Nini tafsiri ya ndoto hii ?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,834
155,782
Nimeota niko watu wengi sana waliokufa zamani, na mimi ndio kiongozi wao licha ya kwamba sijafa.
Nimejiuliza maswali mengi sana sijapata jibu
 
Mimi nadhani utakuwa kiongozi soon, kwa either ofisini, nchini au whatever, kwa watu waliokuwa wamekata tamaa na wewe utakuwa nuru yao.
 
mmh kijana hujakua bado??usipende kusema ndoto yako in public!!sina mengi kwa hilo
 
Nimeota niko watu wengi sana waliokufa zamani, na mimi ndio kiongozi wao licha ya kwamba sijafa.
Nimejiuliza maswali mengi sana sijapata jibu


Buji... I hope mambo yako ya siku mbili tatu za nyuma yalokuzingua yako poa sasa...

Inabidi uangalie historia yako, kuna watu hua wana bahati ya kusoma ndoto zao tokana na historia yake.... Naamini ni mtu mzima hivyo kama hujawahi ota kabisa hivyo... ina maana ni moja tu ya zile ndoto ambazo hutokana na kukumbuka au mawazo. Personally kama a very close person of mine is about to die I dream a lot about death.... It's a terrible experience hua na haha mpaka tatizo linapotokea nakua nisha lose hope, energy and the person I love...

Nasisitiza kama si kawaida kuota marehemu... I deeply believe ni ndoto tu..
 
<p>
Nimeota niko watu wengi sana waliokufa zamani, na mimi ndio kiongozi wao licha ya kwamba sijafa.</p>
<p>Nimejiuliza maswali mengi sana sijapata jibu
</p>
<p>&nbsp;</p>

Mmh! ..hapa sasa nadhani ushiriki wa Sheikh Yahya nao unahitajika jamvini, teh!
 
Inamaanisha kuwa hao watu wengi walio kufa ni ccm na wewe uliyehai ni CDM!

Hiyo ndoto ni yakweli kabisa kiongozi tena itatimia kabla ya 2015
 
Inamaanisha kuwa hao watu wengi walio kufa ni ccm na wewe uliyehai ni CDM!

Hiyo ndoto ni yakweli kabisa kiongozi tena itatimia kabla ya 2015
 
Duh,Pole......Kama ni kweli yawezekana ukawa na promotion itakayokuhitaji kujitoa sana katika kuwapa wengine uwezo wa kusimama katika nafasi na utendaji wao......Vingenevyo yabidi nawe "ujivue gamba"
 
Furahia maisha acha kujipa presha na ndoto...mi hua nafikiria zinazonifurahisha nyingine napotezea!!‘
 
Bujibuji, dont die my dear, l love u and l need you more than l can say.
 
Inamaanisha kuwa hao watu wengi walio kufa ni ccm na wewe uliyehai ni CDM!

Hiyo ndoto ni yakweli kabisa kiongozi tena itatimia kabla ya 2015

Hahahaha.....!

I like ur ID coz its a nick name we r using with my work mates.
.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom