Tunaposoma kwenye biblia, kafara inatafsiriwa kama ishara ya utakaso na msamaha wa dhambi au kufanya mambo ambayo kwa hali ya kawaida haiwezekani isipokua kwa kumwaga damu .
Yesu alitolewa...
Je, sisi asili yetu ni watu wazuri? Ukiangalia nchi yetu pmj na matatizo yoote ya Kiuchumi lkn bado ni nchi yenye Amani na Utulivu kabisa, hakuna mauwaji ya mara kwa mara ya kutisha kama nchi...
Jamani inakuwaje kuwaje ukitumia simu za mezani za ttcl mambo poa,hata kwa sie wa siku nyingi walileta mradi wa simu za box unadumkiza sarafu unapiga,nazo zikawa safi na wakaweza ila za mkononi...
Jina la Kitabu.How to Negotiate Anything with Anyone Anywhere Around the World
Jina la Mwandishi.Frank Accuf
Mchambuzi.Nanyaro EJ
Utangulizi:
Mwandishi anasema kitabu hiki ni mwongozo kwa...
Wana jamvi nimekuwa mfuatiliaji sana wa moderm war apparatus! nikawa mdadisi khs MISSILE! nadhani nikipata msaada wa elimu ya KOMPYUTA (SOFTWARE) na UTENGENEZAJI VICHWA VYA SILAHA (WARHEAD) kwa...
tumeona technologia nyingi kama vile simu za samsung ambazo unaweza kufungua baadhi ya apps kwa kutazama kwa macho tu!
pia kuna teknologia za ajabu kwangu kama vile uwezo wa bluetooth kuhamisha...
Zombie Apocalypse: US Army has Plan to Stop Attacks by the Undead
By Ludovica Iaccino | IB Times Wed, May 14, 2014
The US military has prepared a defence plan in case of a zombie attack.
A...
Sheria inasemaje juu ya watoto chini ya umri wa miaka 8 kulazwa rumande kwa kosa la kushutumiwa kuvunja kioo cha gari wakicheza na mwenye gari akasisitiza watoto walazwe rumande?
Tukio hili...
Kwa maoni yangu nafikiri/naamini kwamba watu ambao SIYO Wabaguzi kama vile sisi (Waafrika/Watz) tuna IQ ndogo ikilinganishwa na wale ambao ni Wabaguzi (Wazungu, Waasia,Waarabu, Wahindi n.k)...
Salaamu kwenu!
Ninafahamu maana ya akili ni uwezo au weledi wa kutafuta jibu au utatuzi wa tatizo au changamoto.
Sasa je ni nini kipimo sahihi cha akili ya binadamu?
Watu huwa wanatumia kigezo...
Habari ndugu zangu.
Kuna jambo moja kubwa sana hususani hapa Tanzania naomba tusaidiane kuelewishana. Nini kipimo cha elimu ya mtu? Elimu ya mtu huwezi kupima tu kwa kiwango cha mfumo tuliowekewa...
Nimeona majarida mengi na mashirika mengi ya utafiti yakitoa takwimu za watu wenye IQ kubwa duniani.
Hivyo basi inaonyesha kipimo maalum cha IQ kipo.
Naomba kujuzwa hiki kipimo nitakipata...
UKWELI NA UONGO KATIKA MUKTADHA WA MAISHA YA KAWAIDA, NA NI IPI NAFASI YA UKWELI KATIKA MUKTADHA WA MAISHA YA KAWAIDA NA NI IPI NAFASI YA UONGO KATIKA MUKTADHA WA MAISHA YA KAWAIDA.
Na...
JE UKOMAVU WA KIAKILI NI NINI? SABABU ZINAZO PELEKEA MTU KUKOMAA KIAKILI, SABABU ZINAZO PELEKEA MTU KUSHINDWA KUKOMAA KIAKILI, JE UNAWEZAJE KUMTAMBUA MTU ALIYEKOMAA KIAKILI.
NA, Mr PHILOSOPHER...
Kipindi ambacho mtoto ujifunza KUWA sauti/neno analolisikia mara kwa mara kutoka kwa wazazi wake ni jina lake, mtoto uanza kujilinganisha yeye na neno hilo, ambalo huja kuwa wazo kwenye fikra zake...
Habarini ndugu zangu.
Katika maisha tunaona kila siku elimu ya teknolojia ikizidi kukuwa mpaka kufikia tusivo fikiria kama vina wezekana.mfano mzuri watu wanataka kwenda kuishi sayari ya...
Tanzania is sovereign country, we are not a colony no more, we have our sovereignty. Otherwise remove all sanctions against Russia for your speculations of interference in your democracy. More you...
MAWASILIANO YA SIRI, ISHARA NA DALILI
Na, Robert Heriel.
Jumbe hii isomwe kwa hekima kwao hao wenye hekima, tena wenye ufahamu wazidi kupata maarifa, lakini isomwe kipumbavu kwa hao wenye...
Since I was a young man I heard about these people, some are said they have high IQ than normal human being,and they scattered all over the world,but today I wait your contributions about it.but...
Nimekua nikiangalia muvi kwa mda kama wengi wetu tunavyo penda kupata muda kidogo wa kuufanya ubongo utulie kwa muda na kupata oxygen nzuri kama reserve kwa kuutimizia ubongo haja zake..
Yote...