel ya kale, tofauti na israel ya leo.

Taifa hilo la kale lilitumia lugha ambayo sio kiebrania mlichoaminishwa kuwa ndio maandiko yalikotoka, hata biblia inathibitisha, japo viongoz wenu wa dini wanaficha.

Sasa hiyo mikanganyiko imekuja vip? Imekuja baada ya dola na falme za wazungu zilipoanza uhuni wa kuvamia jamii za israel ya kale ambayo kimsingi ilikuwa na ipo Africa.

Na katk vamizi hizo lilianza jambo la kusoma mila na desturi za kiafrika na baadae kuanza kujifunza taratibu na masomo haya kwa kutafsiri mafundisho mbalimbali.

Ktk halakati za kutafsiri maandiko yaliyokuwa hatimiliki ya Manabii ama wakufunzi wa jamii za kiafrika ambao ndio walikuwa waandishi wa hizo nakala(vitabu), ndipo matatizo yalipoanzia.

Ktk Elimu ya imani za mababu wa kiafrika kulkua na Elimu kuhusu imani ya KWELI KUHUSU MUUMBA ambaye ndiye chanzo cha kila kitu na ndye aliyepaswa kuabudiwa,

Lkn kama ujuavyo ktk kundi la mamba na kenge hawakosi, ktk imani ya kweli ya MUUMBA, kuliibuka wasaliti waliokuja kuibua Imani mpya ya Uungu na kuabudu Miungu ama Mungu, na Miungu hawa walkuwa ni Viumbe wa jamii za malaika ambao kicheo ni kama Vijitoto kwa MUUMBA.

Baada ya kuleta imani hiyo ya Umungu mawakala wa haya mambo walikopi baadhi ya sifa za MUUMBA na kuvipachika viumbe ambavyo ndyo hao mnaowaita Mungu/Miungu lkn kumbe ni malaika, malaika ni sawa na mwanadamu na wanashare sifa nyingi mfanano tofaut yao ipo kwenye nguvu tu.

Na ndiomaana kila dini ukiichunguza vzuri utagundua kuwa Mungu wa dini hiyo anasifa kama za kibinadamu, mfano

Kuchukia/kukasirika
Kulia
Kufurahi
Kula
Kunusa
Kutembea
Kuongea
Kuonekana
Kuchoka
Kutamani

Na hizo zote ni baadhi ya sifa ambazo hata binadamu anazo ama kiumbe chchote kinacho,

unatakiwa kujuwa kuwa Kiumbe chochote kilichoumbwa kina sifa na tabia na tabia hizi hufanana, na viumbe hawa wote huishi ktk Ulimwengu kulingana na hali yao ya miili, mfano mwanadamu mwenye mwili anaishi dunian, na nafsi ktk ulimwengu wa nafsi, na Roho yake inaishi ulimwengu wa Roho yalipo makazi ya Roho zote ziwe nzuri ama mbaya, sas inakuwaje MUNGU mumuite ni Roho na kusema yuko ktk ulimwengu wa Roho na aishi ulimwengu ambao viumbe aliowaumba nao waishi humo? Je huoni nae anasifa za kuwa kiumbe? Yaan nae kaumbwa na kiumbe kilicho nje ya ulimwengu wa Roho?

Yote haya nimendika ili upate japo mwanga kidogo kuhusu sifa za Viumbe.

Sasa kulinga na maswali yako utakuwa umepata uelewa kidogo kumuhusu huyo Mungu wa maandiko.

Nirudi kwenye maelezo ya historia ya maandiko, Sasa baada ya kuibuka kwa kundi la usaliti ktk jamii ya kiafrika kwa kuunda imani zilizokuwa zinaabudu Viumbe ama malaika waliohasi, ndipo ukaanza mchakato wa kuintroduce imani za kimisri ambazo ziliabudu viumbe kama OSiris, Zeus, Mungu jua, Mungu mwana, Mungu baba, Mungu mama n.k

Na imani hizo zilicopy mengi ya sifa ambazo alikuwa nazo MUUMBA naposema Muumba namaanisha Si Mungu bali Ni yule aliyeumba kila kitu na yuko nje ya kila uwepo ambaye ndye alipaswa tumuabudu.

Ujio wa watu weupe baran Africa na kuanza kujifunza elimu za watu weusi ndipo zikaanza movement za kuyatafsiri maandiko ambayo yalikuaa batili ambayo yalitoka ktk imani za kimisri yaan kemet ya kale.

Kwakuwa mafundisho haya yaliundwa kwa uchakachuzi wa Imani Original basi hata tafsiri zilkuwa batili

Watu weupe baada ya kupata tafsiri za imani hizo za kimisri wakiyakusanya maandiko na kurudi nayo kwao, wakayafanya jinsi wapendavyo na kuunda Kitabu kimoja walichokiita BIBLIA,

Hawakuishia hapo kuunda biblia bali walirudi tena kichokozi kwa ukoloni na kuharibu nakala Original walizocopy maandiko kwa kuchoma moto Maktaba kubwa zilizokuwa zikihifadhi nakala hizi za imani, ili kuficha ushahidi wa relevance wa walichokicopy baran Afrika, na sio kuharibu maktaba tu bali kuangamiza jamii za waafrika waliohisi zilkuwa tishio ama kuwa na shahidi za maandiko.

na baadae miaka ya karibuni hapo karne za 14 A.D falme zao zilirudi afrika kwa mgongo wa Umissionary kuja kueneza DINI ambazo kimsingi chanzo chake ni maandiko ya uongo waliyocopy yaliyokuwa na imani za kemet ambazo nazo zilkuwa copy na imani ya kweli kumuhusu MUUMBA.

Na baadae ndio haya muyaonayo, mikanganyiko ndani ya biblia na Qur'an sababu kubwa ni kushindwa kujitosheleza kimaana, huwezi kucopy jambo kwa kulibadiri likaleta maana, thats why Mungu wa kidini amekuwa na sifa zifananazo na binadamu, yaan sometime anasema haonekan, sometime anaonekana, amekuwa Mungu wa makasiriko na blah blah nyingi, haya yote ni Matokeo ya uongo.

Dini zote ni uongo, ndiomaana zinapingana, rudini ktk asili yenu
twambie kuhusu huyo Mungu muumba, asili yetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom