Tatizo la kuwa na vipele chini ya uume ni ugonjwa gani? tahadhari anaeuliza hajawahi kufanya mapenzi miaka 16 ameomba nilete hili swala hapa ili ajue nn tatizo
Tatizo la kuwa na vipele chini ya uume ni ugonjwa gani? tahadhari anaeuliza hajawahi kufanya mapenzi miaka 16 ameomba nilete hili swala hapa ili ajue nn tatizo
Mwambie aache kupiga nyeto
Labda tatizo ni huko kutokufanya hayo unayoyaita mapenzi, kwani aligombana na wadada kiasi akasusa kuoa.