Solarpanel
JF-Expert Member
- Oct 9, 2012
- 235
- 37
Mm ni mwanamke,nimeolewa,naomba msaada nifanyeje ili niinjoy tendo la ndoa,maana naona hufanya tu ili mume aridhike,japo yeye akinifanyia kitu kimoja huwa nafurah lakin ckipendelei sn weng wanaiita chumvini' je njia zngn tofaut na hyo ni zp?
Ntafurah kwa mashauri chanya
Ntafurah kwa mashauri chanya