Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,751
Kuna jambo la ajabu ambalo wengi hawajalitambua... Nimejaribu kuunganisha dots, nikaingia Google kupata support ya picha na mawili matatu!
-Je unajua chochote kuhusu anguko la mji wa Ninawi na anguko la Saddam Hussein?
-Je unajua lolote kuhusu wairaq wa Mbulu Arusha kulikogunduliwa binadamu wa kwanza na wairaq wa Mashariki ya kati kunakosekana dunia ilianzia hapo!? Angalia mahali ilipo Eden, Ninawi, bahari ya Sham nknk
matukio mawili ya kufanana yaliyotokea katika nchi moja kwa tofauti ya maelfu ya miaka! Nitarejea kwa mahesabu yake
Kuna ufunuo hatujafunuliwa, yanayotokea mashariki ya kati ni unabii, unabii hauna budi kutimia.... Ni kipindi tu kitapita.... Achana na ukristo na uislam kuna makubwa kuliko hizi imani
Unaposoma misahafu unashawishika kabisa dunia tunayoifahamu ilianzia mashariki ya kati.... Hapa mahali hapatakaa paangamie kamwe.... Mbeba maono hafi.... Ni lazima unabii utimie
Hii ni part one nimetoka meditation naingia kilingeni.....
Stay tuned!
Sent using Jamii Forums mobile app
-Je unajua chochote kuhusu anguko la mji wa Ninawi na anguko la Saddam Hussein?
-Je unajua lolote kuhusu wairaq wa Mbulu Arusha kulikogunduliwa binadamu wa kwanza na wairaq wa Mashariki ya kati kunakosekana dunia ilianzia hapo!? Angalia mahali ilipo Eden, Ninawi, bahari ya Sham nknk
Kuna ufunuo hatujafunuliwa, yanayotokea mashariki ya kati ni unabii, unabii hauna budi kutimia.... Ni kipindi tu kitapita.... Achana na ukristo na uislam kuna makubwa kuliko hizi imani
Unaposoma misahafu unashawishika kabisa dunia tunayoifahamu ilianzia mashariki ya kati.... Hapa mahali hapatakaa paangamie kamwe.... Mbeba maono hafi.... Ni lazima unabii utimie
Hii ni part one nimetoka meditation naingia kilingeni.....
Stay tuned!
Sent using Jamii Forums mobile app