Uwepo wa wakati uliopita na wakati ujao katika ndoto zetu

GRAMAA

JF-Expert Member
Nov 1, 2014
1,155
3,399
Kitendo cha kuwa nimelala usiku mmoja na nikawa naota ndoto na ndani ya ndoto hiyo nikawa nazungumzia matendo niliyofanya miaka mingi iliyopita huko huko ndotoni wakati matendo hayo sijawahi kuyafanya duniani. Kitendo hiki huwa kinanifikilisha sana.

Na baada ya kushituka kutoka ndotoni huwa najiuliza sana kwamba inamaana maisha ya ndotoni huwa ni marefu sana sawa na maisha ya duniani kiasi kwamba yamebeba nyakati zote za maisha yaani wakati uliopita,wasasa na wakati ujao?

Ngoja niweke mfano ili tuweze kuelewana namaanisha nini.

MAZUNGUMZO YAKO UKIWA NDOTONI.
Unaweza ukawa ndotoni na ukawa unaongea na mwenzako huko huko ndotoni mambo yaliyokutokea miaka mingi huko huko ndotoni na ukawa unayakumbuka vizuri tu ila chakushangaza mambo hayo hayajawahi kukutokea katika maisha yako ya duniani.

MFANO UNAOTA UNAONGELEA MAMBO YALIYOPITA UKIWA NDOTONI NA WENZAKO KAMA VILE:-

i/ MUOTAJI: mwaka juzi nilidondokewa na mti mpaka nikalazwa hospitali miezi sita.

Yaani hapa ukiwa ndotoni unakuwa na uhakika kabisa kuwa mwaka juzi ulidondokewa na mti mpaka ukalazwa hospitali na ikiwezekana hata makovu ya kuchubuka unakuwa nayo na unakumbuka tukio zima lilivyokuwa na huwezi kujua kama ndoto mpaka ushituke. Na wakati maisha yako ya duniani hujawahi kutokewa na tukio hilo.

Huo ni mfano tu Ila yapo matukio mengi sana ambayo umewahi kuyaota umefanya ndotoni miaka mingi huku duniani hujawahi hata kuyafanya.

Kitendo hiki kinamaanisha maisha ya ndotoni yamekamilika ndiyo maana yana past,present na future?

Ipi tofauti kati ya maisha ya ndotoni na haya tuliyonayo kama yote yamekamilika kwa nyakati zote muhimu?

Kipi kinachosababisha unaota dakika chache ila ndani ya ndoto unakuwa umeishi maisha marefu sana?

Kipi husababisha kutokea kwa matukio ndotoni ambayo hayajawahi kukutokea duniani?

Au kwenye ndoto napo kuna muda( masaa)?

Karibuni wajuzi wa mambo.
 
Cha kwanza anza kujitambua wewe ni nani kwanza, tambua tofauti kati ya mwili, fahamu na utashi. Mwili ni kasha lililohifadhi ubongo ndani yake ambayo ni engine au kipitishi cha ufahamu ktk mwili, lakini ufahamu ni energy inayoweza ishi pasipo ubongo kiimani ujulikana kama roho.

Fahamu inapoungana na mwili upitia kwenye ubongo kuwasiliana na milango hisi kuuamuru mwili kufanya jambo kwa kushirikisha utashi hapo tunapata uhalisia wa maisha yakutokuwa ndotoni,

Lakini chakuzingatia hapa ni kwamba iwe umelala au umeamka huko macho tofauti ni utashi (kuwa na uwezo wakuamua kutenda/kutokutenda)na kutokuwa na utashi(kutokuwa na uwezo wa kuzuia chochote kinachotendeka/kuota)
Ukweli mchungu ni kuwa katika vyote hapo hupo ndotoni na maisha yako yote ni ndoto katika ulimwengu wa fahamu yako.

Hivyo fahamu kama nguvu isiyo na mipaka utumia ubongo kuhifadhi picha mbalimbali inazozikusanya katika dimension tofauti tofauti za ulimwengu na dunia kila siku kukupa experience mbalimbali ikiendelea na ile hali yake ya kubuni nakuunganisha picha mbalimbali ambazo zikiunganishwa wakati wa utashi binafsi utafsiriwa kama akili katika uhalisia na siyo ndoto kumbe ni ndoto pia sawa na kile ulichokiota ukiwa ubongo na milango yote haijashirikishwa katika ukamilifu.

Kwanini mazingira ya ndoto niyakustaajabisha na matukio ni ya haraka na yenye kutozingatia muda wala mpangilio jibu ni rahisi kuwa ufahamu unakuwa unatenda yake nje ya kizuizi ambacho ni mwili, hivyo ukiwa katika kile ukiitacho ndoto waweza kwenda kokote au kufanya lolote pasipo mipaka ya muda,uwezekano au chochote kile.

Kwanini niende wakati uliopita,uliopo na ujao katika ndoto afu kwenye uhalisia nisiweze nafikiri umeshapata sababu tiyari na kizuizi cha hilo ni huo mwili ulionao sasa,

ndiyo maana hapa duniani kuna kitu kinaitwa tahajudi au meditation inayokuwezesha kujiongoza kutoka katika mwili nakujiunga na ufahamu wako kuziona hizo ndoto zako na unaweza ona utakachoota baadaye(yajayo) au kitakachokukuta muda huo na ukiwa makini na tahajudi yako waweza kubadili ndoto hiyo (destiny)kuwa kile ukitakacho katika utashi wa mwili possibly kwa sababu zote ni ndoto.

Ufahamu utakwama kuzalisha picha dadisi na hisi nakubaki stationed milele pale mwili unapokoma kuishi/kufa hivyo kitakachoapia katika ufahamu ni giza tupu mpk mwanga utakapopatikana tena ndipo utambuzi utaendelea kupitia mwili.

Ni idea tata na ngumu kuhielezea kwa sababu ni ufahamu ukijaribu kujipambanua wenyewe hivyo naomba nikomee hapa,pengine maelezo haya yatakuwa mwarobaini au chachu ya kupata ukweli katika mjadala huu nawasilisha.
 
Cha kwanza anza kujitambua wewe ni nani kwanza, tambua tofauti kati ya mwili, fahamu na utashi. Mwili ni kasha lililohifadhi ubongo ndani yake ambayo ni engine au kipitishi cha ufahamu ktk mwili, lakini ufahamu ni energy inayoweza ishi pasipo ubongo kiimani ujulikana kama roho.

Fahamu inapoungana na mwili upitia kwenye ubongo kuwasiliana na milango hisi kuuamuru mwili kufanya jambo kwa kushirikisha utashi hapo tunapata uhalisia wa maisha yakutokuwa ndotoni,

Lakini chakuzingatia hapa ni kwamba iwe umelala au umeamka huko macho tofauti ni utashi (kuwa na uwezo wakuamua kutenda/kutokutenda)na kutokuwa na utashi(kutokuwa na uwezo wa kuzuia chochote kinachotendeka/kuota)
Ukweli mchungu ni kuwa katika vyote hapo hupo ndotoni na maisha yako yote ni ndoto katika ulimwengu wa fahamu yako.

Hivyo fahamu kama nguvu isiyo na mipaka utumia ubongo kuhifadhi picha mbalimbali inazozikusanya katika dimension tofauti tofauti za ulimwengu na dunia kila siku kukupa experience mbalimbali ikiendelea na ile hali yake ya kubuni nakuunganisha picha mbalimbali ambazo zikiunganishwa wakati wa utashi binafsi utafsiriwa kama akili katika uhalisia na siyo ndoto kumbe ni ndoto pia sawa na kile ulichokiota ukiwa ubongo na milango yote haijashirikishwa katika ukamilifu.

Kwanini mazingira ya ndoto niyakustaajabisha na matukio ni ya haraka na yenye kutozingatia muda wala mpangilio jibu ni rahisi kuwa ufahamu unakuwa unatenda yake nje ya kizuizi ambacho ni mwili, hivyo ukiwa katika kile ukiitacho ndoto waweza kwenda kokote au kufanya lolote pasipo mipaka ya muda,uwezekano au chochote kile.

Kwanini niende wakati uliopita,uliopo na ujao katika ndoto afu kwenye uhalisia nisiweze nafikiri umeshapata sababu tiyari na kizuizi cha hilo ni huo mwili ulionao sasa,

ndiyo maana hapa duniani kuna kitu kinaitwa tahajudi au meditation inayokuwezesha kujiongoza kutoka katika mwili nakujiunga na ufahamu wako kuziona hizo ndoto zako na unaweza ona utakachoota baadaye(yajayo) au kitakachokukuta muda huo na ukiwa makini na tahajudi yako waweza kubadili ndoto hiyo (destiny)kuwa kile ukitakacho katika utashi wa mwili possibly kwa sababu zote ni ndoto.

Ufahamu utakwama kuzalisha picha dadisi na hisi nakubaki stationed milele pale mwili unapokoma kuishi/kufa hivyo kitakachoapia katika ufahamu ni giza tupu mpk mwanga utakapopatikana tena ndipo utambuzi utaendelea kupitia mwili.

Ni idea tata na ngumu kuhielezea kwa sababu ni ufahamu ukijaribu kujipambanua wenyewe hivyo naomba nikomee hapa,pengine maelezo haya yatakuwa mwarobaini au chachu ya kupata ukweli katika mjadala huu nawasilisha.
Ikiwa unaweza kuelezea zaidi ya hapa tafadhali endelea, ila mimi mpaka hapa nmekuekewa
 
Cha kwanza anza kujitambua wewe ni nani kwanza, tambua tofauti kati ya mwili, fahamu na utashi. Mwili ni kasha lililohifadhi ubongo ndani yake ambayo ni engine au kipitishi cha ufahamu ktk mwili, lakini ufahamu ni energy inayoweza ishi pasipo ubongo kiimani ujulikana kama roho.

Fahamu inapoungana na mwili upitia kwenye ubongo kuwasiliana na milango hisi kuuamuru mwili kufanya jambo kwa kushirikisha utashi hapo tunapata uhalisia wa maisha yakutokuwa ndotoni,

Lakini chakuzingatia hapa ni kwamba iwe umelala au umeamka huko macho tofauti ni utashi (kuwa na uwezo wakuamua kutenda/kutokutenda)na kutokuwa na utashi(kutokuwa na uwezo wa kuzuia chochote kinachotendeka/kuota)
Ukweli mchungu ni kuwa katika vyote hapo hupo ndotoni na maisha yako yote ni ndoto katika ulimwengu wa fahamu yako.

Hivyo fahamu kama nguvu isiyo na mipaka utumia ubongo kuhifadhi picha mbalimbali inazozikusanya katika dimension tofauti tofauti za ulimwengu na dunia kila siku kukupa experience mbalimbali ikiendelea na ile hali yake ya kubuni nakuunganisha picha mbalimbali ambazo zikiunganishwa wakati wa utashi binafsi utafsiriwa kama akili katika uhalisia na siyo ndoto kumbe ni ndoto pia sawa na kile ulichokiota ukiwa ubongo na milango yote haijashirikishwa katika ukamilifu.

Kwanini mazingira ya ndoto niyakustaajabisha na matukio ni ya haraka na yenye kutozingatia muda wala mpangilio jibu ni rahisi kuwa ufahamu unakuwa unatenda yake nje ya kizuizi ambacho ni mwili, hivyo ukiwa katika kile ukiitacho ndoto waweza kwenda kokote au kufanya lolote pasipo mipaka ya muda,uwezekano au chochote kile.

Kwanini niende wakati uliopita,uliopo na ujao katika ndoto afu kwenye uhalisia nisiweze nafikiri umeshapata sababu tiyari na kizuizi cha hilo ni huo mwili ulionao sasa,

ndiyo maana hapa duniani kuna kitu kinaitwa tahajudi au meditation inayokuwezesha kujiongoza kutoka katika mwili nakujiunga na ufahamu wako kuziona hizo ndoto zako na unaweza ona utakachoota baadaye(yajayo) au kitakachokukuta muda huo na ukiwa makini na tahajudi yako waweza kubadili ndoto hiyo (destiny)kuwa kile ukitakacho katika utashi wa mwili possibly kwa sababu zote ni ndoto.

Ufahamu utakwama kuzalisha picha dadisi na hisi nakubaki stationed milele pale mwili unapokoma kuishi/kufa hivyo kitakachoapia katika ufahamu ni giza tupu mpk mwanga utakapopatikana tena ndipo utambuzi utaendelea kupitia mwili.

Ni idea tata na ngumu kuhielezea kwa sababu ni ufahamu ukijaribu kujipambanua wenyewe hivyo naomba nikomee hapa,pengine maelezo haya yatakuwa mwarobaini au chachu ya kupata ukweli katika mjadala huu nawasilisha.
Asante sana kwa mwanzisha thread, kwani kupitia wewe, nimepata elimu hii adhimu kutoka kwa Mkuu Undava King nilikuwa sijawah kufikiria hiki kitu kabisa. Nilikuwa nikisikia tu watu wakiongelea ulimwengu wa roho,,, ulimwengu wa roho,,, mara ulimwengu wa roho haufungwi kwenye muda,,, pasipo maelezo yanayojitosheleza. Mkuu Hapa amefafanua kwa kina zaidi na nimemuelewa vizuri sana.
Mkuu Undava King kama unayakuongezea tafadhali tupatie darsa
 
Cha kwanza anza kujitambua wewe ni nani kwanza, tambua tofauti kati ya mwili, fahamu na utashi. Mwili ni kasha lililohifadhi ubongo ndani yake ambayo ni engine au kipitishi cha ufahamu ktk mwili, lakini ufahamu ni energy inayoweza ishi pasipo ubongo kiimani ujulikana kama roho.

Fahamu inapoungana na mwili upitia kwenye ubongo kuwasiliana na milango hisi kuuamuru mwili kufanya jambo kwa kushirikisha utashi hapo tunapata uhalisia wa maisha yakutokuwa ndotoni,

Lakini chakuzingatia hapa ni kwamba iwe umelala au umeamka huko macho tofauti ni utashi (kuwa na uwezo wakuamua kutenda/kutokutenda)na kutokuwa na utashi(kutokuwa na uwezo wa kuzuia chochote kinachotendeka/kuota)
Ukweli mchungu ni kuwa katika vyote hapo hupo ndotoni na maisha yako yote ni ndoto katika ulimwengu wa fahamu yako.

Hivyo fahamu kama nguvu isiyo na mipaka utumia ubongo kuhifadhi picha mbalimbali inazozikusanya katika dimension tofauti tofauti za ulimwengu na dunia kila siku kukupa experience mbalimbali ikiendelea na ile hali yake ya kubuni nakuunganisha picha mbalimbali ambazo zikiunganishwa wakati wa utashi binafsi utafsiriwa kama akili katika uhalisia na siyo ndoto kumbe ni ndoto pia sawa na kile ulichokiota ukiwa ubongo na milango yote haijashirikishwa katika ukamilifu.

Kwanini mazingira ya ndoto niyakustaajabisha na matukio ni ya haraka na yenye kutozingatia muda wala mpangilio jibu ni rahisi kuwa ufahamu unakuwa unatenda yake nje ya kizuizi ambacho ni mwili, hivyo ukiwa katika kile ukiitacho ndoto waweza kwenda kokote au kufanya lolote pasipo mipaka ya muda,uwezekano au chochote kile.

Kwanini niende wakati uliopita,uliopo na ujao katika ndoto afu kwenye uhalisia nisiweze nafikiri umeshapata sababu tiyari na kizuizi cha hilo ni huo mwili ulionao sasa,

ndiyo maana hapa duniani kuna kitu kinaitwa tahajudi au meditation inayokuwezesha kujiongoza kutoka katika mwili nakujiunga na ufahamu wako kuziona hizo ndoto zako na unaweza ona utakachoota baadaye(yajayo) au kitakachokukuta muda huo na ukiwa makini na tahajudi yako waweza kubadili ndoto hiyo (destiny)kuwa kile ukitakacho katika utashi wa mwili possibly kwa sababu zote ni ndoto.

Ufahamu utakwama kuzalisha picha dadisi na hisi nakubaki stationed milele pale mwili unapokoma kuishi/kufa hivyo kitakachoapia katika ufahamu ni giza tupu mpk mwanga utakapopatikana tena ndipo utambuzi utaendelea kupitia mwili.

Ni idea tata na ngumu kuhielezea kwa sababu ni ufahamu ukijaribu kujipambanua wenyewe hivyo naomba nikomee hapa,pengine maelezo haya yatakuwa mwarobaini au chachu ya kupata ukweli katika mjadala huu nawasilisha.
Mkuu shukrani sana kwa maelezo mazuri.

Ila hata ndotoni mtu akiwa anaota anakuwa na mwili uliokamilika. Yaani anakuwa na miguu,mikono,macho,Tumbo,kifua na n.k

Na viungo hivi vinafanya kazi zile zile za mwili kabla ya kulala. Kama vile kukimbia,kula,kuongea n.k.

Je, unalizungumziaje hiki?

Je, binadamu ana mwili zaidi ya mmoja? Yaani ule uliouacha kitandani wakati umelala na ule unaokuwa nao ndotoni ukifanya vitendo mbalimbali.

Kwa kitendo hiki inawezekana tukawa hatupo duniani bali ni ndoto tu?

Yaani mfano hapa nilipo naota napost Jf kumbe hakuna jf wala nini ni ndoto zangu tu.
 
Mkuu shukrani sana kwa maelezo mazuri.

Ila hata ndotoni mtu akiwa anaota anakuwa na mwili uliokamilika. Yaani anakuwa na miguu,mikono,macho,Tumbo,kifua na n.k

Na viungo hivi vinafanya kazi zile zile za mwili kabla ya kulala. Kama vile kukimbia,kula,kuongea n.k.

Je, unalizungumziaje hiki?

Je, binadamu ana mwili zaidi ya mmoja? Yaani ule uliouacha kitandani wakati umelala na ule unaokuwa nao ndotoni ukifanya vitendo mbalimbali.

Kwa kitendo hiki inawezekana tukawa hatupo duniani bali ni ndoto tu?

Yaani mfano hapa nilipo naota napost Jf kumbe hakuna jf wala nini ni ndoto zangu tu.

Hauna mwili zaidi ya huo ulio nao, unajiona hivyo hivyo ulivyo ndotoni kwa sababu ufahamu ni hule hule ila kilichobadilika ni utashi tu ndo umekosekana hivyo ukitaka kuthibitisha hili jitizame katika ndoto unaona nini
Bila shaka utanijibu najiona na kwanini ujione? Mbona ukiwa kwenye utashi wako ujizingatii kama unajiona mpaka uhamue kufanya hivyo,mfano macho yako wakati wote utizama pua lako lakini ulioni kwanini?
Jibu ni kuwa yule katika ndoto ni kopi ya picha yako na fahamu zako zilivyojipa experience ya mwonekano wako kwa muda mrefu hivyo unakuwa na uwezo wakujiona umbo zima,watu na mazingira unayoyafahamu au usiyo yafahamu,

kwa wakati huu wewe ni ufahamu usio kamili katika ulimwengu wa mwili uliopumzika(ubongo uliopunguza nishati ya utambuzi timivu kwa muda) hivyo wakati mwingine ubongo unakuwa nusu umepumzika na nusu upo kazini na hapa utakuwa nusu ndotoni nusu katika utashi wako hivyo waweza amua ndoto iendelee au iishie hapo(lucid dreams)

ndio maana kuna ndoto unazitolea mpaka judgement huko huko ndotoni kuwa hapa naota au unajishtukia kuwa hizi ni nguvu za giza na gospel linapigwa huko huko kimya kimya na evil power wanafeel vibration na wanasepa then unashtuka umelowa jasho, mziki unauimba ndotoni ukishtuka unagundua ulilala redio ikiwa on,au ufahamu uunda picha na ubongo uzifanyia kazi katika nusu utashi wako mfano mzuri ndoto za kutembea,kulia,kucheka,kuongea usingizini n.k

Hivyo ufahamu utumia kumbukumbu zilizoifadhiwa ndani ya ubongo na zilizopo katika mazingira ya nje ya ubongo kutengeneza matukio yasiyo kuwa na mpangilio maalumu kama ufanyavyo kila siku pasipo utashi isipokuwa utashi unapokuwepo(ubongo katika utimamu kamili+ ufahamu) ndipo sasa unafanya mambo kwa usahihi au uhalisia(binadamu mwenye akili timamu).


Kwa hiyo kuna tofauti ndogo sana ya kichaa na mtu timamu kiakili kinachowatofautisha ni uhalisia(utashi) wa ndoto zao, na ndio maana matatizo ya akili ni mengi sana hasa pale mtu anaposhindwa kujinasua katika mawazo mazito au hisia kali

Umpelekea kuingia deep katika tafakuri ambayo ufanya ubongo ustuck au memory ijae full kama ifanyavyo simu na kutoruhusu visa vitokavyo kwenye tafsiri ya ufahamu kupata nafasi ya kufanyiwa mchujo kuleta uhalisia hivyo mafahili yanakuwa hayafunguki au visa upandiliana na kuwa unsupported format na mtu huyu uhitwa kichaa na wale wanaoweza kutafsiri ndoto zao katika utashi au mafile yenye mpangilio huitwa wazima.
 
Mkuu shukrani sana kwa maelezo mazuri.

Ila hata ndotoni mtu akiwa anaota anakuwa na mwili uliokamilika. Yaani anakuwa na miguu,mikono,macho,Tumbo,kifua na n.k

Na viungo hivi vinafanya kazi zile zile za mwili kabla ya kulala. Kama vile kukimbia,kula,kuongea n.k.

Je, unalizungumziaje hiki?

Je, binadamu ana mwili zaidi ya mmoja? Yaani ule uliouacha kitandani wakati umelala na ule unaokuwa nao ndotoni ukifanya vitendo mbalimbali.

Kwa kitendo hiki inawezekana tukawa hatupo duniani bali ni ndoto tu?

Yaani mfano hapa nilipo naota napost Jf kumbe hakuna jf wala nini ni ndoto zangu tu.

Nitakujibu maswali yako matatu ya mwisho kama ifuatavyo:- Swali lako la kuwa na miili miwili kama ni astro projection ndo ulimaanisha basi nitakujibu kuwa ni kitendo cha ubongo kupunguza power yake yakufanya kazi kama kawaida mtu anapolala nakutreack milango mingine ya fahamu mwilini kuwa umelala huku ubongo na ufahamu vikiwa bado active,

kwa kitendo hicho ufahamu utashindwa kujizuia kuendelea kufanya kazi yake yakuunda taswira hivyo chakwanza kukiona ni wewe na code au channel pitishi/unganishi ya energy ya ufahamu wako na mwili,

simply kwa kuwa ufahamu normally uingia ndani lakini kiasili huko nje au u-float katika space utakachokiona cha kwanza ni ile hali ya kuelea na kwenda au kuwepo popote pasipo kizuizi chochote cha umbali au muda hapa utakuwa kwenye ndoto kamili yenye ufahamu na robo tatu ya utashi.

Swali la pili toka mwisho unajiuliza kama ni kweli tupo duniani jibu ni ndio tupo duniani lakini tusingeweza kuishi duniani kwa usalama kama si kwa staili hii ya kuota, maana kama dunia ipo katika space na inazunguka kwa kasi mno mbali na mivutano iliyopo baina yake na magimba mengine hewani kwanini wewe usiisi chochote au kizunguzungu au milio au mivumo ya upepo mkali n.k,

hii inawezekana kwa sababu fahamu zako u-occupy space nje ya ubongo kuleta uwiano au balance ya mwili na mazingira ya nje kupitia illusion ya utulivu na pale utakapo utoa ufahamu wako katika balance yake ya kumaintain equilibrium hii kati yake na dunia kwa kujizungusha kwa kasi katika formula ya mduara bila shaka ubongo na fahamu zitashindwa kwa muda kudetect mjongeo huu kama ni mwili au dunia

na hivyo kukupa uhalisia wako ambao unauita kizunguzungu au maruweruwe na pindi ufahamu utakapothibiti utulivu wa awali utajirudi katika hali ya awali ukihisi kichefuchefu na kichwa kuuma kama ishara ya kuwa kwenye mwendo mkali bila hiyari ya ufahamu mfano wa wanaotapika wakiwa safarini.

Na ndiyo maana hata ubongo wako ukiacha sababu ya usalama wake ukiwa ndani ya fuvu bado unamaintain ile hali ya kuelea pasipo kujiegemeza popote kuweka balance hivyo bila mapichapicha ya ufahamu ungekuwa ndani ya mwendo usioweza kuudhibiti na hatimaye ni kuto-exist juu ya uso wa dunia.

Swali la mwisho ni kuwa hapo ulipo bado unaota nakuwa JF haipo jibu ni kweli unaota ndiyo na JF ipo kwa sababu ndani ya ndoto zako hizo hizo na taswira zako hizo na imagination zake zimepelekea ufanye vitu viitwavyo ubunifu naukaishia kuunda,kuvumbua na kufanya makubwa ambayo unayaishi hivyo nisahihi tukisema kale ka msemo kuwa tunaziishi ndoto zetu.

Kama kuna maswali endeleeni kuuliza au kama nikupinga au kutofautiana na ideas au concept zangu pia rhuksa mjadala uwe huru na kila mtu achangie anavyoelewa ili tupate majawabu,asanteni.
 
Nitakujibu maswali yako matatu ya mwisho kama ifuatavyo:- Swali lako la kuwa na miili miwili kama ni astro projection ndo ulimaanisha basi nitakujibu kuwa ni kitendo cha ubongo kupunguza power yake yakufanya kazi kama kawaida mtu anapolala nakutreack milango mingine ya fahamu mwilini kuwa umelala huku ubongo na ufahamu vikiwa bado active,

kwa kitendo hicho ufahamu utashindwa kujizuia kuendelea kufanya kazi yake yakuunda taswira hivyo chakwanza kukiona ni wewe na code au channel pitishi/unganishi ya energy ya ufahamu wako na mwili,

simply kwa kuwa ufahamu normally uingia ndani lakini kiasili huko nje au u-float katika space utakachokiona cha kwanza ni ile hali ya kuelea na kwenda au kuwepo popote pasipo kizuizi chochote cha umbali au muda hapa utakuwa kwenye ndoto kamili yenye ufahamu na robo tatu ya utashi.

Swali la pili toka mwisho unajiuliza kama ni kweli tupo duniani jibu ni ndio tupo duniani lakini tusingeweza kuishi duniani kwa usalama kama si kwa staili hii ya kuota, maana kama dunia ipo katika space na inazunguka kwa kasi mno mbali na mivutano iliyopo baina yake na magimba mengine hewani kwanini wewe usiisi chochote au kizunguzungu au milio au mivumo ya upepo mkali n.k,

hii inawezekana kwa sababu fahamu zako u-occupy space nje ya ubongo kuleta uwiano au balance ya mwili na mazingira ya nje kupitia illusion ya utulivu na pale utakapo utoa ufahamu wako katika balance yake ya kumaintain equilibrium hii kati yake na dunia kwa kujizungusha kwa kasi katika formula ya mduara bila shaka ubongo na fahamu zitashindwa kwa muda kudetect mjongeo huu kama ni mwili au dunia

na hivyo kukupa uhalisia wako ambao unauita kizunguzungu au maruweruwe na pindi ufahamu utakapothibiti utulivu wa awali utajirudi katika hali ya awali ukihisi kichefuchefu na kichwa kuuma kama ishara ya kuwa kwenye mwendo mkali bila hiyari ya ufahamu mfano wa wanaotapika wakiwa safarini.

Na ndiyo maana hata ubongo wako ukiacha sababu ya usalama wake ukiwa ndani ya fuvu bado unamaintain ile hali ya kuelea pasipo kujiegemeza popote kuweka balance hivyo bila mapichapicha ya ufahamu ungekuwa ndani ya mwendo usioweza kuudhibiti na hatimaye ni kuto-exist juu ya uso wa dunia.

Swali la mwisho ni kuwa hapo ulipo bado unaota nakuwa JF haipo jibu ni kweli unaota ndiyo na JF ipo kwa sababu ndani ya ndoto zako hizo hizo na taswira zako hizo na imagination zake zimepelekea ufanye vitu viitwavyo ubunifu naukaishia kuunda,kuvumbua na kufanya makubwa ambayo unayaishi hivyo nisahihi tukisema kale ka msemo kuwa tunaziishi ndoto zetu.

Kama kuna maswali endeleeni kuuliza au kama nikupinga au kutofautiana na ideas au concept zangu pia rhuksa mjadala uwe huru na kila mtu achangie anavyoelewa ili tupate majawabu,asanteni.
Shukran sana Mkuu. Mimi naomba niongezee tu maswali mawili. Kwanza natanguliza samahani kama nitakuwa nimetoka nje ya mada. Nimesikia kua mtu anapofanya meditation ili kukua kiroho na kufungua Jicho lake la tatu (The Third eye) (Pineal gland) ili awe na hekima, maono na maarifa ya Kiungu inatakiwa akae sehemu yenye utulivu wa hali ya juu sana ndipo afanye hiyo taamuli/ Meditation. Sasa nasikia siku hizi kuna kitu kinaitwa benaural beats/ brain wave mtu anameditate huku anasikiliza sauti. Ni nini kinafanyika hapo wakati ile sauti inakuwa inaondoa utulivu/ ukimya masikioni?

Swali lingine. Kipindi cha nyuma nilikuwa nafanya meditation ili nifungue Jicho langu la tatu baada ya kuvutiwa na sifa zake, lakini kuna jamaa yangu mmoja akanambia nikilifungua tu hilo Jicho Freemason/ Illuminati watanitrack na nitakuwa naendeshwa kwa order, watazicontrol fikra zangu na ntakosa pakuchomokea, niliogopa sana. Je, kuna ukweli wowote hapo mkuu?
 
Shukran sana Mkuu. Mimi naomba niongezee tu maswali mawili. Kwanza natanguliza samahani kama nitakuwa nimetoka nje ya mada. Nimesikia kua mtu anapofanya meditation ili kukua kiroho na kufungua Jicho lake la tatu (The Third eye) (Pineal gland) ili awe na hekima, maono na maarifa ya Kiungu inatakiwa akae sehemu yenye utulivu wa hali ya juu sana ndipo afanye hiyo taamuli/ Meditation. Sasa nasikia siku hizi kuna kitu kinaitwa benaural beats/ brain wave mtu anameditate huku anasikiliza sauti. Ni nini kinafanyika hapo wakati ile sauti inakuwa inaondoa utulivu/ ukimya masikioni?

Swali lingine. Kipindi cha nyuma nilikuwa nafanya meditation ili nifungue Jicho langu la tatu baada ya kuvutiwa na sifa zake, lakini kuna jamaa yangu mmoja akanambia nikilifungua tu hilo Jicho Freemason/ Illuminati watanitrack na nitakuwa naendeshwa kwa order, watazicontrol fikra zangu na ntakosa pakuchomokea, niliogopa sana. Je, kuna ukweli wowote hapo mkuu?

Bila samahani japo sipendi kuzungumzia mambo ya meditation maana nikitu kilichojadiliwa mara kadhaa JF na kuna wajuzi wa mambo haya humu ndani kuniliko ila ntakujibu ifuatavyo;

Ndani ya ubongo wako 24/7 kuna kelele nyingi mno ambazo uzalishwa na mazingira yanayokuzunguka kupitia milango yako ya fahamu na pia mawazo au majadiliano ya fikra zako mwenyewe hivyo hili mtu haweze kufanya tahajudi imempasa kuwa kwenye ile hali yakuwa mtulivu kama aliyelala usingizi wa pono pasina kuhusumbua ubongo kutafakari nakuzidisha kelele nakupoteza dhana nzima ya umakini,

Hivyo ubongo utakapo poa na kelele kutoweka ufahamu utachukua nafasi yake nakuanza kukuonesha vilivyomo katika upande wa pili wa ndoto zisizokuwa na utashi na kadri utakavyozidi kujipa uzoefu wakuunganisha ubongo wako na fahamu zako moja kwa moja bila kuwepo na chokochoko zinazotowesha umakini ndio tunasema utajijengea utashi binafsi kuanzia kwenye ndoto siziso na utashi mpaka kwenye zile halisia na hivyo kujikuta ukiwa mtu wa tofauti kiufahamu.

Unaposikiliza beats za aina fulani, kurudia maneno ya aina fulani kila mara,au kuhesabu kete, tarakimu n.k lengo hapa si lingine bali kumantain utulivu nakuzuia mawazo yako binafsi kuendelea kukusumbua kila mara unapojaribu kujisaulisha huku ukizidi kutafakari,

hivyo kuondoa hili inakuwa ni bora kuchagua jambo utakalo dili nalo kwa kuelekeza umakini na mawazo yako yote pale mpaka ujisahau ndipo ubongo utahisi ni muda wakuruhusu ufahamu uje moja kwa moja kwa maana hakuna mwingiliano tena na mawazo ya utashi binafsi.

Swali la mwisho; kuepukana na mambo yakuambiwa au kufanya jambo ambalo huna hakika nalo na mwisho likaivuruga akili yako ni vyema kufanya jambo hilo chini ya uangalizi maalumu wa mtaalamu wa tahajudi kwa matokeo mazuri.

Kumbuka tahajudi kwa wengine ni ibada kabisa na ni mfumo wa kawaida wa maisha yao ya kila siku na ni kozi unayojifunza kwa muda mrefu tu siyo kuamka zako asubuhi nakuanza kufungua jicho la tatu,

so unaitaji kujifunza hatua kwa hatua mpaka ufikie kujiongoza mwenyewe na hivyo utokuwa na maswali mengi yawe ya kweli au uzushi maana majibu yake utayapata huko huko na ukweli utakuweka huru.
 
Bila samahani japo sipendi kuzungumzia mambo ya meditation maana nikitu kilichojadiliwa mara kadhaa JF na kuna wajuzi wa mambo haya humu ndani kuniliko ila ntakujibu ifuatavyo;

Ndani ya ubongo wako 24/7 kuna kelele nyingi mno ambazo uzalishwa na mazingira yanayokuzunguka kupitia milango yako ya fahamu na pia mawazo au majadiliano ya fikra zako mwenyewe hivyo hili mtu haweze kufanya tahajudi imempasa kuwa kwenye ile hali yakuwa mtulivu kama aliyelala usingizi wa pono pasina kuhusumbua ubongo kutafakari nakuzidisha kelele nakupoteza dhana nzima ya umakini,

Hivyo ubongo utakapo poa na kelele kutoweka ufahamu utachukua nafasi yake nakuanza kukuonesha vilivyomo katika upande wa pili wa ndoto zisizokuwa na utashi na kadri utakavyozidi kujipa uzoefu wakuunganisha ubongo wako na fahamu zako moja kwa moja bila kuwepo na chokochoko zinazotowesha umakini ndio tunasema utajijengea utashi binafsi kuanzia kwenye ndoto siziso na utashi mpaka kwenye zile halisia na hivyo kujikuta ukiwa mtu wa tofauti kiufahamu.

Unaposikiliza beats za aina fulani, kurudia maneno ya aina fulani kila mara,au kuhesabu kete, tarakimu n.k lengo hapa si lingine bali kumantain utulivu nakuzuia mawazo yako binafsi kuendelea kukusumbua kila mara unapojaribu kujisaulisha huku ukizidi kutafakari,

hivyo kuondoa hili inakuwa ni bora kuchagua jambo utakalo dili nalo kwa kuelekeza umakini na mawazo yako yote pale mpaka ujisahau ndipo ubongo utahisi ni muda wakuruhusu ufahamu uje moja kwa moja kwa maana hakuna mwingiliano tena na mawazo ya utashi binafsi.

Swali la mwisho; kuepukana na mambo yakuambiwa au kufanya jambo ambalo huna hakika nalo na mwisho likaivuruga akili yako ni vyema kufanya jambo hilo chini ya uangalizi maalumu wa mtaalamu wa tahajudi kwa matokeo mazuri.

Kumbuka tahajudi kwa wengine ni ibada kabisa na ni mfumo wa kawaida wa maisha yao ya kila siku na ni kozi unayojifunza kwa muda mrefu tu siyo kuamka zako asubuhi nakuanza kufungua jicho la tatu,

so unaitaji kujifunza hatua kwa hatua mpaka ufikie kujiongoza mwenyewe na hivyo utokuwa na maswali mengi yawe ya kweli au uzushi maana majibu yake utayapata huko huko na ukweli utakuweka huru.
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom