Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Huwa nasikia mtu umri ukienda akili zinarudi kama mtoto, eti kuna uhusiano gani kati ya kuwa na umri mkubwa na akili kudumaa au kurudi nyuma?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hegelianism ni mbinu iliyogunduliwa na mwanafalsafa wa kijerumani,Georg.w.hegel njia hii hutumiwa na nchi zenye ushawishi mkubwa duniani pamoja na mitandao mingi ya siri msingi mkubwa wa...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni kitabu kinaitwa CONFESSION OF AN ECONOMIC HITMAN. Iko hivi: Kabla nchi zetu maskini kukopeshwa zinafanyiwa study ya nguvu na wataalam wa uchumi kutoka IMF, WORLD BANK and the so wakopeshaji...
0 Reactions
0 Replies
885 Views
Bandugu, Nimesoma kwenye gazeti la This day nikaona ni share na nyinyi: Pata habari, SERIOUS questions are being raised about the contract signed between the government and Cotecna for the...
1 Reactions
83 Replies
17K Views
Nimesikia kuwa unapomuona nyoka ukimtemea mate anaganda na hatembei.....sijui ni kweli?
0 Reactions
64 Replies
14K Views
Habari zenu wakuu. Nimeshuhudia matukio kadhaa, mojawapo likiwa la kaka yangu ambaye alisota muda mrefu bila ya kazi, alisha tuma maombi sehemu mbalimbali lakini wapi. Ndio rafiki mmoja...
0 Reactions
85 Replies
13K Views
Habari zenu wadau wote wa jukwaa hili la Jamii Intelligence, leo nimeleta mezani mada kuhusu TELEPORTATION. Naomba nitumie kingereza ili niweze kueleweka vizuri. TELEPORTATION is simply...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Jaman naomba kujuzwa kuhusu gundi zenye nguvu na zinazonasa haraka (powerful and fast glue) kama superglue miongoni mwa materials zilizoainishwa kuwa inaweza kunasa ni pamoja na zilizounda pakiti...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Wana Jukwaa salaam. Napenda kujuzwa, ni nini huwa kinasababisha moto kuwaka kwenye ile misitu ya nchi za magharibi (Marekani na Urusi) kwa mfano hasa kipindi cha baridi kali? Nijuavyo mimi dawa...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Many people are baffled by the difference between the God of Being and the God of Becoming, but the difference could not be starker. The first is impossible and the second certain. Why do so many...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wa JF habari zenu!! Kuna jambo ambalo linanisumbua ambalo nahitaji ufafunuzi wenu hasa wale watu ambao wamejaliwa kupewa jicho la tatu katika imani ya dunia hii. Hapa dunian kuna watu ambao wana...
1 Reactions
20 Replies
8K Views
Je, umeshawahi kusoma hiki kitabu Psychology of intelligence analysis...
1 Reactions
42 Replies
11K Views
Katika mkusanyiko wa sayari nyingi na nyota mbalimbali kunauwezekano mkubwa kwenye sayari zingine mamilioni kukawa na viumbe hai. Kwakutumia formula za kimahesabu uwezekano wa kuwepo viumbe...
3 Reactions
45 Replies
5K Views
Kwa mujibu wa vitabu vya dini mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni Adamu kisha Eva ambao walikuwa sio watu weusi, ni nini kilitokea mpaka watu weusi wakatokea duniani?
4 Reactions
243 Replies
67K Views
Habari wanaJF, Naomba niwashirikishe ndoto yangu; Nikiwa chuo mwaka wa pili semister ya kwanza tulikuwa katika chumba cha mtihani mchana, tulikuwa tunafanya Financial Accounting kiukweli yale...
2 Reactions
72 Replies
24K Views
There is a great debate around this subject but the idea to start this thread specifically came after I saw a thread under Uchaguzi sub-forum that said, "Tanzanians have proven to have lowest IQ...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wana intelligence. Mwaka 2006 nikiwa darasa la 4 shule ya msingi huko kijijini kwetu, nikiwa nimelala usiku wa manane niliota nikiwa shule kama kawaida, kwenda na kurudi kama ilivyo haya...
3 Reactions
38 Replies
7K Views
Kila wazo, Kila neno, Kila tendo, ni kama sala. Kutokana na kuwa kila wakati kuna kinachoendelea katika ufahamu wako basi tambua kuwa kila wakati kuna uumbaji unaendelea katika ulimwengu...
6 Reactions
40 Replies
6K Views
Jina hasa la Ibn Sina ni Abu 'Ali al-Husayn bin ‘Abdillaah bin Sina (alizaliwa mwaka 980 katika mji wa Afshana karibu na mji wa Bukhara. Na wengine wanasema alizaliwa mji wa Balkh huko...
4 Reactions
17 Replies
5K Views
Nilipata mshtuko mkubwa nilipokutana na hii habari hapo jana. Nikajaribu kuitafuta humu JF ili niisome kwa kina ila sikufanikiwa kuiona. Nimeona ni iilete ili tuweze kuitizama kwa pamoja. Kama ipo...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…