Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Kama mada inavyojieleza, Nimekua nikisikia na kusoma katika maandiko ya vitabu vitakatifu kwamba kufa ni pumziko la milele, yani ukishakufa ndo basi tena unapotea jumla. Lakini maandiko hayo...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
  • Redirect
Nawasalimu wote heri na amani ziwe nasi tena. Kwa muda wa wiki hizi tatu hatukuwa hewani na kuwa kwenye sintofahamu kama JF itarudi tena ama la! Heri imerudi na shukrani kwa Mungu na uongozi wa...
0 Reactions
Replies
Views
Alphakrust Ltd is a subsidiary company of Alpha Group, the company boating as one pioneered the first Integrated Shrimp Aquaculture Project in Mafia Island, Tanzania. That Around East Africa...
1 Reactions
4 Replies
6K Views
Siwezi Kuandika mengi hapa, ila nimekaa masaa matano najaribu kuilazimisha akili yangu ipinge uwepo wa Muumba, akili imekataa kabisa. Haya ndiyo yaliyonifanya nikiri kuwepo kwa MUUMBA wa kila...
15 Reactions
120 Replies
8K Views
Ndugu wana jamii intelligence (JI), nimekuwa nikijiuliza ni kitu gani kilocholikumba bara la Africa.. kiasi ambacho kwa miaka takriban 2000, bado ni bara omba omba, la hovyo kabisa na dhalili...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
In short, they do consciously embrace a god -- and it is "the self". Unfortunately many of them do not simply reject Christianity and proceed to mind their own business; they invest their energy...
14 Reactions
836 Replies
53K Views
YESU ALIKUA MTAWA WA KIBUDDHA NA ALITUMIA MIAKA 16 NA ZAIDI HUKO INDIA NA TIBETI Hadithi ya maisha ya mtu maarufu sana aliyewahi kuishi katika ulimwengu huu, kwa kweli, imejawa na mapengo...
3 Reactions
140 Replies
17K Views
tunapoishi tunaishi tukijiandaa kwa ajili ya kitu kimoja tu. maandalizi yetu sote yangepaswa yawe kwa ajili ya siku ya kufa. inawezekana mara nyingi kutokana na uzuri wa maisha kwa wengine husahau...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu wanajukwaa salaam kwenu. Binafsi napenda kutambua mchango wa wadau mashuhuri wa jukwaa hili, nikiwataja kwa uchache The bold , MSEZA MKULU , barafu na wengineo wengi ambao kwa kiasi kikubwa...
17 Reactions
73 Replies
20K Views
Wana JF, pamoja na kwamba ninafahamu kwamba Polisi hufanya kazi zao kwa kuangalia ratiba yao wenyewe na mara nyingi bila shinikizo, ninashawishika kuuliza hatma ya tuhuma zilizotolewa na Dr...
2 Reactions
25 Replies
5K Views
Ukiwapa taarifa Polisi kuwa mahali fulani kuna maiti, kauliwa au kajinyonga, watakuja kichwakichwa bila ya note book ya kuweka michoro wala camera. Watakachokumbuka ni gloves tu. Hivi kwa wao...
4 Reactions
14 Replies
3K Views
Rais wa 45 wa Marekani, Donald J Trump ni moja ya binadamu wenye mafanikio sana duniani, japo kisiasa watu wanaweza kumbeza lakini huyu ni mtu ambaye anajua maana ya mafanikio, wakati wa mahojiano...
69 Reactions
116 Replies
15K Views
Kuna mambo ambayo yanatokea humu duniani ambayo yanamfanya mtu yoyote yule ajiulize maswali mengi bila kupata majibu,kuna zile habari za vyama vya siri ambazo leo zinaonekana kama ngano kwa baadhi...
8 Reactions
57 Replies
10K Views
Jamaa wawili walikuwa wanasafiri wakiwa wamepanda ngalawa. Haiyumkini kwa wale wasafiri wa baharini wanafaham Rabsha zitokeazo kunako maji.Wakiwa katikati ya bahari hali ikawa si shwari tena...
10 Reactions
58 Replies
13K Views
Wakuu, Japo wapo baadhi ya watu ambao hawakuwa Marais wa Marekani lakini wamewekwa kwenye noti za Marekani. Humu ndani wako wachambuzi wazuri sana wa historia, wanaoweza kutoa ufafanuzi ni mambo...
13 Reactions
133 Replies
27K Views
Salute Comrades... Wakuu naomba kunfahamu huyu jamaa ni nani? A-Z. In short Ndie anayeabudiwa na wachina,wathailand,wavetenam etc.. Alikua mtu wa watu sana, mwenye huruma hadi akaenda kuishi...
8 Reactions
122 Replies
15K Views
Habari zenu wakuu.. Mimi ni mmoja kati ya watu wanaoamini kuna watu wanatupangia matukio kwenye sekta tofauti(uchumi, siasa, michezo)kila mwaka kwa namna watakavyo hapa duniani kwa faida...
42 Reactions
157 Replies
22K Views
  • Redirect
Wana jamii naombeni wa kunijuza kuusu hii kitu area 51 inahusu nini haswa..
2 Reactions
Replies
Views
✳UHUSIANO WA JUBILEE YA MIAKA 70 YA ISRAEL NA KURUDI KWA YESU KULINYAKUA KANISA✳ *Na: Shujaa Charles Mwaisemba* _▶SHEREHE YA MIAKA 70(JUBEILEE) YA TAIFA LA ISRAEL_...
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Katika kutekeleza mauaji kwa njia ya sumu zipo njia nyingi sana, lakini kila aina ya sumu ina njia zake na kila jasusi ana njia zake, hili mara nyingi hutawaliwa na muda, mazingira na mlengwa wa...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom