Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

JF Prefixes:

habari wadau, ni karibu mwaka sasa ngoz yangu pemben mwa macho imekua na vidot kama vipele vyeusi (kama vya mh mmoja hv). Kila siku vinazidi kuongezeka na nnakua na wasi sana. Naombeni kujua...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
POLYCYSTIC OVARIAN SYNDROME A disease condition that every woman should know By Dr Fredirick L Mashili, MD. When it comes to appearance, women are often times more concerned with their looks...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jf Doctor. Mtoto wetu wa 7 amekuwa na tatizo hilo kwa muda mrefu sasa ambapo awali hatukujua kimachomsibu ila tuliona anapata tatizo la kuumwa tumbo kila wakati tukienda kwa Doctors wanamchek na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nime crack enka yangu tangia march, baada ya x ray niliwekewa pop kwa wiki nne maumivu yakaisha ila mpaka leo uvimbe kwene enka bado upo. Naombeni ushauri.
0 Reactions
0 Replies
684 Views
Mimi ni kijana niliyehitimu elimu ya chuo kwa miaka kadhaa iliyopita. Kwa ukweli nimekuwa nikiishi maisha unyonge wa hali ya juu sana kutokana na background ya maisha ya familia niliyokulia. Kwa...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Wanajamvi heshima kwenu, naombeni kuuliza kuna madhara yoyote yatokanayo na kupima afya kwa kutumia computer inayoonyesha magonjwa yote mtu aliyonayo mwilini mwake? Nisaidieni wandugu,
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana JF,Napenda kuelimishwa sababu na tiba juu ya harufu inayotoka baada ya kupiga Chafya,je usababishwa na nini na nini tiba yake ,asanteni
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Mm ni mwanamke,nimeolewa,naomba msaada nifanyeje ili niinjoy tendo la ndoa,maana naona hufanya tu ili mume aridhike,japo yeye akinifanyia kitu kimoja huwa nafurah lakin ckipendelei sn weng...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Yule mgonjwa wangu wa Kansa niliyekuja kuomba ushauri humu ndani kama kuna tiba ya Kansa ya Ubongo hapa Tanzania, Amefariki dunia saa saba usiku wa kuamkia leo. Kuugua kwake kumenifanya niamini...
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Jamani, please help, Ugonjwa huu unashambulia uume wa mwanaume kati ya kichwa cha uume na ngozi inayounganisha makovu ya sehemu iliyotailiwa. Kunakuwa na maumivu na uozo kama mafua. Angalia picha...
0 Reactions
37 Replies
13K Views
Wadau nipen ushauri huwa najisikia vibaya sana kuwahi kufika kileleni nifanyeje hii hali iishe au nichelewe kupizz? nipen njia za kuchelewa
0 Reactions
6 Replies
4K Views
salaam wana jf. naombeni msaada wa haraka. kuna ndugu yangu anakusa pumzi,unakuta anaanza kukoroma kama mtu aliebanwa koo, then analegea mwili wake baada ya muda unamuona anakakamaa anajinyosha...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari, Msaada tafadhali kutokwa na vipele vyeupe vilivyokaa pamoja sehemu za siri ni ugonjwa gani?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau nisaidieni hapa eti ukiwa mjamzito mwez mmoja halafu ikatokea ukapata hedhi[MP],inakuwaje hapo kuna tatizo.shukran in advance.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Samahani wapendwa kuna rafiki yangu ameona siku zake leo ni siku ya kumi na moja na haoni dalili za kustop na anasema alivyokuwa anaanza alitoa damu nyingi sana akichanganika na mabonge. Naomba...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu.,Naombeni kujua,maumivu pembeni ya tumbo upande wa kulia,yanasababishwa na nin?je hii ni dalili ya appendex?,
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari zenu waungwana! Naombeni msaada wenu,eti ovulation ina last kwa siku ngapi kawaida?
0 Reactions
1 Replies
926 Views
Naomba nipewe muongozo kuhusu kama mtu ameathiriwa kwa Kansa ya Kichwa anaweza kupata tiba hapa hapa Tanzania. Jamaa alikuwa ana uvimbe uliotokeza kwa nje ya tumbo lake upande wa kushoto. Akaenda...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wanajamii forum habari za shughuli?Aisee naomba msaada kwa mtu anayejuwa tiba ya mtoto mwenye umri wa miaka minne na nusu katika mfumo wa kupumua yaani anapumua kwa kuweka kituo between two hurt...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Back
Top Bottom