M Madewa JF-Expert Member Mar 17, 2012 465 168 Oct 10, 2012 #1 Habari zenu waungwana! Naombeni msaada wenu,eti ovulation ina last kwa siku ngapi kawaida?
K Kim Jong Un JF-Expert Member Feb 3, 2012 496 258 Oct 13, 2012 #2 mbili lakini kuwa mwangalifu make sperm na zenewe zinaweza kukaaa siku hadi tatu so dangerous period inaweza kuwa siku tano in combination
mbili lakini kuwa mwangalifu make sperm na zenewe zinaweza kukaaa siku hadi tatu so dangerous period inaweza kuwa siku tano in combination