Bodi ya Kahawa (T) ni shirika la umma ambalo baadhi ya majukumu yake ni:-
· Kuishauri serekali juu ya kanuni bora za maendeleo ya zao la kahawa Tanzania
· Kushughulikia...
Salam kwenu wakuu, leo kwenye pitapita zangu nimekutana hii story nimeona ni bora tujadili pamoja. Inasemekana mwanadamu anatumia asilimia kumi (10%) ya ubongo wake inamaanisha kati ya asilimia...
Ndio, usipokuwepo, hakuna kilichopo. Hata Mungu hayupo ikiwa wewe haupo. Ndio maana wapo wanaohoji kwamba kati yako na Mungu, nani wakwanza kuwepo.
Hoja hii inaweza kuwa na mashiko sana. Lazima...
CIA, MWIZI WA DARAJA LA KWANZA.
Tarehe 25, Mei mwaka 1961, aliyekuwa raisi wa taifa la Marekani kipindi hicho John. F Kennedy alihutubia bunge la Congress ambapo aliweka lengo la Marekani...
We are under new tyranny, 21st century tyranny. Where we citizens fear our
own government. We are under new challenges of the new age, once again we
are facing these challenges of a new age...
Habari wa jf katika hali inayoonesha kuwa Raisi wa urusi kwa sasa anahakikisha kurudisha heshima na nguvu ya Urusi ulimwenguni , siku za karibuni ameendeleza mazoezi makali ya kijeshi nchini humo...
Habari wana jukwaa pendwa la JF intelligence Leo naomba kuwaletea uchambuz kuhusu shirika la KGB had lilipovunjwa mwaka 1991 tutaonana majukumu yake na utendaji kazi wake.
Mods naomba uzi huu...
wadau kwa muda nimekua nikijiuliza mini maana ya muda..
nani alipanga sec,min,and hours nakosa jibu kabisa..
kwa mtazamo wangu...mpangilio wa nini cha kufanya ndo ulileta uwepo wa intervals kati...
Wasalaam,,,Familia ya great Thinkers....
Kuna mambo huwa yananitatiza jamani,,nataka kujua uhusiano wa utendaji kazi wa mtu na
vitu viwili,,,
1.feelings na utashi wa akili katka upambanuzi wa...
Wakuu
Kuna kitu kinanichanganya sana,katika maisha yangu .Mimi sio MTU wa kupiga sana simu kwa watu.Huwa napokea sana lawama Juu ya hii tabia,naonekana jeuri japo Mimi sielewi kwanini nipo hivyo...
Mataifa mengi hususani Africa yameanza kwa kasi urushaji wa Satellite angani katika karne hii kwa kurusha wenyewe au kushirikiana na mataifa kama Japan, Russia, Marekani n.k. Dunia ya sasa...
Ni dhahiri kila mwanaume huzaliwa akiwa na uume wenye ngozi inayofunika kichwa cha uume(govi). Katika tanzania kuna makabila kadhaa ambayo unaweza mkuta kijana hajatahiriwa na wala asiwe na...
Wageni wenye ruhusa tu na wafanyakazi wanafika katika ghorofa ya tatu ndani ya Makao makuu ya shirika la kijasusi la Mossad ndani ya eneo lenye ulinzi mkali sana katika makutano ya barabara kuu...
KATIKA BIOLOGY TUMEFUNDISWA KUWA CHEMBE HAI ZA BINADAMU HUGAWANYIKA KUTENGENEZA CHEMBE HAI MFANANO.swali kama zinatengenezwa kuchukua nafasi ya zilizokufa ni kwa nini,binadamu azeeka..Na kama...
Swala hili limeanzia mbali sana. Kabla ya miaka ya 1800 mwishoni na 1900 mwanzoni wayahudi wengi walikuwa huko ulaya. Huko hasa ulaya mashariki walibaguliwa sana na hawakuruhusiwa hata kumiliki...
Utangulizi
Katika jambo ambalo nitaliongelea nitatumia lugha ya Kiswahili na kingereza kutokana na baadhi ya maneno ya kingereza kukosa tafsiri ya moja kwa moja ya Kiswahili.
Ninashukuru...
Ndege hiyo haijadondoka kokote pale, haijazama baharini, Kisanduku cheusi nacho kimakata mawasiliano yake ghafla,
IMETOWEKA ANGANI.
NI VIPI NDEGE INAWEZA KUTOWEKA HEWANI?
Uwezekano mkubwa...
Habari za jumapili wana jamvi, naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Moja ya habari kubwa iliyotawala vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifafa mwanzoni mwa wiki hii ni uzinduzi wa sanamu...
Hii ni moja kati dini changa zaidi Duniani kwa sasa.
Dini ilianza karne ya 19 huko Iran ikiwa imechupikia toka dhehebu la Shia.
Waanzilishi wa dini hii ni Bab na Bahaullah!
Dini hii inaamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.