Picha: Uchafu kama huu Ukeni husababishwa na nini?

Picha: Uchafu kama huu Ukeni husababishwa na nini?

volk

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
253
Reaction score
399
Habari zenu wanajamvi.

Iko hvi huyu mwanadada anaweza kua na shida Gani? Kwa maelezo yake alikutana na mpenzi wake mwezi mmoja uliopita lakini baada ya hapo ndani ya siku tatu akaaza hisi maumivu makali ya tumbo then akamtumia dawa za UTI sugu lakini hakupona.

Kisha akaanza kutokwa na uchafu, anaweza kua na ugonjwa gani.
 
Habari zenu wanajamvi ,Iko hvi huyu mwanadada anaweza kua na shida Gani? Kwa maelezo yake alikutana napenzi wake mwezi mmoja uliopita lakini baada ya hapo ndani ya siku tatu akaaza hisi maumivu makali ya tumbo then akamtumia dawa za UTI sugu lakini hakupona, Kisha akaanza kutokwa na uchafu kama huu apo chini , anaweza kua na ugonjwa gani
Acha ngono zembe
 
badala uwahi hospital ukafanye checkup unakuja kutuma uchafu humu hivi wengine hawaonagi hata haya kupiga picha vitu kama hivi na kuvirusha mtandaoni?

atleast yangekua magonjwa yasotibiwa hospital ndo unaulizia msaada ila sio haya hebu wew na wenzio ifike mahali mjifunze kutumia akili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom