Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

Vidonda vya tumbo (peptic ulcers) ni Ugonjwa unaompata mtu ambapo kunatokea vijidudu au mchubuko katika kuta za ndani za viungo vya mfumo wa uyeyushaji chakula michubuko hiyo huweza kujitokeza...
0 Reactions
0 Replies
47 Views
  • Featured
Daktari mstaafu wa magonjwa ya ndani, aliyewahi kufanya kazi katika kitu cha afya kikubwa mkoani Dar es Salaam, Kituo cha Afya Sinza Dar es Salaam Dk. Phoibe Koshuma, anasema magodoro ya kisasa...
12 Reactions
17 Replies
722 Views
Msaada wenu wa haraka wakuu Dawa ya kutibu vidonda vya tumbo au hata inayopunguza ya dharula muda huu tumbo wakuu msaada wenu wa comment
2 Reactions
40 Replies
583 Views
Ukiachilia mbali na vipimo vya DNA nitumie njia gani ili kubaini kama kabeba mimba yangu huyu mwanamke? Nimeandika nikiwa na machungu sana haiwezekani baada ya kunasa ujauzito amekuwa akiniona...
3 Reactions
19 Replies
221 Views
Habari JamiiForums, Mdogo wangu ni mgonjwa na tumekuwa tukipata huduma katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Mloganzila na Upanga tangu Oktoba 2025 kwa ajili ya matibabu ya kifua na mapafu...
0 Reactions
2 Replies
86 Views
Vidonda vya tumbo ni moja ya magonjwa yanotusumbua sana miongoni mwetu na hii siyo Tanzania tu ni dunia nzima. Naleta huu uzi kwa maana wanasema sharing problem is half way of solving it. Hivyo...
2 Reactions
57 Replies
11K Views
Ni mwanamke mtu mzima 43 years. Alipata miscarriage 3. Akawa hapati tena ujauzito. Sasa amepata tena ila dalili sio njema. Kuna vipunje vya damu ameviona akijisaidia kama mara mbili. Gino...
2 Reactions
36 Replies
611 Views
Kutokea uzoefu wa elimu ya mimea tiba na uhusiano wake na elimu ya viungo vya mwili vilipo(Anatomy) na elimu ya mwili unavofanya kazi (Physiology), Huu ni muunganiko wa maarifa mengi yaliyo katika...
1 Reactions
3 Replies
213 Views
No wonder this grass went viral all over the social media. With its endless health benefits, it is truly God’s gift to mankind. We can find this weed almost everywhere throughout the Philippines...
82 Reactions
2K Replies
365K Views
Hii kitu iko. Au unakuta Mwanamke anamchukia Baba Kijacho au kumchukia/Kumpenda Mtu mwingine. Au kupenda na kuchukia vitu. Hii inaweza kuelezeka , kwasababu ya Hormonal changes. Ila sasa, Je...
3 Reactions
47 Replies
596 Views
CONSTPATION NI NINI ? Hili ni Tatizo la kutopata Kwa Muda Mrefu au" Kupata Mara Chache Lakini Kwa Shida Sana na Nguvu Kubwa huwa inatumika Katika Kuhakikisha Walau hicho Kidogo Kinatoka , Kwa...
0 Reactions
0 Replies
69 Views
Anonymous
Zahanati ya Kijiji Cha Ndomondo, Kata ya Ndomoni, Wilaya ya Nachingwea tunateseka na huduma za afya kwa Watumiaji wa Bima (NHIF), Mganga Mkuu anawatoza ‘cash’ wagonjwa wenye Bima ili wapate huduma...
1 Reactions
2 Replies
82 Views
Uliumwa ugonjwa gani mpaka ukaamua kupima HIV. Je ulikutwa nao au.wasiwasi wako tu.
3 Reactions
20 Replies
373 Views
Jana nilifika pale hospital ya muhimbili kitengo cha tiba asili nikanunua hiyo dawa ya vidonda vya tumbo, kwa maelezo ya Dr natakiwa kunywa chupa 15 mpaka 20 , nilinunua chupa 5 za kuanzia Kwahiyo...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Naombeni ushauri wenu wa mawazo wakuu mara kadhaa nimekuja humu kuomba ushauri na msaada kwa yeyote anaejua dawa ya kutibu vidonda vya tumbo lakini haikusaidia dawa nilitumia mno Ila...
1 Reactions
20 Replies
278 Views
Anonymous
Fedha za basket fund ambazo huwa zinaingizwa kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya kila baada ya robo mwaka haijaingia tangu mwezi disemba 2025. Hii imepelekea changamoto ya uendeshaji wa vituo...
0 Reactions
7 Replies
169 Views
Je mwanamke akiwa na mimba hedhi inaweza kuendela kutoka?au imekaaje wakuu,naomba ufafanuzi Kwa madakitari na mtu yoyote mwenye uelewa humu JF
0 Reactions
7 Replies
133 Views
Anonymous
Katika Kituo cha Afya Nyarugusu, Geita Vijijini, kuna muuguzi na mtaalamu wa usingizi anayeitwa Fredrik Lugay ambaye anadaiwa kufanya upasuaji kwa wajawazito na wagonjwa wengine, huku akitoza...
3 Reactions
4 Replies
517 Views
Gout/Jongo ni ugonjwa sungu wa jamii ya YABISI ambao umefahamika kwa miaka mingi sana. Inasadikika kuwa watu wa kwanza kuutambua ugonjwa huu walikuwa watu wa Misri, kunako miaka ya 2640BC...
0 Reactions
1 Replies
154 Views
Back
Top Bottom