International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

My take Ni tofauti ndogo na huku Malawi Sultana wetu kaenda Urusi na Abduli apate kumuona na ku-shake hands na Putin ============= Sultan Hassanal Bolkiah (miaka 79) wa brunei, ametangaza...
1 Reactions
2 Replies
273 Views
Kikosi cha Al-Qassam, tawi la kijeshi la Hamas, kilitoa picha za Ahmed Khamis Abu Younes, gaidi kutoka Kikosi cha Mohammed Abu Shamala cha Kikosi cha Rafah, ambaye aliuawa mwishoni mwa Oktoba 2023...
0 Reactions
0 Replies
88 Views
Majuzi viwanja vyote vya ndege vya Kuwait vimepigwa makombora Hii ni baada ya base zilitumika kuchakazwa na makombora, Baada ya hapo wakaja na ndege za kujaza mafuta angani nazo zikashushwa kwa...
2 Reactions
6 Replies
271 Views
Frankfurt, Germany: wafanyakazi kadhaa wa ndege kampuni ya Lufthansa Boeing 787, wapata majeruhi baada ya taili za upande wa mbele wa ndege(nose gear) kupasuka wakati ikiwa imepaki katika geti la...
2 Reactions
0 Replies
103 Views
AFRODAD Interim Executive Director, Dr. Theophilus Yungong Jong NAIROBI, Kenya – The African Forum and Network on Debt and Development (AFRODAD) has called on journalists across the continent to...
0 Reactions
0 Replies
130 Views
Wanaukumbi. 🇺🇸🇮🇷 Baraza la Wawakilishi limepitisha tu Azimio la Mamlaka ya Vita vya Iran, 215-208. Warepublican 4 walipiga kura na Wademokrasia: Massie, Fitzpatrick, Barrett, na Davidson. Hatua...
1 Reactions
12 Replies
215 Views
Msemaji wa IDF kwa lugha ya Kiarabu, Luteni Kanali Ella Waweya, anasema kwamba magaidi wa Hezbollah wamechukua udhibiti wa Hospitali ya Serikali ya Tebnine kusini mwa Lebanon na wanazuia matumizi...
1 Reactions
5 Replies
140 Views
Mamlaka ya kupambana na Rushwa nchini Indonesia (KPK) limemkamata na kumzuia Naibu Waziri wa Uhamiaji, Silmy Karim, baada ya kuhojiwa kwa saa 10 kufuatia tuhuma za rushwa kwenye utoaji wa nyaraka...
0 Reactions
0 Replies
120 Views
Kiongozi wa upinzani pamoja na viongozi wenzake wa chama cha Ennahdha wamehukumiwa vifungo virefu gerezani kwa kosa la kuanzisha idara ya usalama ya siri Viongozi waliohukumiwa ni: Rached...
2 Reactions
5 Replies
219 Views
Baada ya Iran kushindwa mbinu zake zote kuifuta israel kwenye uso wa dunia mara kadhaa!! Leo tena kuna Bango jipya la matangazo katika Uwanja wa Palestina mjini Tehran, Iran leo linaipa Israeli...
2 Reactions
26 Replies
436 Views
Gazeti la Financial Times la Uingereza hivi karibuni limechapisha ripoti kuhusu makampuni ya China kuwekeza na kuanzisha viwanda katika Bustani ya Teknolojia ya Tangier nchini Morocco. Katika...
2 Reactions
2 Replies
230 Views
Mwezi Juni kwa kawaida huwa ni msimu wa baridi na wa kupendeza katika maeneo ya uwanda wa juu wa Afrika Mashariki. Lakini wakazi wa Nanyuki katikati mwa Kenya siku hizi wana hasira kubwa...
2 Reactions
3 Replies
193 Views
Roman Gofman anakuwa mkuu mpya wa Mossad; katika sherehe, Netanyahu asema Israeli 'itasaidia' utawala wa Iran kuanguka Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu asema utawala wa Iran "umekusudiwa kupita" na...
5 Reactions
17 Replies
367 Views
KILA RAIS WA MAREKANI LAZIMA AONDOKE NA KICHWA KIMOJA Unapokuwa rais wa nchi yoyote ile ni kwamba unafuata kile ambacho watu fulani wanataka ukifuate, unaweza kuja na mipango yako na isifanye...
1 Reactions
3 Replies
211 Views
https://x.com/MOSSADil/status/2062123748199649439?s=20
4 Reactions
18 Replies
513 Views
Waziri wa Usalama wa Kitaifa wa Israeli, Itamar Ben Gvir, alitoa video akitangaza sheria yake iliyopendekezwa ambayo ingepiga marufuku utangazaji wa sauti wa mwito wa Kiislamu wa kusali kutoka...
3 Reactions
12 Replies
186 Views
Hawa Iran uthubutu wa kumchimba mkwara Netanyahu wanautoa wapi!? Siku zinakimbia sana aisee!!! Kuna kipindi Israel na Marekani walikuwa wanatafuta sababu ya kumtandika Iran, ila sasa hivi Iran...
3 Reactions
17 Replies
400 Views
Kadiri miaka inavyoenda ndivyo umuhimu wa China unazidi kuonekana duniani, Mchina ana soft power moja inayokua kwa kasi sana. China haihitaji kuanzisha unnecessary wars and conflicts duniani kama...
15 Reactions
32 Replies
1K Views
Marekani inapanga kupunguza kwa kiasi kikubwa idadi ya balozi zake barani Afrika zinazoshughulikia maombi ya visa, hatua inayotarajiwa kuongeza udhibiti kwa wanaotafuta vibali vya kuingia nchini...
1 Reactions
3 Replies
174 Views
Mozambique said five of its nationals were killed in “xenophobic attacks” in South Africa at the weekend and efforts were under way on Tuesday to repatriate hundreds of others. However, the South...
1 Reactions
1 Replies
245 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…