warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,213
- 18,466
Tunaposoma kwenye biblia, kafara inatafsiriwa kama ishara ya utakaso na msamaha wa dhambi au kufanya mambo ambayo kwa hali ya kawaida haiwezekani isipokua kwa kumwaga damu .
Yesu alitolewa kafara, damu yake ikamwagika hili sisi tupone na tuondolewe dhambi na tutakaswe kwa roho mtakatifu, na ndio maana wakristo wengi wanaithamini damu ya Yesu .
Kinachonishangaza why Leo hii kafara zikitolewa kwa ajili ya kitu flani inaonekana ni dhambi kubwa sana na Jambo la kuogofya ilihali miaka iliyopita watu walikua wanatoa kafara kibao , za mbuzi ng'ombe kama sadaka za kuteketezwa?
Mungu mwenyewe alimwambia abraham amtoe mwanae wa pekee isaka kama Sadaka ya kuteketezwa ingawaje baadae aliingilia kati na kumkataza asimchinje mwanae na badala yake achinje kondoo
Swali ninalojiuliza, kuna siri gani iliyojificha nyuma ya kafara ya kumwaga damu ? Iwe ya mbuzi, kuku ,ng'ombe au binadamu. Kwa nini watu wengi wanapotoa kafara ya damu wanafanikiwa sana ? , kuna Siri gan iliyojificha nyuma ya kafara? Maana tu naona hata kwenye biblia miaka hiyo kafara zilikua zikitolewa na lilikua Jambo la kawaida lakini Sasa hivi ni haramu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yesu alitolewa kafara, damu yake ikamwagika hili sisi tupone na tuondolewe dhambi na tutakaswe kwa roho mtakatifu, na ndio maana wakristo wengi wanaithamini damu ya Yesu .
Kinachonishangaza why Leo hii kafara zikitolewa kwa ajili ya kitu flani inaonekana ni dhambi kubwa sana na Jambo la kuogofya ilihali miaka iliyopita watu walikua wanatoa kafara kibao , za mbuzi ng'ombe kama sadaka za kuteketezwa?
Mungu mwenyewe alimwambia abraham amtoe mwanae wa pekee isaka kama Sadaka ya kuteketezwa ingawaje baadae aliingilia kati na kumkataza asimchinje mwanae na badala yake achinje kondoo
Swali ninalojiuliza, kuna siri gani iliyojificha nyuma ya kafara ya kumwaga damu ? Iwe ya mbuzi, kuku ,ng'ombe au binadamu. Kwa nini watu wengi wanapotoa kafara ya damu wanafanikiwa sana ? , kuna Siri gan iliyojificha nyuma ya kafara? Maana tu naona hata kwenye biblia miaka hiyo kafara zilikua zikitolewa na lilikua Jambo la kawaida lakini Sasa hivi ni haramu
Sent from my iPhone using JamiiForums