Tatizo la kunuka sehemu za siri husababishwa na mabadiliko ya bakteria wa asili, maambukizi ya fangasi, magonjwa ya zinaa, au ukosefu wa usafi sahihi, na linaathiri jinsia zote mbili.
Ingawa umma...
Guys ni wapi kwa hapa Tz nitapata sehemu wanapandikiza mbegu nimekaa nimetafakari kwa umri wangu huu miaka 23 sijawahi kuwa na demu wala wa kusingiziwa na sina mpango wa kuoa,ninachotaka kufanya...
Habari wakuu.
Poleni kwa kuwashtua.
Poleni kwa Kuwapa tension.
Kuna Bonge la Uzi niliwahi kusoma Mwaka 2020 miaka Takriban 7 Iliyopita.
UZI ULIKUWA UNAELEZEA KWA UNDANI MNO KUHUSU HUU HISTORJA...
1.UTI
2. PID
3.Vidonda vya tumbo
4.Bawasiri
5.Presha
6.Kisukari
7.Maumivu ya viungo na ganzi
8.Ngozi ya mafuta na chunusi
9.Ngozi kavu na mikunjo
10.Nywele kukatika au kutorefuka
Tuma ujumbe...
Kwa uzoefu wangu mdogo nimebaini Watanzania wengi sana tunapofikisha miaka around 40 tunaanza kupata changamoto nyingi sana za kiafya zinazo weza kuzuilika kutokana na life style zetu.
Ukiachana...
Hola! 🙋🏽♀️
Ningependa kujua maoni yenu kuhusu bangi(420) pia huitwa weed, marijuana, ganja, n.k..
Kuna watu wanasema wanaitumia kwa kujisikia vizuri, kupunguza stress au hata kama dawa. Pia...
Mimi ni Moja ya watu waliohangaika sana na hivi vipele/vidonda kwa mda mrefu sana.
Nimetumia Kila dawa za kienyeji mpaka sindano nimechoma ila hola sikupona.
Ila nilivyogundua huu mchanganyiko wa...
Habari!?
Eeeeh bwana eeeh, nimeteseka sana aisee.
Nimesumbuliwa na shida ya vidonda vya tumbo kwa zaidi ya miaka 10.
Katika kipindi hicho chote nimetumia dawa nyingi sana, kuanzia dawa za...
Kwani watu wanaopatwa tatizo la kupungukiwa damu anatakiwa kuongezewa na watu wajamii yake tu au ilimradi damu iwe ya binadamu mwenzie mwenye sifa na vigezo bila kujali jamii yaani...
Nywele zinaweza kutibiwa njia mbalimbali
Kemikali
Mimea
Mafuta
Hivi vyote vinaweza kuchanganywa katika bidhaa
Shampoo
Conditionner
Steaming
Proteins
Mafuta ya Maji/ Mgando
Lotions...
Hospitali, hasa hospitali binafsi, huwa zinatoza ada tofauti kwa huduma za daktari wa ujumla (Medical Doctor/GP), daktari bingwa na daktari bingwa bobezi.
Kama umeomba na kulipia kuonwa na...
Kiwango Bora cha PSA Chahusishwa na Kuongezeka kwa Fursa ya Kupona Saratani ya Tezi Dume
Baada ya matibabu ya saratani ya tezi dume iliyosambaa (metastatic prostate cancer), kupungua kwa viwango...
Kilio cha mama kinapochanganyika na sauti ya kwanza ya mtoto, mara nyingi huleta faraja na furaha isiyoelezeka. Lakini nyuma ya pazia hilo la matumaini, kuna nyakati ambazo maisha ya mama na mtoto...
Watu wengi wanadhani wanawake wanaenjoy Sana kujifungua kwa operesheni
Operesheni Kwanza inaumaaa nyie sikieni Tu
Pili kumbe inapunguza uke
Unakuta ulikataa vibamia huko nyuma .mbona...
Revealed: Menopause Age Myths – Are You Early, On-Time, or Late?
The Transition Timeline: Understanding Your Menopause Journey
The natural cessation of reproductive cycles represents one of the...
Aina nyingi za ngiri ama hernia zinatokea eneo la tumbo kati ya kifua na nyonga. Kwa watu wengi ngiri siyo tatizo linalohatarisha maisha japo ni tatizo lisiloisha lenyewe bila upasuaji ama dawa...
Naomba kujua nini kinaweza kutokea kama ukipatwa na jinamizi ukakosa nguvu ya kunyanyuka na ukaamua ulale maana wengi wetu huwa tunapambana sana mpaka tunanyenyua kiungo kimoja wapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.