Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Naomba mnielezee kitu iki sababu yake ni nini na impact yake
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bodi ya Kahawa (T) ni shirika la umma ambalo baadhi ya majukumu yake ni:- · Kuishauri serekali juu ya kanuni bora za maendeleo ya zao la kahawa Tanzania · Kushughulikia...
1 Reactions
7 Replies
9K Views
Salam kwenu wakuu, leo kwenye pitapita zangu nimekutana hii story nimeona ni bora tujadili pamoja. Inasemekana mwanadamu anatumia asilimia kumi (10%) ya ubongo wake inamaanisha kati ya asilimia...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Ndio, usipokuwepo, hakuna kilichopo. Hata Mungu hayupo ikiwa wewe haupo. Ndio maana wapo wanaohoji kwamba kati yako na Mungu, nani wakwanza kuwepo. Hoja hii inaweza kuwa na mashiko sana. Lazima...
6 Reactions
182 Replies
12K Views
CIA, MWIZI WA DARAJA LA KWANZA. Tarehe 25, Mei mwaka 1961, aliyekuwa raisi wa taifa la Marekani kipindi hicho John. F Kennedy alihutubia bunge la Congress ambapo aliweka lengo la Marekani...
13 Reactions
27 Replies
7K Views
We are under new tyranny, 21st century tyranny. Where we citizens fear our own government. We are under new challenges of the new age, once again we are facing these challenges of a new age...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wa jf katika hali inayoonesha kuwa Raisi wa urusi kwa sasa anahakikisha kurudisha heshima na nguvu ya Urusi ulimwenguni , siku za karibuni ameendeleza mazoezi makali ya kijeshi nchini humo...
4 Reactions
21 Replies
9K Views
Habari wana jukwaa pendwa la JF intelligence Leo naomba kuwaletea uchambuz kuhusu shirika la KGB had lilipovunjwa mwaka 1991 tutaonana majukumu yake na utendaji kazi wake. Mods naomba uzi huu...
5 Reactions
20 Replies
6K Views
wadau kwa muda nimekua nikijiuliza mini maana ya muda.. nani alipanga sec,min,and hours nakosa jibu kabisa.. kwa mtazamo wangu...mpangilio wa nini cha kufanya ndo ulileta uwepo wa intervals kati...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Wasalaam,,,Familia ya great Thinkers.... Kuna mambo huwa yananitatiza jamani,,nataka kujua uhusiano wa utendaji kazi wa mtu na vitu viwili,,, 1.feelings na utashi wa akili katka upambanuzi wa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu Kuna kitu kinanichanganya sana,katika maisha yangu .Mimi sio MTU wa kupiga sana simu kwa watu.Huwa napokea sana lawama Juu ya hii tabia,naonekana jeuri japo Mimi sielewi kwanini nipo hivyo...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Mataifa mengi hususani Africa yameanza kwa kasi urushaji wa Satellite angani katika karne hii kwa kurusha wenyewe au kushirikiana na mataifa kama Japan, Russia, Marekani n.k. Dunia ya sasa...
1 Reactions
61 Replies
10K Views
Ni dhahiri kila mwanaume huzaliwa akiwa na uume wenye ngozi inayofunika kichwa cha uume(govi). Katika tanzania kuna makabila kadhaa ambayo unaweza mkuta kijana hajatahiriwa na wala asiwe na...
7 Reactions
91 Replies
20K Views
Wageni wenye ruhusa tu na wafanyakazi wanafika katika ghorofa ya tatu ndani ya Makao makuu ya shirika la kijasusi la Mossad ndani ya eneo lenye ulinzi mkali sana katika makutano ya barabara kuu...
22 Reactions
118 Replies
19K Views
KATIKA BIOLOGY TUMEFUNDISWA KUWA CHEMBE HAI ZA BINADAMU HUGAWANYIKA KUTENGENEZA CHEMBE HAI MFANANO.swali kama zinatengenezwa kuchukua nafasi ya zilizokufa ni kwa nini,binadamu azeeka..Na kama...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Swala hili limeanzia mbali sana. Kabla ya miaka ya 1800 mwishoni na 1900 mwanzoni wayahudi wengi walikuwa huko ulaya. Huko hasa ulaya mashariki walibaguliwa sana na hawakuruhusiwa hata kumiliki...
10 Reactions
32 Replies
12K Views
Utangulizi Katika jambo ambalo nitaliongelea nitatumia lugha ya Kiswahili na kingereza kutokana na baadhi ya maneno ya kingereza kukosa tafsiri ya moja kwa moja ya Kiswahili. Ninashukuru...
10 Reactions
23 Replies
6K Views
Ndege hiyo haijadondoka kokote pale, haijazama baharini, Kisanduku cheusi nacho kimakata mawasiliano yake ghafla, IMETOWEKA ANGANI. NI VIPI NDEGE INAWEZA KUTOWEKA HEWANI? Uwezekano mkubwa...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari za jumapili wana jamvi, naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Moja ya habari kubwa iliyotawala vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifafa mwanzoni mwa wiki hii ni uzinduzi wa sanamu...
12 Reactions
42 Replies
9K Views
Hii ni moja kati dini changa zaidi Duniani kwa sasa. Dini ilianza karne ya 19 huko Iran ikiwa imechupikia toka dhehebu la Shia. Waanzilishi wa dini hii ni Bab na Bahaullah! Dini hii inaamini...
1 Reactions
55 Replies
17K Views
Back
Top Bottom