Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

Star mrembo wa Holywood alikuwa na miaka 36 tu kakauka kwa umeme, Kuanzaia mwaka 1985 hadi 1995 Ukimwi ulikupurukitsiha sana vijana lakini baada ya ARV kugunduliwa, inaonekana vijana wengi...
2 Reactions
7 Replies
251 Views
Katika wodi za uzazi, sauti za uchungu na matumaini hukutana. Wakati mwingine, dakika chache ndizo hutenganisha uhai na mauti. Ndipo upasuaji wa dharura unapokuwa tumaini la mwisho. Lakini nyuma...
0 Reactions
0 Replies
123 Views
SAFARI ya uzazi, ambayo kwa familia nyingi hutarajiwa kuwa ya matumaini na furaha ya kumpokea mtoto imeanza kugubikwa na hofu, mashaka na maswali yasiyo na majibu katika baadhi ya hospitali...
0 Reactions
0 Replies
227 Views
Habari, Hii ni kwa wanawake wenzangu ambao wanatumia uzazi wa mpango aina ya IUD (Intra-uterine Device) au Kitanzi. How are you guys? Vinawapa maudhi kama kilivyoninyoosha mimi au mmetulia? I...
36 Reactions
242 Replies
4K Views
Jana nilala mchana kidogo kama dakika 20 gafla nimeamka nakuta mdomo umevimba upande wajuu uliobeba meno ya mbele! kama nimepigwa ngumi au kung’atwa na nyuki! Leo tuna hapa napoandika...
4 Reactions
17 Replies
199 Views
Shinikizo la juu la damu mwilini ni ninni? Namna ambavyo damu yako hupiga kwenye ukuta wa mishipa ya mwili wako huitwa shinikizo. Kwa kawaida shinikizo la damu la mtu hupanda na kushuka siku...
2 Reactions
314 Replies
181K Views
Juni 30, 2026, Mdau wa JamiiForums.com aliandika “Watu wengi tumekwama kupata Huduma ya kulipia dawa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) – Upanga tukiambiwa mfumo wa Namba za Malipo za...
0 Reactions
0 Replies
107 Views
Wakuu Nikila kitimoto nawashwa sehemu mbalimbali za mwili,nikioga kuwasha kunaisha. Hii ni allergy au?
4 Reactions
65 Replies
394 Views
Wasalam,kuna wimbi la dawa nyingi za meno zinauzwa. Naomba kufahamishwa dawa nzuri kwa matumizi,N.B uzi huu sio kupromote dawa ni kupata ujuzi.
6 Reactions
62 Replies
1K Views
Kuanzia asubuhi ya leo Juni 30, 2026, Wananchi wengi tumekwama kupata huduma ya kununua dawa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kufuatia mkwamo wa kimfumo uliosababisha hitilafu katika...
4 Reactions
3 Replies
151 Views
Ni week ya pili sasa tokea tumeweka appointment kwa ajili ya kipimo cha PET scan katika hospital ya Ocean Road lakini huduma zimesimama kutokana na machine kupata changamoto na mpaka sasa hatujui...
0 Reactions
2 Replies
99 Views
Habari zenu wana JF, hususan wa jukwaa la Afya. Naomba kuwashirikisha changamoto kubwa inayomsumbua mke wangu kwa takribani miezi saba sasa, kwa matumaini ya kupata ushauri, uzoefu au mwanga...
8 Reactions
45 Replies
770 Views
Hivi ni ugonjwa gani ulidhwahi kukusumbua hadi ukakata tamaa kama utakuja juu ??
3 Reactions
4 Replies
164 Views
Anonymous
Kuna kero inayohusiana na wanafunzi na wataalamu wanaosomea taaluma ya usingizi na ganzi tiba (Anesthesia) chini ya uuguzi. Kumekuwa na malalamiko kuwa baadhi ya viongozi wa Baraza la Uuguzi na...
1 Reactions
2 Replies
165 Views
Weekend yaendaje waungwana? Mimi ni mtu ninayependa majira ya usiku (night owl). Mda huo nakuwa more active dunia imetulia Hii kitu Imenifanya vibaya sana professional wise ila siiachi.. Napenda...
8 Reactions
104 Replies
757 Views
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA AFYA MAMLAKA YA DAWA NA VIFAA TIBA (TMDA) ISO 9001: 2015 IMETHIBITISHWA TAARIFA KWA UMMA 23 Juni, 2026 KUPIGWA MARUFUKU KWA MATUMIZI YA DAWA ZENYE...
2 Reactions
3 Replies
163 Views
Kanda ya ziwa, wajita. Kanda ya kaskazini, wairaq Kanda ya kati wanyamwezi na wanyaturu Kanda ya pwani
4 Reactions
3 Replies
154 Views
Kwa nchi zinazoendelea Vidonda vya tumbo ni mojawapo ya matatizo ya kiafya yanayoathiri watu wengi. Hii inatokea pale ambapo ukuta wa ndani wa tumbo au sehemu ya juu ya utumbo mdogo unapopata...
6 Reactions
45 Replies
663 Views
Aisee hivi vidude vinanitesa nimekunywa kila aina ya matakataka ya dawa za hospitalini na tiba mbadala lakini bado vinanisumbua, angalau kidogo dawa zinaitwa legal kit zinisaidia lakini zingine ni...
19 Reactions
295 Replies
21K Views
Hello jamani hivi mtu akiwa anafanya mazoezi ya kuruka kamba yanasaidia kukata weight? Au tumbo. Please. Wewe unataka kufanya mazoezi au unataka kukata certain parts of the body? Hakuna mazoezi...
2 Reactions
37 Replies
44K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…