Kweli hili nalo tatizo sijapata kuona

Tatizo la kuwa na vipele chini ya uume ni ugonjwa gani? tahadhari anaeuliza hajawahi kufanya mapenzi miaka 16 ameomba nilete hili swala hapa ili ajue nn tatizo

Labda tatizo ni huko kutokufanya hayo unayoyaita mapenzi, kwani aligombana na wadada kiasi akasusa kuoa.
 
Miaka 16 ni kawaida kabisa maybe alikuwa busy na kutafuta maisha akachuna kidogo kwa kuwa anajua kuwa haya mambo yapo tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom