Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

Wanajamvi mzazi wangu anaumwa amefanya vipimo imeonyesha chambe hai nyekundu za damu zimezidi. Daktari wake anasema chanzo hakijulikani kwa hiyo hata matibabu sahihi imekuwa ngumu. Naombeni mwenye...
0 Reactions
6 Replies
162 Views
Msaada wakuu nimejichunguza mda huu,,hasa ngozi chini ya uume kuanzia kwenye kichwa Hadi korodani zote mbili ngozi imebabuka haswaa Hadi magamna ya ngozi yanatika nafanya kuyavuta,pia uume chini...
11 Reactions
48 Replies
1K Views
Wakuu mnisamehe bure mwandiko wangu sio mzuri sana, mwenye Lengo la kunisadia anisaidie tu kama Kanielewa. Ni hivi wakuu? Eti wapi Chimbuko La dawa za asili yaani ni sehemu gani mkoa gani au ni...
10 Reactions
164 Replies
45K Views
Wakuu Nimetokwa na vipele, naomba msaada wa tiba ya tatizo hili eEK
2 Reactions
38 Replies
2K Views
Jaman kuna tatizo limenipata kipindi hiki huwa nawashwa kwenye mwili ikifka muda wa kulala ndio kabisa nazidi hii inatokana na nn jaman inanisumbua mno
2 Reactions
17 Replies
316 Views
Muhimu: Uzi huu hauhusishi matatizo ya nguvu za kiume, tayari kuna uzi wake maalum jukwaa la mapenzi Huu ni uzi spesho wa mirejesho yetu tuliowahi kutumia tiba asili na zikatusaidia, yaani sisi...
45 Reactions
265 Replies
31K Views
Ugonjwa wa kupoteza fahamu (Dementia) ni nini? Neno ‘Dementia’ (ugonjwa wa kupoteza ufahamu) linaelezea dalili mbalimbali kama vile upotezaji wa kumbukumbu, matatizo ya kufikiria au kuongea, na...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari zenu vipendhy naomba msaaada kidogo kuna mdogo wangu wa kiume anasema anahisi kama kuna kitu kifuani upande wa kushoto huwa anakihisi ila hakiumi ni vile anahisi km kuna kitu na sio muda...
6 Reactions
20 Replies
484 Views
Katika muongo mmoja uliopita, ulimwengu umeshuhudia mabadiliko makubwa katika sekta ya afya. Tumepambana na magonjwa ya milipuko na kuimarisha mifumo yetu ya matibabu. Hata hivyo, katikati ya...
3 Reactions
6 Replies
333 Views
Mazoezi si tu kwa ajili ya kuonekana vizuri, bali ni uwekezaji katika usalama wa ndani wa mwili wako. Kwa kujenga misuli imara na mifupa migumu, unatengeneza ngao ya asili inayoweza kukuokoa dhidi...
0 Reactions
17 Replies
410 Views
Awali ya yote, nawasalimu. Nimeleta hii maada kwenu ni baada ya maumivu makali moyo wangu umeyabeba,na thamani ya maisha siioni tena na sioni haja ya kupalangana na maisha kabisa. Nimeoa miaka 2...
39 Reactions
269 Replies
35K Views
Habari zenu wakuu, samahani, Nina shida Moja hivi ambayo nimeshindwa kumpata mtaalam husika, hivyo nimeona Bora niilete kwenu ndugu zangu eidha mnipe muongozo au mniunganishe na mtaalam husika...
2 Reactions
19 Replies
753 Views
Wakuu nina hali ambayo hunitokea sana nyakati za usiku nikilala nikashituka hata kama ni saa 6 usiku basi uume (mashine) husimama mazima hata nilale tena na nikashituka tena nakuta hali iko...
3 Reactions
49 Replies
739 Views
Anonymous (fbd0)
Naomba kuwasilisha changamoto ambayo inawakumba watumiaji wa bima haswa NHIF. Lengo la serikali ni kuhakikisha watu wote wanapata huduma za afya bila vikwazo. Lakini imeibuka changamoto katika...
0 Reactions
0 Replies
211 Views
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU BAKTERIA HUYU Habari wanajamvi!!! Naomba kujua tiba ya Helicobacter pylori( H-pylori) ni ipi? Na je huu ugonjwa unatibika ? Je wapo watu walioumwa...
1 Reactions
254 Replies
112K Views
Kama nilivooeleza ninaomba msaada wa haraka. Mawiki yaliyopita nililalamika hapa kuwa kiuno na mgongo vinauma na usaha mzito kwenye uume kwa miaka nane ila sikujua ni nini mie nilihisi nimerogwa...
3 Reactions
114 Replies
33K Views
Msongo wa mawazo unaweza kukufanya ushindwe kufanya shughuli zako za kila siku kwa ufanisi. Jambo la kufurahisha ni kuwa msongo wa mawazi unaepukika, leo nimechambua baadhi ya mambo ambayo...
19 Reactions
841 Replies
195K Views
Wadau, Nimeisoma kwa umakini mkubwa sana thread ya mdau mmoja aliyekata shauri na kuamua kwenda kupima HIV! Kiukweli kabisa toka katika uvungu wa moyo wangu nampongeza sana na Mwenyezi Mungu...
17 Reactions
2K Replies
488K Views
Wana JF, kuna ndugu yangu yaani yeye asipokunywa chai kabla hajalala basi atakesha akihesabu 'kenchi' na kuna siku alikosa chai akanywa kahawa na matokeo yake 'alikesha', je, hali hiyo ya kutopata...
4 Reactions
803 Replies
191K Views
Tulikuwa na family day na haya ndio niliyoambulia nikaona they are good news worth sharing. ====================== Moringa (Moringa spp.) maarufu kama Mlonge ni miongoni mwa miti muhimu kuliko...
15 Reactions
1K Replies
652K Views
Back
Top Bottom