Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

MUONGOZO WA CHAKULA, KATIKA KUIMARISHA AFYA YA UZAZI KWA MWANAUME 2026 📌ASUBUHI ✅Chai - iwe ya viungo vya Asili pekee • Tangawizi, iliki, karafuu, mdalasini au mchaichai ✅VitaFunwa • Viazi...
7 Reactions
17 Replies
584 Views
As a dental clinician, I want to talk to you about periodontitis — the most dangerous and underestimated complication of gum disease. Periodontitis is not “just bleeding gums.” It is a chronic...
0 Reactions
4 Replies
243 Views
Utoaji wa huduma duni za afya katika hospitali ya wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu unaweza kuwa na sababu nyingi, na si lazima lawama zote ziwe kwa mganga mkuu wa wilaya,Dk Hadija Zegega moja kwa...
0 Reactions
2 Replies
463 Views
KWA WANANDOA PEKEE | NA WANAOTARAJIA WATOTO Ukiachana na Zile Sarakasi | Mibinjuko ya 6 kwa 6 na Vilio vya Mahaba kutoka kwa Ma Mtu Kikubwa Zaidi KinachoFanya Mwanamke Apate Ujauzito au Mimba ni...
1 Reactions
8 Replies
668 Views
Wakuu salama? Katika pitapita zangu mitandaoni nimekuwa nikikutana na mada baadhi ya wazazi na walezi wakiulizia tatizo na tiba ya watoto kutosimamisha uume, hivyo nimeamua kuja na maswali kwa...
1 Reactions
6 Replies
857 Views
Dalili za mtu aliyewekewa sumu kwenye chakula hutegemea aina ya sumu iliyotumika, lakini kwa ujumla dalili kuu zinazoweza kuonekana ni: 1. Dalili za Haraka (dakika hadi saa chache): Kichefuchefu...
4 Reactions
16 Replies
712 Views
Hicho kitendo cha kushtuka ghafla kama unahisi unaanguka wakati unakaribia kuanza kulala huitwa "hypnic jerk". Kitendo hiki utokea wakati mwili unahama kutoka hali ya kuwa macho kwenda kwenye...
3 Reactions
10 Replies
430 Views
Kitaalamu inaitwa Terminal lucidity inajulikana pia kama "the rally" au "light before death"). Ni jambo la kushangaza ambalo hutokea kwa wagonjwa wenye magonjwa makubwa sugu ya akili au neva...
5 Reactions
16 Replies
398 Views
Serikali imempiga Marufuku Dawa ya Kutibu Maradhi ya Uvimbe WaTezi Dume ya Dr Samsung Misango Asiuze.Kwani Anaharibu biashara ya vidonge Vinavyouzwa na serikali na kufanya Operesheni ya Tezi...
1 Reactions
2 Replies
333 Views
Anonymous
Habari za muda huu you ana jukwaa. Samahani sana naomba msaada kati ya CCBRT NA DOKTA AGARWALS EYE HOSPITAL ipi ipo makini kwa masuala ya Macho? Maana nimeenda MVUMI, KCM LAKINI WAPI NAONA BADO...
0 Reactions
2 Replies
656 Views
Wakuu habari za weekend. Naomba maelezo kwa huduma ya kipimo cha Colonoscopy kama ifuatavyo 1. Hospital gani hutoa huduma hii kwa hapa dar es salaam hosp binafsi au umma 2. Bei zake zikoje 3...
4 Reactions
21 Replies
570 Views
Ni wiki 3 sasa tangu nimekutana na mwanamke na hii ni baada ya kupima nae kabla na kukuta hana maambukizi, baada ya siku kadhaa nilikutana nae baada ya kumuamini na ndipo nilipo ona usaa kwenye...
7 Reactions
68 Replies
3K Views
Familia, hii kitu kuna wakati inanikera. Kiasi kwamba siku hizi nikiona mzani mbele yangu nahisi kama nimeona adui. Iko hivi, urefu wangu ni 182cm, uzito wangu sasa...58kg. Aisee, maisha yangu...
6 Reactions
72 Replies
867 Views
JF doctor habari. Week iliyopita jumanne nilijikuta napata uchovu mkubwa sana, na maumivu kwenye mabega. Uchovu ulidumu siku mbili tu, then nikaanza kupata maumivu kiunoni na mgongoni kwenye...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
naomba kwa ambaye anayejua mazoezi maalum ya mgongo nimepatwa na na tatizo la maumivu ya mgongo low back kwa mbali na pia mguu wangu wa kulia unakuw mzito nikitembea goti linauma mara ya.kwanza...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
KWANZA KABISA NAOMBA MODS MSIUHAMISHE HUU UZI UBAKIE HAPA HAPA KWENYE JUKWAA LA HABARI NA HOJA MCHANGANYIKO Mliopona maumivu ya mgongo, kiuno, na viungo mlitumia dawa gani? Ndugu zangu mliowahi...
1 Reactions
66 Replies
8K Views
Haya wale wazee wa kutafuta ujiko kwa kufyonza bakteria na chembechembe za nnyaa.... Jambo la kuzingatia huyo mwanamke msafi au papa yake anajua kuitunza au ndio harufu ya samaki kama tupo ferry...
3 Reactions
44 Replies
965 Views
Wakuu Nimejaribu kukimbia, kujibana sili chakula asubuhi wala mchana, nakula jioni ila uzito bado haupungui. Nifanyeje kukabiliana na hali hii?
9 Reactions
117 Replies
2K Views
Bidhaa inapotengenezwa hasa ya afya huambatana na tafiti na uthibitisho wakutosha kabla ya kuruhusiwa kutumika katika shughuli maalumu iliyokusudiwa. Kubadilisha matumizi ya bidhaa ya afya sio...
3 Reactions
17 Replies
859 Views
Back
Top Bottom