Sauti ya Mungu ndio wanasayansi wanajikita kujua ni nani!

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,722
Sisi wanadamu tuna siri kubwa sana.

Kuna mada zinaweza kuleta mdaalo sana. Kwanini
Binadamu nje ya sayansi kama kuweza uchawi basi ujue sauti ya mungu kaweza kuchunguza sana na kujua sana.

Siyo kisayansi tu
Kama sauti ya mungu imeweza kutofautisha leo mwanzo,mwanga,rangi,sauti,tv na n.k basi ni kutaka kujua

IMG_3494.jpg


Ni sababu kubwa kuwa wanadamu tuna kipi mpaka kujua mbingu ya saba.

IMG_3495.jpg

Imetokana na sauti na wanasayansi kusema nilitoa post hapa.

Sauti ufananishwa umeme kiufupi kwa vile si rahisi kufika kufika kama mwanga,maana mwanga ukipita unapita.

Na mada hii niliongea kuhusu ukitembea spidi ya mwanga unaweza kushinda umri.

Napenda mjadili kuna wana wajua uzi wapo hapo.
 
Nilidhani macho na akili yangu vimeshindwa kutambua maandishi ya huyu jamaa kumbe ni aina ya uandishi wake ndiyo shida.
 
Duu nimetoka kapa sijui kaandika nini hiki. Jamaa jaribu kupangilia kidogo uandishi wako ueleke unachokiandika
 
Back
Top Bottom