Dunia iletengenezwa na uchafu wa anga

Dunia iletengenezwa na uchafu wa anga

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
15,759
Reaction score
37,374
Ni vigumu sana kuelewa na wakati mgumu kutafuta,labda usubiri maoni au uzi tu.
Tuachane na hayo
Dunia ina kila ya kilichomo kama makusanyiko yaliyo ndani hapa.
IMG_3339.jpg


Kueleza kwa mambo kama haya ni changamoto sana

Kwa nini ?
Dunia wanasayansi wanasema kuwa ilitengenezwa na takataka zilizopo angani wakati jua miaka bilioni 4.6 kuanza kujitengeneza na mipasuko ya hali ya kijografia huko kwenye hanga.
Labda tuseme mabadiliko ya nyota .

Inasemekana dunia ilikuwa ni mkusanyiko wa uchafu
IMG_3340.jpg


Naona mnaweza kujadili na jf yenu
 
Uchafu huo aliutupa nan? Au ulitoka wap wa kuijaza dunia yote? Hadi ukatengeneza magma ardhini na uchafu mwingine ukatengeneza mwezi. Logic zingine bora niendelee kuwa mjinga tu...!
 
Ni vigumu sana kuelewa na wakati mgumu kutafuta,labda usubiri maoni au uzi tu.
Tuachane na hayo
Dunia ina kila ya kilichomo kama makusanyiko yaliyo ndani hapa.View attachment 1660830

Kueleza kwa mambo kama haya ni changamoto sana

Kwa nini ?
Dunia wanasayansi wanasema kuwa ilitengenezwa na takataka zilizopo angani wakati jua miaka bilioni 4.6 kuanza kujitengeneza na mipasuko ya hali ya kijografia huko kwenye hanga.
Labda tuseme mabadiliko ya nyota .

Inasemekana dunia ilikuwa ni mkusanyiko wa uchafu
View attachment 1660837

Naona mnaweza kujadili na jf yenu
Mungu ndiye muumba wa mbingu na ardhi.
 
Wewe ungesema tu kwa kufupisha dunia na vyote Ni vumbi la nyota!!
 
Back
Top Bottom