Kama mada inavyojieleza,
Nimekua nikisikia na kusoma katika maandiko ya vitabu vitakatifu kwamba kufa ni pumziko la milele, yani ukishakufa ndo basi tena unapotea jumla.
Lakini maandiko hayo...
Nawasalimu wote heri na amani ziwe nasi tena.
Kwa muda wa wiki hizi tatu hatukuwa hewani na kuwa kwenye sintofahamu kama JF itarudi tena ama la! Heri imerudi na shukrani kwa Mungu na uongozi wa...
Alphakrust Ltd is a subsidiary company of Alpha Group, the company boating as one pioneered the first Integrated Shrimp Aquaculture Project in Mafia Island, Tanzania.
That Around East Africa...
Siwezi Kuandika mengi hapa, ila nimekaa masaa matano najaribu kuilazimisha akili
yangu ipinge uwepo wa Muumba, akili imekataa kabisa. Haya ndiyo yaliyonifanya
nikiri kuwepo kwa MUUMBA wa kila...
Ndugu wana jamii intelligence (JI), nimekuwa nikijiuliza ni kitu gani kilocholikumba bara la Africa.. kiasi ambacho kwa miaka takriban 2000, bado ni bara omba omba, la hovyo kabisa na dhalili...
In short, they do consciously embrace a god -- and it is "the self". Unfortunately many of them do not simply reject Christianity and proceed to mind their own business; they invest their energy...
YESU ALIKUA MTAWA WA KIBUDDHA NA ALITUMIA MIAKA 16 NA ZAIDI HUKO INDIA NA TIBETI
Hadithi ya maisha ya mtu maarufu sana aliyewahi kuishi katika ulimwengu huu, kwa kweli, imejawa na mapengo...
tunapoishi tunaishi tukijiandaa kwa ajili ya kitu kimoja tu. maandalizi yetu sote yangepaswa yawe kwa ajili ya siku ya kufa. inawezekana mara nyingi kutokana na uzuri wa maisha kwa wengine husahau...
Wakuu wanajukwaa salaam kwenu.
Binafsi napenda kutambua mchango wa wadau mashuhuri wa jukwaa hili, nikiwataja kwa uchache The bold , MSEZA MKULU , barafu na wengineo wengi ambao kwa kiasi kikubwa...
Wana JF, pamoja na kwamba ninafahamu kwamba Polisi hufanya kazi zao kwa kuangalia ratiba yao wenyewe na mara nyingi bila shinikizo, ninashawishika kuuliza hatma ya tuhuma zilizotolewa na Dr...
Ukiwapa taarifa Polisi kuwa mahali fulani kuna maiti, kauliwa au kajinyonga, watakuja kichwakichwa bila ya note book ya kuweka michoro wala camera. Watakachokumbuka ni gloves tu. Hivi kwa wao...
Rais wa 45 wa Marekani, Donald J Trump ni moja ya binadamu wenye mafanikio sana duniani, japo kisiasa watu wanaweza kumbeza lakini huyu ni mtu ambaye anajua maana ya mafanikio, wakati wa mahojiano...
Kuna mambo ambayo yanatokea humu duniani ambayo yanamfanya mtu yoyote yule ajiulize maswali mengi bila kupata majibu,kuna zile habari za vyama vya siri ambazo leo zinaonekana kama ngano kwa baadhi...
Jamaa wawili walikuwa wanasafiri wakiwa wamepanda ngalawa. Haiyumkini kwa wale wasafiri wa baharini wanafaham Rabsha zitokeazo kunako maji.Wakiwa katikati ya bahari hali ikawa si shwari tena...
Wakuu,
Japo wapo baadhi ya watu ambao hawakuwa Marais wa Marekani lakini wamewekwa kwenye noti za Marekani.
Humu ndani wako wachambuzi wazuri sana wa historia, wanaoweza kutoa ufafanuzi ni mambo...
Salute Comrades...
Wakuu naomba kunfahamu huyu jamaa ni nani?
A-Z.
In short
Ndie anayeabudiwa na wachina,wathailand,wavetenam etc..
Alikua mtu wa watu sana, mwenye huruma hadi akaenda kuishi...
Habari zenu wakuu..
Mimi ni mmoja kati ya watu wanaoamini kuna watu wanatupangia matukio kwenye sekta tofauti(uchumi, siasa, michezo)kila mwaka kwa namna watakavyo hapa duniani kwa faida...
✳UHUSIANO WA JUBILEE YA MIAKA 70 YA ISRAEL NA KURUDI KWA YESU KULINYAKUA KANISA✳
*Na: Shujaa Charles Mwaisemba*
_▶SHEREHE YA MIAKA 70(JUBEILEE) YA TAIFA LA ISRAEL_...
Katika kutekeleza mauaji kwa njia ya sumu zipo njia nyingi sana, lakini kila aina ya sumu ina njia zake na kila jasusi ana njia zake, hili mara nyingi hutawaliwa na muda, mazingira na mlengwa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.