Taasisi hii kwa Sasa imeimarika zaidi compare na awamu ya nne.
Awamu ya nne Siri za serikali zilivuja Sana, hivyo kuharibu michakato mingi ya serikali na kuvipa umaarufu Baadhi ya vyombo vya...
OPERATION ISOTOPE:
Ndege ya Sabena flight 571 ilikua ni ndege ya abiria kutoka Brussels nchini ubelgiji kuelekea mji wa Lod nchini israel kupitia Vienna Austria. Ndege hii ilikua chini ya shirika...
Hakuna data zinazokubarika kimataifa za kiwango cha uzalishaji wa madawa ya kulevya siyo kwa Tanzania tu bali duniani kote. Kitu kinachojulikana ni mtikisiko na madhara yake yanayoonekana na huku...
September 20/2011 the Government of the United republic of Tanzania joined the Open Government Partnership (OGP) initiative (see attachement). And, on December 15/2011 the Government submitted the...
Wapi kwa nchini panatolewa mafunzo ya Kulinda watu special au Muhimu yani VIP Protection Training Je hawa Public figure wetu kama Bakhersa, Mo dewji, na Wengineo walio na impact kubwa na Jamii...
Jana Ijumaa Novemba 17, 2017 Salvatore (Totò) Riina, bosi wa kikwelikweli aliyebatizwa jina la utani la Belva au Beast (Mnyama) alifariki dunia akiwa gerezani.
Totò Riina alizaliwa Jumapili ya...
On November 12, Asgardia cemented its presence in outer space by launching the Asgardia-1 satellite.
The "nanosat" -- it is roughly the size of a loaf of bread -- undertook a two-day journey from...
Nyie mnao amini uwepo wa Mungu, Wakristo na waislam, na madhehebu mengine Je kila mmoja wenu mnamaanisha Mungu Mmoja?
Yani unavyomfikiria wewe na mwezio ni hivyohivyo? Je unauhakika Kiongozi wako...
Martin Luther (10 Novemba 1483 – 18 Februari 1546) alikuwa Mkristo mwanateolojia kutoka nchi ya Ujerumani maarufu kama mwanzilishi wa Uprotestanti.
Kisha kushindana na Papa wa Roma, na kutengwa...
Wadau wa JF, nimekuwa nkifatilia na kusoma kuhusu nyota tangu nipo primary lakini huwa sipati conectin vizuri kati ya nyota husika mfano mashuke au Nnge na maisha halisi, wakati mwingine huwa...
Rob Janoff [ kushoto kwenye picha ] ndiye aliye-design ile logo ya Apple. Kumekuwa na maswali kibao juu ya kwanini alichagua Apple lililong'atwa, au kwanini asingechagua Apple zima.
Rob Janoff...
Assalam aleykum wana jamvi habari za jioni
Kwanza kabisa ningependa kumshukuru Mwenyezi Mungu mpaka nakamilisha haka kautafiti kangu kadogo juu ya uwepo wa shetani duniani baada ya kujiuliza...
Bandugu naomba kujua ni kwa nini marekani ilifikia hatua ya kutumia bomu la atomic huko Japani?
Na kwa nini Japani hakulipiza kisasi? au walikubaliana nini hasa mpaka wajapan wakaridhika?
Ni...
Habari wana Jf
nmekua nikisikia kuhusu hiroshima /nagasaki...
habari zinasema kulikubwa na janga la mabomu ya nyuklia
Yoyote mwenye historia atufahamishe tusojua.
Je yaitokeaje? yameathiri vipi...
Wadau wa gt kwema???embu shirikianeni nami mara moja ktk kufikiri hili jambo.
Nimekaa nikawaza mara nyingi kwamba inawezekana kabisa the way tunaviona viumbe hai vidogo kabisa ktk microscopes na...
Waumini WA zama hizi wamekua very pessimistic Sana linapokuja swala LA teknolojia.
Mfano tecnolojia ya micro chip. Ambapo inaweza kuwekwa kwenye mwili WA MTU na kusaidia mambo yafuatayo.
Asiweze...
The US government on Thursday released a mammoth, long-awaited trove of secret files on the assassination of president John F. Kennedy, but withheld others for further review on national security...
Miaka ile ya nyuma anasimulia mjomba wangu ambaye anasema alikuwa anaendesha Magari. Anasema inawezekana kabisa matumizi ya Remote Control wazungu walijfunzia huku kwetu.
Ilikuwa ukiwa unasafiri...
6 famous female killers
1. Lizzie Borden
“Lizzie Borden took an axe
Gave her mother forty whacks
When she saw what she had done
She gave her father forty-one.”
The Lizzie Borden case grew...
Vangelia Gushterova - Vanga, alizaliwa tarehe 31 Mwezi wa Kwanza mwaka 1911 katika mji wa Strumica huko nchini Yugoslavia.
Akiwa na umri wa miaka 3, mama yake alifariki na pia baba yake alienda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.