Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Mungu, Nafsi, na Uumbaji Tafsiri Mpya ya "Aliyeitwa" “Mungu” Ni Nani? Neno "Mungu", kwa kiingereza "God", linatokana na chimbuko la Kijerumani la kale, likimaanisha "aliyeitwa" au "the invoked."...
2 Reactions
4 Replies
491 Views
Mengi, This Day wamjibu Mahalu, Wasisitiza si mwaminifu, pia alidanganya. Waeleza alivyoweka fedha akaunti tofauti. Wasema kavuliwa ubalozi, ilibainika Dar na Mwandishi Wetu. MWENYEKITI Mtendaji...
1 Reactions
215 Replies
41K Views
Salute comrades NB: bandiko hili nimetumia maandiko ya biblia hata kama unaona haikuhusu nakusihi endelea kusoma unaweza pata kitu. Katika dunia yetu hii tumeona ni sentensi ya maneno kadhaa tu...
145 Reactions
432 Replies
59K Views
Kuna habari mbalimbali kuhusu huyu bwana hususan hata kuhusiana na wanyama waliotoroshwa na biashara ya wanyama kwa ujumla. Lakini sidhani kama ni miongoni mwa watu waliofikishwa mahakamani...
10 Reactions
155 Replies
32K Views
Wadau poleni na majukumu. Nimekuwa nikisoma makala mbalimbali zinazoonesha maswali kwamba, ni nani hasa mjenzi wa majengo ya Piramidi ambayo yapo kwenye nchi ya Misri. Lakini pia baadhi ya nchi...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Magofu ya Uwanja wa Baalbek, Lebanon Nchini Lebanon, eneo la Baalbek, kuna magofu ya Uwanja mkubwa wa Ndege ambao wajenzi wake hawafhamiki. Hata hivyo, hudhaniwa kuwa, ni Uwanja uliokuwa...
26 Reactions
455 Replies
76K Views
Wana wa Mungu walilala na mabinti wa wanadamu. Kulingana na Biblia, wanadamu walipoongezeka duniani, Wana wa Mungu waliona mabinti wazuri na kuwachukua kuwafanya wake zao na kuzaa nao watoto. Huo...
7 Reactions
45 Replies
17K Views
We all want to improve. We dream of becoming better, stronger, and more successful. But when it’s time to 𝐬𝐭𝐞𝐩 𝐨𝐮𝐭 𝐨𝐟 𝐨𝐮𝐫 𝐜𝐨𝐦𝐟𝐨𝐫𝐭 𝐳𝐨𝐧𝐞𝐬, we hesitate. - We want to be healthy, but we don’t want...
16 Reactions
28 Replies
1K Views
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi...
132 Reactions
2K Replies
85K Views
Ni chombo cha kisayansi kilichorushwa na shirika la maswala ya anga NASA mwaka 1977,kusudi la kurushwa chombo hiki ni kwaajili ya kupeleleza anga ndani na nje ya mfumo wetu wa jua. Voyager 1...
36 Reactions
340 Replies
43K Views
Nawasalimia wana JF wote. Leo nitaongelea uthibitisho wa kisayansi uwepo wa Mungu. Na ninapenda tujadili hapa kisayansi zaidi. Pamoja na kuunganisha imani mbalimbali zilizopo. Sipendi niseme...
25 Reactions
410 Replies
18K Views
Bila shaka mko vizuri wanajukwaa... Leo wacha niwape maneno ya yule mzee ili mnisaidie kuyatafakari. Huyu mzee alianza kwa kuniambia kwamba kimsingi ndani ya kila mtu kuna mbawa za kuruka juu ya...
19 Reactions
29 Replies
2K Views
Salaam, shalom!! ( Isaya 6:1-10), Mwanzo 1:26-28). (Matendo 9:4) Maandiko ya atwambia Mbingu na Dunia zimejaa utukufu wa Mungu, hii inamaanisha Mungu yupo everywhere. Hapo hapo maandiko...
15 Reactions
514 Replies
18K Views
Machi Mosi 1896, Kibanga alimshushia mkoloni kipigo cha mbwa koko katika ardhi ya Ethiopia. Majeshi ya Dola ya Italia yaliyojaa uroho wa kujimilikisha rasilimali za Ethiopia yalipata tabu sana...
36 Reactions
58 Replies
15K Views
“Kwa nini maisha ni ubatili” ni la kina sana—ni swali ambalo watu wengi mashuhuri wa falsafa, dini, na roho wamejiuliza kwa maelfu ya miaka. Hapa kuna majibu kwa mitazamo mbalimbali: 1. Mtazamo...
10 Reactions
120 Replies
5K Views
——-VITU VINAVYOTOKEA KWENYE SPIRITUAL REALM——- In spiritual realm kuna mambo mengi yanatokea. Ni tofauti na ndoto unavyodhani ila yenyewe nafsi yako inakuwa imepelekwa kwenye mazingira fulani na...
11 Reactions
70 Replies
3K Views
Mfalme OG anatajwa kwenye vitabu vya dini kuu tatu za mashariki ya kati i.e uislam,ukristo na uyahudi.... Inaelezwa alikuwa ni mfalme aliyetawala eneo la Canaan (palestina/israel ama jordan ya...
55 Reactions
789 Replies
179K Views
Habari wana JF nimekuwa nikijiuliza hili swali,naomba wataalamu wa mambo mnisaidie kujibu hilo. Maana ukisoma maandiko ni kwamba maagizo ya kula tunda yalitolewa na Mungu kwa mwanadamu kuwa...
46 Reactions
194 Replies
22K Views
Nimekuwa nikijaribu kila wakati kufikiri na kufanya tafiti kwa kutumia akili binafsi bila machapisho wala vitabu rejeaa ma msaada hadithi za kusimuliwa,.moja ya mambo ambayo huwa nafikiria ni...
21 Reactions
939 Replies
287K Views
IJUE NYOTA YAKO Nyota ni Elimu ya Sayansi ya kiroho ambayo inatumika Dunia nzima. Kila mtu katika Dunia akitaka asitake, aamini au asiamini atakuwa amezaliwa katika moja wapo ya nyota hizi 12...
33 Reactions
1K Replies
960K Views
Back
Top Bottom