Viongozi wote wakuu wa nchi kupanda ndege moja, je kiusalama ni sahihi?

Complicator

JF-Expert Member
Aug 23, 2013
2,198
3,566
Jana nimeona wakati wa upokeaji wa ndege yetu mpya aina ya boeng 220-300.

Raisi,makamu wa raisi,waziri mkuu,spika wa bunge,jaji mkuu na wakuu wa vyombo vya usalama wote kwa pamoja waliingia ndani ya ile ndege kupata picha na kuifanyia uzinduzi.

Kiusalama ikoje iwapo ikatokea hujuma mle kukapigwa bomu,ina maana tutawapoteza hawa kwa mkupuo.

Hili huwa linazingatiwa au hapana.

Nasikia huwa siyo nzuri kiusalama hawa watu kuwepo pamoja sehemu moja.
 
Rais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu, Spika, Jaji Mkuu, Wakuu wa majeshi ndani ya ndege moja. Hatari.

IMG_20181224_084531.jpg
 
Kama sio ushamba wameka wanaenda wapi? ila viongozi wa Africa ni ma peasant sana.....kuzindua ndege mpaka ingie ndani na kukaa? Unafikiri ni wakaguzi wa ndege, wakati huo ujuzi hawana, ni wana siasa uchara
Ndio utanzania wetu, kuzindua pikipiki tu lazima upige misele au gari uingie kwanza u imagine kama ni kweli... Usipanik bro kuna nyingne inakuja Jan tutaingia tena
 
Back
Top Bottom