Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Igweeee wana Jamii. Naipongeza sana Jamii forum kuwa sehem ya kila mtu wasilisha mawazo na fikra yake pasipo vunja sheria za nchi na kimataifa. Mimi leo nimependa kuchambuwa ujasusi wa Nchi za...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari watu wangu wa nguvu wa JF.. Siku za hivi karibuni katika pitapita zangu Katika kujisomea somea vitabu mbalimbali nimekuja kugundua kuwa Sisi binadamu tuna nguvu fulani ya asili ambayo...
10 Reactions
17 Replies
6K Views
  • Closed
Wanajukwaa: Dunia yetu inaendelea kushika kasi katika suala la Sayansi na Tekinolojia.Kwa siku za hivi karibuni,wanasayansi wamegundua kuweza kutengeneza Moyo kwa kutumia stem cells,ikiwa ni...
54 Reactions
8K Replies
594K Views
Binadamu tumekua na tabia ya kulalamika kuhusu kuumizwa, kujeruhiwa na kuaribiwa maisha na watu wetu wa karibu , iwe ndugu, jamaa na marafiki . Lakini hata siku moja huwezi kukuta mtu anaelezea...
8 Reactions
132 Replies
25K Views
Zelensky na Pro-NATO akili zao wanazijua wao wenyewe aisee...Eti walisherehekea kupewa kifuta jasho cha kilomita za mraba 6,000 sawa na asilimia 4.8 tu, toka kwa kilomita za mraba 125,000...
8 Reactions
4 Replies
1K Views
Hili jambo hushangaza kidogo ila kwa nini wanadamu humpigania Mungu katika nyanja zote. Toka enzi Mataifa yaliinuka kumpigania Mungu ambaye hajawahi kujipigania mwenyewe. Angalia issue ya...
18 Reactions
441 Replies
20K Views
Wakuu hamjambo? Moja kwa moja kwenye mada baada ya kutafakari kwa kina nimekuja na conclusion kuwa huwenda sifa kuu ya Mungu wetu huyu ni Upweke. Yaani ile Incredible Genius Mind , ile...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (last born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania; (1) Is Africa...
9 Reactions
191 Replies
19K Views
Hello.. Lately I’ve been writing random topics centered on personality traits, this Topic will be serving as a sequel of those Topic. Will focus on other perspective of personalities...
16 Reactions
31 Replies
7K Views
Anglophone Vs Francophone Africa: Harufu ya mpasuko mkubwa wa kisiasa ndani ya umoja wa Africa (AU) baina ya mataifa yanayozungumza lugha ya Kiingereza na yale ya Kifaransa. Habari za wakati...
6 Reactions
144 Replies
18K Views
1 Reactions
6 Replies
597 Views
Wanandugu wasalaam sana. Ama baada ya yote ashukuriwe muumba wa udongo na viumbe vyote. Pia ni huzuni moyoni mwangu kuisema pole juu ya anguko la Rais wetu mpenzi Dr John Pombe Magufuli bwana...
6 Reactions
12 Replies
3K Views
Huenda Katika kipindi kirefu Cha maisha ya UMILELE(Un-Ending existence) na Mungu mbinguni.Mungu anaweza akaumba mabillion ya universe. Yaani hapa nazungumzia maisha baada ya mambo yote ya kinabii...
14 Reactions
101 Replies
9K Views
POLICE DIGITAL FORENSIC and The Russian Roulette Hackers: FBI walipounda kampuni hewa (Front Company) ili kuwakamata wadukuzi (Hackers) kutoka Russia. Ivanov alianza kufuatiliwa kwa umakini...
24 Reactions
100 Replies
14K Views
Ndugu wana JF Kuna taarifa ambazo sijazithibitisha kwamba, Malkia wa Uingereza anamiliki Eneo Kubwa sana Ndani ya Nchi yetu, ambapo Hata Serikali yetu haina Mamlaka ya Kuingia. Eneo...
2 Reactions
64 Replies
17K Views
Kuna trend inazunguka mitandaoni kuhusu mbinu za China kuitawala Afrika. Nami naileta humu tujadili. Kwa maoni yangu yawezekana kwa sababu kuu mbili, nikirejea mradi wa bandari Mbegani na Wachina...
5 Reactions
28 Replies
4K Views
Hello Memba Nipo nafikiria sana ila nashindwa kupata jibu nategemea memba wa JF watakuja zaidi na majibu mazuri yatakayo nisaidia kupata mwanga wa thinking pengine ikapelekea kudevelop theory...
8 Reactions
791 Replies
49K Views
Suala la watawala kuwa na wapelelezi ni jambo lilioko kwenye jamii kwa maelfu ya miaka tangu pale Jamii ya binadamu ilipoanza kuishi pamoja na kuwa na mfumo wa kujiongoza. Jamii duniani kwa miaka...
35 Reactions
189 Replies
55K Views
Back
Top Bottom