Kansa ya kichwa INA TIBA Tanzania?

Kigarama

JF-Expert Member
Apr 23, 2007
2,492
1,230
Naomba nipewe muongozo kuhusu kama mtu ameathiriwa kwa Kansa ya Kichwa anaweza kupata tiba hapa hapa Tanzania. Jamaa alikuwa ana uvimbe uliotokeza kwa nje ya tumbo lake upande wa kushoto. Akaenda Hospitalini akafanyiwa Opereshni ya kuuondoa uvimbe huo na baada ya Operesheni hiyo akafanikiwa kuishi hivyo kwa kipindi cha miaka 4. Uvimbe ukajirudia tena akafafnyiwa tena operesheni na Daktari aliyemfanyia akamhakikishia kwamba "amekwangua" kabisa chanzo cha uvimbe.

Miezi mitano baadaye uvimbe ukajirudia na kufanyiwa Operesheni Muhimbili. mwisho wa siku madaktari wa muhimbili wakamwambia ni Kansa na tayari imeweka uvimbe kwenye ubongo wake na kusababisha apooze upande mmoja. Sasa amepelekwa Ocean Road Hosp anakopata tiba ya mionzi.

Kama inawezekana kuondoa uvimbe ulioko kwenye ubongo kwa mionzi au kuna tiba mbadala naomba nielimishwe. Au ndiyo mpaka aende India?
 
india sometimes wanatibu kwa chemicals bila mionzi
but nisikukatishe tamaa bwana ila kensa ni ugonjwa mbaya kwa kweli
 
india sometimes wanatibu kwa chemicals bila mionzi
but nisikukatishe tamaa bwana ila kensa ni ugonjwa mbaya kwa kweli
Kwa kweli nipo kwenye wakati mgumu sana!! Nikimwangalia Mgonjwa wangu naishiwa na nguvu.
 
Kwa kweli nipo kwenye wakati mgumu sana!! Nikimwangalia Mgonjwa wangu naishiwa na nguvu.
Mkuu Kigarama Pole sana mkuu kwa hali ya mgonjwa wako jinsi alivyo kupona kwake itakuwa ni vigumu

sana kutokana na kuondoa uvimbe ulioko kwenye ubongo na umesha sema kuwa upande mmoja mgonjwa amesha pooza

ninasikita sana sijuwi kama ataweza kupona mgonjwa wako ni kumuombea Mwenyeezi Mungu na ipitike Miujiza yake Bwana

tu ndio ifanyike ili aweze kupona. Lakini sio rahisi kupona Mgonjwa wako.
​
Using herbs to treat cancer

There are many types of cancer including carcinoma, melanoma, sarcoma, lymphoma, and leukemia. There are over 200 kinds of diseases that are classified as cancer and the list grows as we become more dependent on technology instead of nature.

The best defense against cancer is good diet, a clean environment, and healthy lifestyle. Avoid smoke, synthetic hormones, x-rays, alcohol, artificial sweeteners, and large amounts of caffeine.

Cancer patients can benefit greatly from fresh juice and vegetables, a low-fat diet, green drinks, royal jelly, ginseng, and various herbal teas. Herbs that build up liver function and the immune systemare excellent additions to the diet. Many herbalists recommend cartilage supplements such as bovine tracheal cartilage which is sold at most health food stores. Many cancer patients find that early morning sunshine and exercise help increase vitality.

Patients undergoing chemotherapy benefit from reishi mushrooms,astragalus, Echinacea, yellowroot, and flax seed oil. All antioxidants and bioflavonoids are helpful. CoQ10, Germanium, Beta Carotene, and vitamin C supplements should also be considered. Of course, as everyone

probably knows, nothing beats marijuanna for overcoming nausea associated with chemo. Smoking a little pot makes eating easier and also dulls pain.

Breast cancer survivors should reduce dietary fat. Diet should include sea vegetables and potassium rich foods. Ginseng, royal jelly, and evening primrose supplements can also help. Freshrosemary should be consumed daily in food or as a tea. PCO's from white pine or grape seed is also recommended.

Prostate
cancer survivors can benefit from beta carotene and soy. Fiber is important and fresh vegetables should be eaten at every meal. Broccoli, cauliflower, carrots, sweet potatoes, ginseng, licorice root, saw palmetto, zinc, garlic, vitamin C, vitamin D, and grape seed or white pine extract can help.
Colon and rectal cancers call for vitamin C with bioflavonoids, green drinks, wheat bran, soy foods, legumes, dried fruits, green salads, and folic acid. Garlic, turmericextract, evening primrose oil, flax seed oil, ginseng, reishi mushroom extract, ginkgo biloba, astragalus, and shitake mushroom are also recommended.

Ovarian cancer survivors should never use artificial sweeteners or talcum powders. Shark cartilage, royal jelly, licorice, beta carotene, vitamin C, vitamin E, and ginseng are recommended.

Bladder
cancer survivors should avoid smoke. Cold water fish, vitamin E, vitamin B6, vitamin C, folic acid, and zinc can help. Also sea vegetables and citrus fruit should be eaten daily.

Lung
cancer patients are advised to eat lots of tomatoes, broccoli, watercress, and other vegetables. Garlic, onions, and soy should also be added to the diet. Green tea, beta carotene, vitamin E, vitamin B complex, folic acid, germanium, royal jelly, and reishi mushrooms are also recommended.

Stomach and esophageal cancer patients should avoid all nitrates and eat small, frequent meals. Olive oil, vitamin C, vitamin E, CoQ10, ginseng, licorice, and shark cartilage can help. A diet with lots of broccoli, cabbage, soy, whole wheat, bran, onions, asparagus, avocados, grapefruit, oranges, green peppers, and tomatoes is best.

Liver and pancreatic cancer patients should avoid alcohol and antihistamines. Diet should include broccoli, cabbage, and tomatoes. Green drinks, vitamin C, flax seed oil, milk thistle seed, garlic, dandelion, and yellowroot show good results.
Brain cancer survivors should avoid pesticides and artificial sweeteners. Green drinks, wheat germ extract, and ginkgo biloba extracts are

beneficial. Some herbalists recommend that grape juice compresses be applied to the back of the neck. Leave on until dry.
Lymphoma cancer may be related to mercury fillings and prescription drug addiction. Take liver cleansing herbs like milk thistle seeds and drink lots of green drinks.

Skin cancer patients should stay out of the sun and tanning beds. Wheat germ oil, brewer's yeast, green tea, royal jelly with propolis, ginseng, burdock tea, vitamin C, shark cartilage, and lots of vegetables are recommended. Applications of calendula, yellowroot, or myrrhcompresses can speed healing.

*Always consult with your health care professional before using any herbal remedy.
 
Nashukuru sana MziziMkavu kwa maelezo yako. Ni kweli kilichobakia naona ni kumuombea kwa mungu ingawa ametoka kwenye kutojitambua kutokana na kupigwa na mionzi na ameanza kufumbua macho ingawa hatambui watu!! Maelezo yako haya mengine kuhusu kutumia mitishamba kutibia Kansa kwa hali aliyonayo mgonjwa wangu kwa sasa hayasaidii!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom