Offline User
JF-Expert Member
- Dec 20, 2010
- 3,828
- 2,383
habari wadau, ni karibu mwaka sasa ngoz yangu pemben mwa macho imekua na vidot kama vipele vyeusi (kama vya mh mmoja hv). Kila siku vinazidi kuongezeka na nnakua na wasi sana. Naombeni kujua vinasababishwa na nn na nn matibabu yake. Asanten.