mzee wa kijiwe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 947
- 684
Hili ni tishio jipya la usalama Kwa nchi zetu za Africa.
Uwepo wa Wagner group Africa kunapelekea mapinduzi ya kijeshi kwa Serikali halali za Africa haswa zile zisizo egemea upande wa Urusi.
Uwepo wa Wagner group Africa kunaibua njia mbadala Kwa wanasiasa wetu wenye uchu wa madaraka kuchukua madaraka Kwa njia ya ujasusi.
Wagner group wana fedha, wana silaha nzito, wana jeshi la wahuni, wavuta bangi, watumiaji na wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya, ni rahisi kwa vijana wetu kujiunga na Wagner group Africa kuliko Alshabab au hata vikundi vingine vya ugaidi.
Hatari iliyopo ni viongozi wetu wa Africa kunyamaza na kuiunga mkono Urusi na kuwachukulia Wagner group kama kundi halali.
Tupandacho ndicho tutakachovuna.
Uwepo wa Wagner group Africa kunapelekea mapinduzi ya kijeshi kwa Serikali halali za Africa haswa zile zisizo egemea upande wa Urusi.
Uwepo wa Wagner group Africa kunaibua njia mbadala Kwa wanasiasa wetu wenye uchu wa madaraka kuchukua madaraka Kwa njia ya ujasusi.
Wagner group wana fedha, wana silaha nzito, wana jeshi la wahuni, wavuta bangi, watumiaji na wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya, ni rahisi kwa vijana wetu kujiunga na Wagner group Africa kuliko Alshabab au hata vikundi vingine vya ugaidi.
Hatari iliyopo ni viongozi wetu wa Africa kunyamaza na kuiunga mkono Urusi na kuwachukulia Wagner group kama kundi halali.
Tupandacho ndicho tutakachovuna.