International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Jana, tarehe 22 Mei 2026, ulimwengu wa siasa za Afrika Magharibi umeshuhudia mtikisiko mzito baada ya Rais wa Senegal, Bassirou Diomaye Faye, kumfuta kazi Waziri Mkuu wake, Ousmane Sonko, na...
6 Reactions
42 Replies
976 Views
Ijumaa ilopita Iran wamezungumza na shirikisho la kandanda Duniani FIFA kuomba kuhamisha timu yake ta taifa ya kandanda na maofisa wote wanoandamana na timu hiyo nchini Mexico, baada ya kukikiri...
2 Reactions
0 Replies
215 Views
Wakati Mkurugenzi wa CIA John Ratcliffe alipotembelea Havana wiki iliyopita kwa mkutano wa nadra na maafisa waandamizi wa Cuba, aliambatana na mmoja wa opereta waliohusika katika operesheni ya...
3 Reactions
3 Replies
244 Views
Israel imeeleza kuwa kumekuwa na video inayozunguka Duniani ikimwonesha askari wa IDF akivunja msalaba wenye sanamu ya Yesu Kristo nchini Lebanon. Serikali ya Israel imeekeza kuwa kitendo hicho ni...
5 Reactions
160 Replies
2K Views
Ndege zisizo na rubani za Ukraine za masafa marefu zilishambulia kiwanda cha Metafrax Chemicals katika eneo la Perm nchini Urusi, takriban kilomita 1,700 kutoka mpaka wa Ukraine, katika mojawapo...
1 Reactions
5 Replies
195 Views
Hezbollah inageuza makanisa na maeneo ya raia nchini Lebanon kuwa ngome za ugaidi, na kuwaweka Wakristo wasio na hatia katika hatari moja kwa moja. Wiki hii, gaidi wa Hezbollah alifyatua risasi...
0 Reactions
0 Replies
100 Views
The top 5 largest banks world largest banks by assets: 1. Industrial and Commercial Bank of China (ICBC) | China Assets: $7.30 trillion 2. Agricultural Bank of China | China Assets: $6.80...
8 Reactions
77 Replies
2K Views
My Take Naunga mkono hoja,watu ndio Nguvu ya Taifa kiuchumi,kijeshi na kiteknolojia. ============ Kiongozi mkuu mpya wa Iran, Mojtaba Khamenei, ameibua mjadala mkubwa kimataifa baada ya kusisitiza...
4 Reactions
7 Replies
286 Views
Miezi 6 baada ya Rais wa Senegal Basirou Diomaye wa Senegal na Waziri wake Mkuu Ousmane Sonko wameanza kuleta visingizio Kwa Kushindwa Kutimiza Baadhi ya ahadi zao walizodai watazitatua ndani ya...
6 Reactions
81 Replies
3K Views
Asalam waleku Wandugu waJF hapa nataka nijulishe kwamba kule china mambo yameenda ndivyo sivyo. Kwa maana mapatano ya ajenda zote yapo PENDING Kwa hali ilikuwa kwamba ni mbinu za kimkakati...
8 Reactions
25 Replies
844 Views
“Unajua jinsi Rais wa sasa alivyoingia madarakani? Aliitwa tu ofisini, na mtu huyo akadhani anafanya makubaliano mazuri, akakabidhi mamlaka. Na kulikuwa na mashahidi, marais wa nchi mbalimbali...
1 Reactions
6 Replies
337 Views
Mapambazuko yanapoanza, mamia ya wanaume hukusanyika katika uwanja wenye vumbi huko Chaghcharan, mji mkuu wa jimbo la Ghor nchini Afghanistan. Wanasimama kando ya barabara wakitumaini kupata...
5 Reactions
33 Replies
632 Views
Serikali ya Uingereza imeondoa baadhi ya vikwazo dhidi ya mafuta ya Urusi,huku bei ya mafuta ikipanda nchini humo. Agizo hilo limeanza kutekelezwa hii leo, na inaashiria hofu inayoongezeka kuhusu...
4 Reactions
10 Replies
332 Views
Katika hii ziara ambapo Putin ameenda China naona mambo hayakuwa kiofisi tu kama Trump alivyo karibishwa, Xi na Putin wameonekana wakipika pamoja vyakula vya asili vya China, wakinywa pombe , na...
19 Reactions
36 Replies
905 Views
Itamar Ben Gvir alisababisha malalamiko ya kimataifa baada ya kuchapisha video inayoonyesha akiwadhihaki wanaharakati wa meli za Gaza zilizokuwa zimefungwa katika bandari ya Ashdod. Katika...
0 Reactions
2 Replies
164 Views
ALLEGED “CAMEROON AYRA STARR” JOLI REACTS, CLAIMS NIGERIANS ARE “NOT GOOD PEOPLE” AFTER VIRAL COMPARISON DEBATE Cameroonian singer Joli has finally reacted to the viral online conversation that...
0 Reactions
0 Replies
120 Views
Picha za satellite zilizotolewa na Sentinel 2 satellite imeonyesha uharibifu mkubwa kwenye kambi 4 za kijeshi nchini Israel.Picha hizo zimeonyesha kambi za Ramat David,Nevatim,Unit 8200base na...
1 Reactions
3 Replies
251 Views
Iran imemnyonga mwanaume mmoja aliyekuwa akituhumiwa kufanya ujasusi kwa niaba ya Israel, kwa mujibu wa shirika la habari la Mizan, ambalo lilimtaja kwa jina la Kurosh Keyvani. Mwanamume huyo...
1 Reactions
1 Replies
249 Views
Wanaukumbi. VIDEO | Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi alisema Tehran itafanya kazi yoyote inayohitajika, "iwe ni mazungumzo au vita," akisisitiza kwamba Iran iko tayari kupigana...
0 Reactions
3 Replies
150 Views
A close associate of Nollywood actress Ijeoma Richards has recounted the terrifying incident that led to the explosion of the actress’ vehicle somewhere in Lagos, describing it as a miraculous...
0 Reactions
0 Replies
118 Views
Back
Top Bottom