Tatizo la kwetu ni bado kuwa na dhana tengemezi na kushindwa kujisaidia wenyewe. Kwa maoni yangu ndio sababu tutaendelea kuwa maskini pamoja na rasimali nyingi tulizonazo. Nchi kama South Korea...
Mnapokuwa kwenye mtumbwi na mmoja wenu akawa anatoboa mtumbwi, mkimwacha aendelee, wote mtazama majini. Mliokuwa mnaangalia na aliyekuwa anatoboa.
Uwajibikaji mahali pa kazi ni duni hasa ktk...
Tujiulize mimi na wewe mapenzi yetu yapo kwa nchi na unyoge wa watu wake au chama na serikali yake inayoneemesha viongozi wake kwa hazina iliyopo nchini?
Zaidi jisomee makala niliyoambatanisha...
Utafiti kutathmini thamani ya michango ya fedha (value for money) katika sekta ya Elimu: Michango ya kuendeleza Elimu Mkoa wa Kagera
Utangulizi:
Utafiti huu unalenga kutathmini thamani ya...
Tumejulishwa rasmi kuhusu maboresho mengine ya Jamiiforums ndani ya siku 45 zijazo... Ni taarifa rasmi toka kwa Mkuu Melo mwenyewe.... Maboresho hayo yanatokana na maoni ya wadau nje ya forum.. Na...
Katika biblia yako maneno ambayo yametumika ili kumaanisha Jambo Fulani.mara nyingi sio rahisi kuelewa na inahitaji kujifunza kwa bidii ili uweze kuhakikisha kile ambacho kimeandikwa kwa sababu...
Naaamini daima mlinzi wa mwisho wa nchi yoyote dunia ni USALAMA WA TAIFA wa TAIFA LOLOTE DUNIANI.
USALAMA WA TAIFA ndio roho ya mwisho ya TAIFA kujua MAADUI WA TAIFA na NDIO washauri wa muhimu...
Habari wakuu!
Wachungaji na makasisi wametufanya tuwe watoto wakufikia. Kama haitoshi Mashekhe na maimamu wametugeuza watoto haramu katika nyumba ya Baba yetu. Wameturubuni kwa maneno ya uongo na...
Hili ni kaburi la Mtwa Munyigumba Kilonge Mdegella Mwamuyinga lililo katika Kijiji cha Rungemba wilayani Mufindi, takribani kilometa 61 kutoka Iringa mjini.
MAANDIKO kadhaa yamekuwepo...
Habari ya usiku wakubwa. Leo nimejikuta nipo katika mood ya kuwasilisha mada ya yenye kichwa hicho hapo juu.
Je ni kweli kwamba nadharia hiyo ndio sababu au miongoni mwa sababu ya wanasayansi...
Wanasayansi na watafiti wamepata ushahidi wa kipekee sana duniani kwa kupata nyayo Zaidi ya 400 za mwanadamu wa kale katika tabaka linalokadiriwa kuwa na miaka 5000 mpaka 19,000. Nyayo hizo ni za...
Muone mwenyewe
The challenge...
Follow up...
Swali: Je ni kweli anachosema huyo daktari kwamba baada ya Thambo Mbeki aliyekuwa rais wa pili wa Afrika kusini kushtukia kwamba ARV ndizo...
Na.Dr.Omar Ali.
kuna mambo nayafanyia tafiti sasa hivi kuhusu maisha yalivyokuwa zama za kale kabla ya kuzaliwa yesu, vipi teknolojia zilivyokuwa kipindi hicho, historia inaonyesha jamaa walikuwa...
Mara nyingi namna ujasusi unavyotekelezwa katika dunia halisi ni mara chache sana hufanana na zile television movies za hollywoods kama James Bond, Tom Cruise na wengineo.Ila ujasusi bado inabaki...
Ni mawe matati yaliyowekwa huko Marekani na watu wasiojulikana mpaka leo hii yakitoa amri 10 zingine za dunia kwa lugha 8 za dunia kikiwepo na kiswahili.
Sababu na tumia simu siwezi weka maelezo...
The Islamic militant group ISIS, formerly known as Al-Qaeda in Iraq, and recently rebranded as the so called Islamic State, is the stuff of nightmares. They are ruthless, fanatical, killers, on a...
LAST DAY MEANS LAST AGE
The term ‘Last Day’ in reality stands for the ‘Last Age’, or the age which would culminate in the end of history—when the true Messiah, Jesus, the son of Mary (not son...
1. February 1984 Generali Gholam Ali ambaye alikuwa mkuu wa majeshi kwenye utawala wa Shah uliokuwa umepandikizwa na Marekani alijaribu kuiangusha serikali ya mapinduzi ya Iran akiwa mafichoni...
Kila familia hapa chini imepewa kazi yake ya kuumaliza Ulimwengu kutoka utawala wa Mungu hadi utawala wao wa NEW WORLD ORDER "NWO", na hizi ndo familia zinazo control dunia nzima yaani wamejivisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.